Tetesi: Wabunge wa CCM Waanza Kutishiwa!

Oh please Nasfi Inamsuta Lipumba ana nafsi? Lipumba is hollow inside, Ni kama nyoka mwenye wazimu anavizia Mkia wake mwenyewe na kuudungilia mbali hafu akishtuka ni yeye anaanza kujipiga mwenyewe, "why I did this" too late my friend! Furaha ya msaliti ni ya kitambo!
huyu ndio kama lipumba.

Wote tukose Mentality!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahahaha, aibu jamani! Naona conscious zao zimekuwa smeared by hot iron!
Watu hawaruhusiwi kufanya kusanyiko la kisiasa hadharani. Utazionaje hizo motives!! ??
 
Kwakweli tunakoelekea kubaya sana,,siasa za chuki siyo nzuri, kinachotakiwa ni kuwa na urafiki. Unafiki siyo mzuri hata kidogo, na kiongozi anatakiwa kupokea changamoto likiwemo ma kukosolewa.
 
Wabunge tunawapima kwa mchango wa Kitaifa na wa jimbo kuwatisha wabunge ni kushindwa kulitumikia Taifa 'Kukosolewa ni Afya usipokosolewa huwezi kujua mapungufu yako' Where there is competition there is business
 


Wewe na wenzako wanne huwa hamna kazi nyingine?
 
Uliza swali hilo siku tukija Kukuomba Mkate but for now shut the hell up!

Umeshikwa pabaya wewe na nyumbu wenzenu http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/2b1cc9b5553cb051551e17aa1d8d11d6.jpg[/IMG
Tunajua mnalipwa na nani wala usidhani wewe una uchungu na nchi hii bali mnazidi kumlia hela na kumchosha mzee wa mafuriko bandia kazi kwenu sisi tunajua na ni aibu kwenu
 
Masikini huyu Mzee hata hanijui Lakini Nitamtetea Mpaka Dakika ya Mwisho kwani ana utu na Hana Roho ya Ushetani kama yule Jamaa! Lowassa Hoyeeeeeeeee! Ba-Bashite Zeroooooooo!
 
Wabunge tunawapima kwa mchango wa Kitaifa na wa jimbo kuwatisha wabunge ni kushindwa kulitumikia Taifa 'Kukosolewa ni Afya usipokosolewa huwezi kujua mapungufu yako' Where there is competition there is business
Madictator Uchwara Hilo hawalijui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…