Tetesi: Wabunge wa CCM Waanza Kutishiwa!

Tetesi: Wabunge wa CCM Waanza Kutishiwa!

Tatizo pia ni viongozi wa Upinzani hasa Chadem, ni wabinafsi sana sana.
Mbowe ana walakini kwenye suala la utaifa anapoona maslahi binafsi.
Kwa nini wasingeweka majina ya Wenje ,Safari,Masha na mwanamke mmoja?
Hatuna upinzani wa maana kwa kweli.
Watanzania wanapenda upinzani ila viongozi wa upinzani ni bure kabisa. Hamna mipango ya mbali.

Wakina mbowe na wenzake wakasomee sayansi ya siasa kuelekea 2020 vinginevyo wataanza kugombania majimbo kama Segerea.
Ushauri wa fisi kwa mwenye meatshop. Hata watoto wa chekechea watazimia kwa kucheka.
 
Wako kimya kwa sababu hawana pa kuongelea. Si unajua siasa zimepigwa stop kwa upande wa pili! Kwa kweli wapinzani wana busara kwani hili jambo kwa nchi zingine lingeleta vurugu kubwa sana.
Asante Na ingekuwa Ni Mimi Mkuu wa Chama Kikubwa cha Upinzani Bila Kumumunya Maneno nasema Ningejitahidi Kumtafuta mtu niongee naye Nimwambie aache hizo! Hakiendelea Kuleta Madharau na Kugoma, Ananyanyuliwa Mtu! Just That Simple Freedom is Not Given in a golden plate, And once you have it in your hand it becomes as valuable as the soul of your first born, he who want to take it away from you must suffer the ultimate self defense messures and he has no one to blame but him!
Ningekuwa Mimi Ndio Mwenyekiti wa Chadema Naapa hilo lisingetokea nikiwa hai. Waovu wanaangalia how far the can push you! Watanyang'anya Komputer wataona Kimya, Watazuia Matangazo kimya, Wataleta Mbwa Bungeni Kimya, Wataua mwenzenu Kisha kuwaakataza Kumzika Kimya, Mwishoni wataona Okay We can get away with anything! Narudia tena Ningekuwa Mwenyekiti wa Chadema hii tabia Ningeikomesha in a hurry and they Could figure out how I did it after 100 years!
 
Wako kimya kwa sababu hawana pa kuongelea. Si unajua siasa zimepigwa stop kwa upande wa pili! Kwa kweli wapinzani wana busara kwani hili jambo kwa nchi zingine lingeleta vurugu kubwa sana.
Matamshi ya Lowasa ya jana wengi tunayaona kupitia social media, hoja za Zitto zinatufikia kupitia social media, vinavyojadiliwa bungeni tunavisikia kupitia social media... CHADEMA waamke aisee
 
Kuna Kisa Kimoja cha Mtu na Mume wake walikuwa wamemsingizia mtoto wa Mama mmoja Jirani kuwa ni mwizi youle mtoto akafungwa Jela. Kule Jela hakukaa muda mrefu alinyayasika sana, na akamsimulia Mama yake Kila Kilichotokea. Baada ya muda akafia jela. Yule mama kilimuuma sana, sana. Sasa Wale majirani wakorofi wakawa wanaendeleza chokochoko za Kila siku. Lakini siku moja Wanandoa hawa wakagombana Wenyewe kwa wenyewe! Mume akamchoma mke kisu kifuani lakini hakikuingia moyoni! Yule Mama kwa uchungu akakimbilia kwa yule Mama jirani walikuwa wakimkorofisha! Akamwambia Muke wangu kanichoma Kisu naomba Nisaidie Kupiga simu Polisi walete gari wanipeleke Hospitalini. Yule Jirani akamjibu, kwa kuwa Unaweza Kuongea naomba mimi Nikusaidie Kupiga 911 lakini wewe mwenyewe Utawasimulia Kilichotokea! Basi simu Ikapigwa na Kwa Kifupi aliyechomwa Kisu na mumewe akawasimulia Polisi Kisu kachomwa na Mumewe na Kachomwa Wapi, Na sasa yuko kwa Jirani anasubiri msaada.

Sasa Yule Mama Jirani, akakata simu, Akaingia Kitchen akachukua Kisu akamdunga Mama Jirani Palepale tundu la Kisu cha Mumewe Kilipopitia safari hii akahakikisha Kinaingia Ndani sana na kuupata moyo, na kumuua. Akaficha sana Kisu chake! Kisha aliposikia Ving'ora akajifanya kushikilia Jeraha kwa kitambaa kujifanya anatoa msaada! Polisi waliamini Kabisa Kuwa Mume wake ndio Muuaji, hivyo Mume akakamatwa na Kunyongwa!

Hii story inamaana Kuwa Its all about Timing na Ubaya Una malipo hapa Duniani. Cha kuchekesha Yule Mama Jirani alipewa hata nafasi ya Kutoa neno Kwenye Msiba akaeleza anavyowamisi Majirani zake na Jinsi ambavyo wameacha pengo lisilozibika! but all in all alikomesha ukorofi na Unyanyasaji wao!
 
Baadhi ya Wabunge Makini wanaohoji Mambo CCM wameanza Kutishiwa kuwa wasipobadili Mienendo yao watapokonywa Majimbo yao katika Kura za Maoni 2020. Na ni wengi hasa kiasi cha kuwa hata Speaker hawezi kuwa spared kama hatacheza Ngoma ya Koromije!

Vitisho hivi sio official ila vinapenyezwa na aina za Wale wabunge wanaotamani kulia bunge likiwa live, Wale wanaosema Kuku zilipe kodi na Rambirambi zikatwe kodi. Na kuna ambao walishabugi hata kama wakifanyaje Ba-Bashite ameshawaweka X. Sasa ndio hapo inabidi wawe na Mikakati ya kufa na Kupona.

Na ndio Maana huwa nawaambia hawa wabunge kuwa kushiriki kuua Upinzani ni sawa na Kuchoma Ngalawa kisa Umenunua Mtumbwi. Mkiutetea Upinzani Kihalali, Mkiusaidia Usihujumiwe, na sio Lazima kufanya makubwa ya Kuonekana wasaidieni kujua siri za hujuma etc. Upinzani ukiwa na Nguvu, ikikaribia 2020 hawa waliyoyadhamiria wakifanya Kweli? Mtakuwa na Pakwenda kupigania Majimbo yenu.

Kwa sasa hawa Wabunge waliowengi hata wakijifanya kutetea nu 5 kwa kidizaini, Jamaa alishadhamiria. Haya msiseme hamkujua. Na najua wengi Mnakijua Nachowaambia nachosema. Kingine Jitahidini sana Kushikamana na Wananchi wenu kwenye shida na Mali ili siku mkikatwa, Na mioyo ya Wananchi wenu iende nanyi mtakakokwenda!

Na Chadema Kubalini Ushauri, Mbunge wa CCM akihujumiwa akija kwenu, moja kwa Moja mpeni yeye Tiketi ya Kugombea Jimbo Lake. Let say Uchaguzi uliopita Alipokuwa CCM kwenye hilo jimbo Alishinda kwa kura 30,000 Na Ninyi mkapata Kura 22,000 sasa Uchaguzi Ujao Akifukuzwa CCM, Panga Pangua atakuwa Mioyoni mwa angalau nusu. 15,000 Akija Kwenu Mkimpitisha awe mgombea wenu bila mizengwe ya Kijinga, Kaja na at least Kura 15000, Nyie zenu za Uchaguzi Uliopita hata kama Mki maintain nusu yake hapo mna Kura 11000 Kwa uchache. Hapo Ukijumlisha autakuta, amekuja na Kura 15000, Mkamtupia zenu 11000 hapo anashinda kwa Mbali sana kwa Kura 36,000 huku huyu Imposter mpya wa CCM kama Shetani wake akimsaidia Ataambulia Maximum ya Kura 15,000.

CHADEMA ACHENI DHARAU MKISHAURIWA FANYENI SIASA KWA AKILI. MNGEWEZA KUWEKA HATA TANGAZO, UKITOKA CCM TUTAKUPITISHA JIMBO LAKO BILA KUPINGWA, WENGI WATAKUJA, HATA WAKIWA WATANO KATI YA MIA NI SAWA KWANI HAYO MAJIMBO SIO YENU NA YOU HAVE NOTHING TO LOSE!
Mkuu , shaka ondoa , Chadema iko tayari kushirikiana na mtu yeyote anayeweza kuchangia chochote kile katika kung'oa ccm
 
Baadhi ya Wabunge Makini wanaohoji Mambo CCM wameanza Kutishiwa kuwa wasipobadili Mienendo yao watapokonywa Majimbo yao katika Kura za Maoni 2020. Na ni wengi hasa kiasi cha kuwa hata Speaker hawezi kuwa spared kama hatacheza Ngoma ya Koromije!

Vitisho hivi sio official ila vinapenyezwa na aina za Wale wabunge wanaotamani kulia bunge likiwa live, Wale wanaosema Kuku zilipe kodi na Rambirambi zikatwe kodi. Na kuna ambao walishabugi hata kama wakifanyaje Ba-Bashite ameshawaweka X. Sasa ndio hapo inabidi wawe na Mikakati ya kufa na Kupona.

Na ndio Maana huwa nawaambia hawa wabunge kuwa kushiriki kuua Upinzani ni sawa na Kuchoma Ngalawa kisa Umenunua Mtumbwi. Mkiutetea Upinzani Kihalali, Mkiusaidia Usihujumiwe, na sio Lazima kufanya makubwa ya Kuonekana wasaidieni kujua siri za hujuma etc. Upinzani ukiwa na Nguvu, ikikaribia 2020 hawa waliyoyadhamiria wakifanya Kweli? Mtakuwa na Pakwenda kupigania Majimbo yenu.

Kwa sasa hawa Wabunge waliowengi hata wakijifanya kutetea nu 5 kwa kidizaini, Jamaa alishadhamiria. Haya msiseme hamkujua. Na najua wengi Mnakijua Nachowaambia nachosema. Kingine Jitahidini sana Kushikamana na Wananchi wenu kwenye shida na Mali ili siku mkikatwa, Na mioyo ya Wananchi wenu iende nanyi mtakakokwenda!

Na Chadema Kubalini Ushauri, Mbunge wa CCM akihujumiwa akija kwenu, moja kwa Moja mpeni yeye Tiketi ya Kugombea Jimbo Lake. Let say Uchaguzi uliopita Alipokuwa CCM kwenye hilo jimbo Alishinda kwa kura 30,000 Na Ninyi mkapata Kura 22,000 sasa Uchaguzi Ujao Akifukuzwa CCM, Panga Pangua atakuwa Mioyoni mwa angalau nusu. 15,000 Akija Kwenu Mkimpitisha awe mgombea wenu bila mizengwe ya Kijinga, Kaja na at least Kura 15000, Nyie zenu za Uchaguzi Uliopita hata kama Mki maintain nusu yake hapo mna Kura 11000 Kwa uchache. Hapo Ukijumlisha autakuta, amekuja na Kura 15000, Mkamtupia zenu 11000 hapo anashinda kwa Mbali sana kwa Kura 36,000 huku huyu Imposter mpya wa CCM kama Shetani wake akimsaidia Ataambulia Maximum ya Kura 15,000.

CHADEMA ACHENI DHARAU MKISHAURIWA FANYENI SIASA KWA AKILI. MNGEWEZA KUWEKA HATA TANGAZO, UKITOKA CCM TUTAKUPITISHA JIMBO LAKO BILA KUPINGWA, WENGI WATAKUJA, HATA WAKIWA WATANO KATI YA MIA NI SAWA KWANI HAYO MAJIMBO SIO YENU NA YOU HAVE NOTHING TO LOSE!


Acha kuwadanganya CHADEMA.Unadhani hao wachaga wote walopo ndani ya chama watapata wapi nafasi kama watazigawa ovyo kwa wakimbizi toka CCM ?
 
Hovyo kabisa! Huna hoja.


Ni maoni na mtazamo wake. Ni bora Chadema wakatafakari yale wanayoambiwa na wapinzani wao.
Unajua mpinzani wa Chadema ni ACT , CCM na TLP na sasa amekuja CUF- Lipumba.
Kwa hiyo Chadema wasikurupuke bila kutafakari hoja na shutuma za wapinzani wake. Suala la ukabila linatajwa sana ndani ya Chadema. Japo linaweza likatokana historia ya chama na waliokipigania na kukijenga chama. Hata hivyo kwa sasa chama hicho kimeshakua inabidi kujenge zaidi taswira ya umoja wa kitaifa.
 
Baadhi ya Wabunge Makini wanaohoji Mambo CCM wameanza Kutishiwa kuwa wasipobadili Mienendo yao watapokonywa Majimbo yao katika Kura za Maoni 2020. Na ni wengi hasa kiasi cha kuwa hata Speaker hawezi kuwa spared kama hatacheza Ngoma ya Koromije!

Vitisho hivi sio official ila vinapenyezwa na aina za Wale wabunge wanaotamani kulia bunge likiwa live, Wale wanaosema Kuku zilipe kodi na Rambirambi zikatwe kodi. Na kuna ambao walishabugi hata kama wakifanyaje Ba-Bashite ameshawaweka X. Sasa ndio hapo inabidi wawe na Mikakati ya kufa na Kupona.

Na ndio Maana huwa nawaambia hawa wabunge kuwa kushiriki kuua Upinzani ni sawa na Kuchoma Ngalawa kisa Umenunua Mtumbwi. Mkiutetea Upinzani Kihalali, Mkiusaidia Usihujumiwe, na sio Lazima kufanya makubwa ya Kuonekana wasaidieni kujua siri za hujuma etc. Upinzani ukiwa na Nguvu, ikikaribia 2020 hawa waliyoyadhamiria wakifanya Kweli? Mtakuwa na Pakwenda kupigania Majimbo yenu.

Kwa sasa hawa Wabunge waliowengi hata wakijifanya kutetea nu 5 kwa kidizaini, Jamaa alishadhamiria. Haya msiseme hamkujua. Na najua wengi Mnakijua Nachowaambia nachosema. Kingine Jitahidini sana Kushikamana na Wananchi wenu kwenye shida na Mali ili siku mkikatwa, Na mioyo ya Wananchi wenu iende nanyi mtakakokwenda!

Na Chadema Kubalini Ushauri, Mbunge wa CCM akihujumiwa akija kwenu, moja kwa Moja mpeni yeye Tiketi ya Kugombea Jimbo Lake. Let say Uchaguzi uliopita Alipokuwa CCM kwenye hilo jimbo Alishinda kwa kura 30,000 Na Ninyi mkapata Kura 22,000 sasa Uchaguzi Ujao Akifukuzwa CCM, Panga Pangua atakuwa Mioyoni mwa angalau nusu. 15,000 Akija Kwenu Mkimpitisha awe mgombea wenu bila mizengwe ya Kijinga, Kaja na at least Kura 15000, Nyie zenu za Uchaguzi Uliopita hata kama Mki maintain nusu yake hapo mna Kura 11000 Kwa uchache. Hapo Ukijumlisha autakuta, amekuja na Kura 15000, Mkamtupia zenu 11000 hapo anashinda kwa Mbali sana kwa Kura 36,000 huku huyu Imposter mpya wa CCM kama Shetani wake akimsaidia Ataambulia Maximum ya Kura 15,000.

CHADEMA ACHENI DHARAU MKISHAURIWA FANYENI SIASA KWA AKILI. MNGEWEZA KUWEKA HATA TANGAZO, UKITOKA CCM TUTAKUPITISHA JIMBO LAKO BILA KUPINGWA, WENGI WATAKUJA, HATA WAKIWA WATANO KATI YA MIA NI SAWA KWANI HAYO MAJIMBO SIO YENU NA YOU HAVE NOTHING TO LOSE!
Yangoswe!
 
Well said Mr kiujumla siasa za upnzani znatakiwa kuwa rafu na zakuhujumu plus vitisho kama vile ukuta......ikiwezekana hata kutokuzikana misibani akifa wa ccm waende ccm wenzao hiii kidogo itawatisha maana idadi inazungumza upnzan tuko wengi kuliko wao
 
Well said Mr kiujumla siasa za upnzani znatakiwa kuwa rafu na zakuhujumu plus vitisho kama vile ukuta......ikiwezekana hata kutokuzikana misibani akifa wa ccm waende ccm wenzao hiii kidogo itawatisha maana idadi inazungumza upnzan tuko wengi kuliko wao
Yap Inatakiwa Kupiga Mikwara panapohitajika Mikwara, Kuwakimu Kimaisha Mafundi wa Vile Vibombadia, kwani mtu akipewa elfu tano mara elf akapake viatu rangi ili afanye kazi yake "vizuri zaidi" Hiyo nayo ni hujuma? I wish ningekuwa Mbowe kwa mwezi mmoja tu! Ningewanyoosha watu na wanastahili ila Kama Kagame alivyosemaga wakati fulani, they will not see it comming!
 
Ni maoni na mtazamo wake. Ni bora Chadema wakatafakari yale wanayoambiwa na wapinzani wao.
Unajua mpinzani wa Chadema ni ACT , CCM na TLP na sasa amekuja CUF- Lipumba.
Kwa hiyo Chadema wasikurupuke bila kutafakari hoja na shutuma za wapinzani wake. Suala la ukabila linatajwa sana ndani ya Chadema. Japo linaweza likatokana historia ya chama na waliokipigania na kukijenga chama. Hata hivyo kwa sasa chama hicho kimeshakua inabidi kujenge zaidi taswira ya umoja wa kitaifa.
Wewe unayemtambua Lipumba unasema? Huo Ushauri Mpe Magufuli, one asiendeleee Kumpakata Bullshit oh Bashite two Asiwe anakimbia Misiba na shughuli Muhimu kumwogopa Lowassa atashangiliwa Rais Rais Rais mbele zake! Yangu ni hayo tu kwa sasa!
 
Baadhi ya Wabunge Makini wanaohoji Mambo CCM wameanza Kutishiwa kuwa wasipobadili Mienendo yao watapokonywa Majimbo yao katika Kura za Maoni 2020. Na ni wengi hasa kiasi cha kuwa hata Speaker hawezi kuwa spared kama hatacheza Ngoma ya Koromije!

Vitisho hivi sio official ila vinapenyezwa na aina za Wale wabunge wanaotamani kulia bunge likiwa live, Wale wanaosema Kuku zilipe kodi na Rambirambi zikatwe kodi. Na kuna ambao walishabugi hata kama wakifanyaje Ba-Bashite ameshawaweka X. Sasa ndio hapo inabidi wawe na Mikakati ya kufa na Kupona.

Na ndio Maana huwa nawaambia hawa wabunge kuwa kushiriki kuua Upinzani ni sawa na Kuchoma Ngalawa kisa Umenunua Mtumbwi. Mkiutetea Upinzani Kihalali, Mkiusaidia Usihujumiwe, na sio Lazima kufanya makubwa ya Kuonekana wasaidieni kujua siri za hujuma etc. Upinzani ukiwa na Nguvu, ikikaribia 2020 hawa waliyoyadhamiria wakifanya Kweli? Mtakuwa na Pakwenda kupigania Majimbo yenu.

Kwa sasa hawa Wabunge waliowengi hata wakijifanya kutetea nu 5 kwa kidizaini, Jamaa alishadhamiria. Haya msiseme hamkujua. Na najua wengi Mnakijua Nachowaambia nachosema. Kingine Jitahidini sana Kushikamana na Wananchi wenu kwenye shida na Mali ili siku mkikatwa, Na mioyo ya Wananchi wenu iende nanyi mtakakokwenda!

Na Chadema Kubalini Ushauri, Mbunge wa CCM akihujumiwa akija kwenu, moja kwa Moja mpeni yeye Tiketi ya Kugombea Jimbo Lake. Let say Uchaguzi uliopita Alipokuwa CCM kwenye hilo jimbo Alishinda kwa kura 30,000 Na Ninyi mkapata Kura 22,000 sasa Uchaguzi Ujao Akifukuzwa CCM, Panga Pangua atakuwa Mioyoni mwa angalau nusu. 15,000 Akija Kwenu Mkimpitisha awe mgombea wenu bila mizengwe ya Kijinga, Kaja na at least Kura 15000, Nyie zenu za Uchaguzi Uliopita hata kama Mki maintain nusu yake hapo mna Kura 11000 Kwa uchache. Hapo Ukijumlisha autakuta, amekuja na Kura 15000, Mkamtupia zenu 11000 hapo anashinda kwa Mbali sana kwa Kura 36,000 huku huyu Imposter mpya wa CCM kama Shetani wake akimsaidia Ataambulia Maximum ya Kura 15,000.

CHADEMA ACHENI DHARAU MKISHAURIWA FANYENI SIASA KWA AKILI. MNGEWEZA KUWEKA HATA TANGAZO, UKITOKA CCM TUTAKUPITISHA JIMBO LAKO BILA KUPINGWA, WENGI WATAKUJA, HATA WAKIWA WATANO KATI YA MIA NI SAWA KWANI HAYO MAJIMBO SIO YENU NA YOU HAVE NOTHING TO LOSE!
Wewe unabeba mabox huko utajuaje ya TZ??
 
Wewe unayemtambua Lipumba unasema? Huo Ushauri Mpe Magufuli, one asiendeleee Kumpakata Bullshit oh Bashite two Asiwe anakimbia Misiba na shughuli Muhimu kumwogopa Lowassa atashangiliwa Rais Rais Rais mbele zake! Yangu ni hayo tu kwa sasa!


Lipumba ni Msanii sana. Hata akiongea ukimtizama machoni unaona kabisa nafsi inamsuta.
Lakini ndio hivyo atafanyaje wakati yeye mwenyewee hajuia anachofanya.

Hilo la Mkuu wa nchi tumwachie mwenyewe .
Kila mtu ana mkali wake.

Mwanamke anamwogopa mende. Lakini Mwanaume hamwogopi mende hapo hapo mwanaume anamwogopa mwanamke.
Mende hajui chochote.
Kila kiumbe kina mkali wake.
Hata wanasiasa kuna wanaoogopwa hata kwa kutaja jina tu ni tishio.
 
Personally naona kuna kila dalili za CDM kupoteza dira as 2020 is approaching, ikumbukwe kuwa uchaguzi serikali za mitaa ni kesho kutwa tu, so far sioni juhudi zozote zinazozaa matunda. Katibu Mkuu yupo kimya balaa, UKAWA ni kama imekufa, maana mgogoro wa CUF na ukimya wa NCCR unarudisha nyuma harakati. Think Tanks wa CHADEMA kuanzia Mnyika, Mdee, Lissu, Safari na wengineo hawajihushi tena kwenye kupanua chama, kuingiza wanachama wapya sio motive tena ya CDM. Chama kamwe hakitofanikiwa kwa kuwa na mashabiki wengi, bali wanachama wengi. Makene naye yupo kimya. Inshort baada ya uchaguzi 2015 ni kama hakuna mikakati tena, chama kinajiendesha in no direction, chama kipo kipo tu.
Kweli kabisa mkuu chama chochote cha siasa bila mikakati kabambe ya uhamasishaji umma ni mauti. Mapaka sasa si Chadema wala UKAWA kwa ujumla wake ambako utauona uhai wa kitengo cha uhamasishaji umma yaani Directorate of Mass Mobilization. Ukiuliza utaambiwa wamepigwa ban na serikali ya JPM lakini umma uliohamasishwa accordingly unaweza kufuta na kupindua ban.
 
Back
Top Bottom