The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Hili Bunge la chama kimoja ni hovyo kabisa watu hawakabani mashati
Najiuliza CCM ni watawala wako wenyewe wanaisimamia serikali.
Afu madudu yakifanyika
Wanalalamika. Asa Nani awasaidie? Kwa niñi wasichukue hatuna mara moja.
Unajua kujidunga sindano mwenyewe ni kazi ngumu sana inahitaji ujasiri wa ziada. Wabunge wa CCM more than 80% ni majizi. yamo humohumo wanaoneana aibu.
Watanzania tuna haja ya kuamkaa Kwa pamoja na kuwakataa hawa watu ni mchwa. Nchi inatafunwa kama haina mwenyewe.
Najiuliza CCM ni watawala wako wenyewe wanaisimamia serikali.
Afu madudu yakifanyika
Wanalalamika. Asa Nani awasaidie? Kwa niñi wasichukue hatuna mara moja.
Unajua kujidunga sindano mwenyewe ni kazi ngumu sana inahitaji ujasiri wa ziada. Wabunge wa CCM more than 80% ni majizi. yamo humohumo wanaoneana aibu.
Watanzania tuna haja ya kuamkaa Kwa pamoja na kuwakataa hawa watu ni mchwa. Nchi inatafunwa kama haina mwenyewe.