Binafsi nilitoa maoni yangu juu ya KATIBA mpya mbele ya Mzee huyu somewhere akiwa mkt wa Tume ya Katiba.On
Only Warioba Katiba Will Save our nation
Mungu ampe maisha marefu Mzee wetu mzuri WARIOBA Ili akamilishe KAZI tulomwomba aifanye Watanzania na awepo kuikabidhi KATIBA mpya 2026.
Ameeen.