Wabunge wa CHADEMA ambao hawajakata rufaa wako hatarini, CHADEMA kusikiliza rufaa 6 tu

Wabunge wa CHADEMA ambao hawajakata rufaa wako hatarini, CHADEMA kusikiliza rufaa 6 tu

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Spika wa bunge la JMT Mh Tulia Ackson alisema anasubiri maamuzi ya Baraza kuu la CHADEMA ili kujua hatma ya wabunge 19 wa chama hicho

Habari kutoka makao makuu ya CHADEMA yaliyopo mtaa wa Ufipa zinasema Baraza kuu litasikiliza rufani 6 tu zilizokatwa na kwamba hao wengine 13 maamuzi yanasimama yale yale yaliyotolewa na kamati kuu.

Kikao cha Baraza kuu kitaongozwa na makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lissu ambaye anategemewa kuwasili nchini wakati wowote kuanzia sasa.

Kila la kheri Tundu Lissu na CHADEMA!
 
Acha aje apiganie ruzuku, halafu kwa Sasa join the chain erythrocyte kasema Kuna 12m nadhani lissu keshajua Kuna mpunga.
Karibu lissu karibu Amsterdam.
 
Nasikia wamedhia kuungana na serikali hivyo wameamua kuandika majina mengine wayapeleke hao akina mudee watatemwa rasmi
 
Naibu spika aliyebadilisha na kuwa spika ni mwanasheria mwenye ngazi ya PhD katika sheria na anayoyaeleza ndicho kiwango cha uelewa wake. Sasa sijui mtu kama mimi niliyeishia darasa la 4B uelewa wangu utakuwaje.

Nchi hii ina tatizo kubwa na kibaya zaidi tulijenga kasumba ya kuwaamini wasomi wakati 99% wamesoma ili wapate kazi na mshahara na sio kupractice walichokisoma
 
Naibu spika aliyebadilisha na kuwa spika ni mwanasheria mwenye ngazi ya PhD katika sheria na anayoyaeleza ndicho kiwango cha uelewa wake. Sasa sijui mtu kama mimi niliyeishia darasa la 4B uelewa wangu utakuwaje.

Nchi hii ina tatizo kubwa na kibaya zaidi tulijenga kasumba ya kuwaamini wasomi wakati 99% wamesoma ili wapate kazi na mshahara na sio kupractice walichokisoma
Jaji mkuu alisema elimu ya Tanzania inakaribia kuexpire!
 
Hawaoni umuhimu wa kukata rufaa kwenye Chama sababu kwanza wanajua walikuwa hawajafukuzwa bali yalikuwa ni mapendekezo ya kamati kwenda mkutano Mkuu ili maamuzi kamili yafikiwe, pili wanajua wakishafukuzwa rasmi wataenda mahakamani na wataendelea na ubunge wao.
 
Hawaoni umuhimu wa kukata rufaa kwenye Chama sababu kwanza wanajua walikuwa hawajafukuzwa bali yalikuwa ni mapendekezo ya kamati kwenda mkutano Mkuu ili maamuzi kamili yafikiwe, pili wanajua wakishafukuzwa rasmi wataenda mahakamani na wataendelea na ubunge wao.
Endelea kukariri!
 
Back
Top Bottom