Wabunge wa CHADEMA ambao hawajakata rufaa wako hatarini, CHADEMA kusikiliza rufaa 6 tu

Wabunge wa CHADEMA ambao hawajakata rufaa wako hatarini, CHADEMA kusikiliza rufaa 6 tu

Hawaoni umuhimu wa kukata rufaa kwenye Chama sababu kwanza wanajua walikuwa hawajafukuzwa bali yalikuwa ni mapendekezo ya kamati kwenda mkutano Mkuu ili maamuzi kamili yafikiwe, pili wanajua wakishafukuzwa rasmi wataenda mahakamani na wataendelea na ubunge wao.

Unaendeleaje na Ubunge umeshafukuzwa uanachama?. Mahakamani hata Zitto Kabwe alienda, Ila mwisho wa siku alikimbia.

Speaker kashasema wanasubiri mchakato wa Chadema , ili wafanyeje maamuzi.
 
Acha aje apiganie ruzuku, halafu kwa Sasa join the chain erythrocyte kasema Kuna 12m nadhani lissu keshajua Kuna mpunga.
Karibu lissu karibu Amsterdam.

Hata ingekuwa laki moja lakini chama kimeonesha uhai.
 
Spika wa bunge la JMT mh Tulia Ackson alisema anasubiri maamuzi ya Baraza kuu la CHADEMA ili kujua hatima ya wabunge 19 wa chama hicho

Habari kutoka makao makuu ya CHADEMA yaliyopo mtaa wa Ufipa zinasema Baraza kuu litasikiliza rufani 6 tu zilizokatwa na kwamba hao wengine 13 maamuzi yanasimama yale yale yaliyotolewa na kamati kuu.

Kikao cha Baraza kuu kitaongozwa na makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lissu ambaye anategemewa kuwasili nchini wakati wowote kuanzia sasa.

Kila la kheri Tundu Lissu na CHADEMA!

Wale wasichana walifanya maamuzi ya kijinga wakiangalia upepo wa uchaguzi mkuu na kuona CHADEMA haitainuka Tena. Wakiangalia maslahi yao binafsi.
 
N
Hawaoni umuhimu wa kukata rufaa kwenye Chama sababu kwanza wanajua walikuwa hawajafukuzwa bali yalikuwa ni mapendekezo ya kamati kwenda mkutano Mkuu ili maamuzi kamili yafikiwe, pili wanajua wakishafukuzwa rasmi wataenda mahakamani na wataendelea na ubunge wao.

Hawawezi kwenda mahakamani, maana itadhihirika kwamba walipata ubunge kinyume Cha sheria.
 
Naibu spika aliyebadilisha na kuwa spika ni mwanasheria mwenye ngazi ya PhD katika sheria na anayoyaeleza ndicho kiwango cha uelewa wake. Sasa sijui mtu kama mimi niliyeishia darasa la 4B uelewa wangu utakuwaje.

Nchi hii ina tatizo kubwa na kibaya zaidi tulijenga kasumba ya kuwaamini wasomi wakati 99% wamesoma ili wapate kazi na mshahara na sio kupractice walichokisoma
Kama huyu hapa

1646202090370.png
 
Spika wa bunge la JMT mh Tulia Ackson alisema anasubiri maamuzi ya Baraza kuu la CHADEMA ili kujua hatima ya wabunge 19 wa chama hicho

Habari kutoka makao makuu ya CHADEMA yaliyopo mtaa wa Ufipa zinasema Baraza kuu litasikiliza rufani 6 tu zilizokatwa na kwamba hao wengine 13 maamuzi yanasimama yale yale yaliyotolewa na kamati kuu.

Kikao cha Baraza kuu kitaongozwa na makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lissu ambaye anategemewa kuwasili nchini wakati wowote kuanzia sasa.

Kila la kheri Tundu Lissu na CHADEMA!
Hilo ndio lilikuwa linasubiriwa sijui kwa nini limechukua muda mrefu hivyo

Lakini Lisu mjanja mno alipoteza Passport anakuja kafyata Taratibu za kisheria kuipata akaona nauli ya kuja hana na pesa za kukaa nchini hana akaona watumie gia ya kuja kwa akili ya kikao cha baraza kuu ili alipwe na Chadema kila kitu.

Huo mkutano wangefanya hata kwa teleconference mbona join the chain wanafanya bila kukutana uso kwa uso?
Anyway ni mambo jema katiba ya Chadema imezingatiwa hili ndilo tulipiga kelele sana ila Mnyika na Mbowe walikuwa vikwazo hawataki kuitisha baraza kuu sijui kwa nini
 
Tulia si alisema wale 19 wote ni halali? Leo anasubiri nini sasa kutoka CDM?
Ni halali ndiyo mpaka pale CHADEMA itakapomthibitishia kuwa siyo halali! Binti ni mwanasheria huyu huwa hatoi majibu yanayoweza kuja kumfunga baadaye
 
Spika wa bunge la JMT Mh Tulia Ackson alisema anasubiri maamuzi ya Baraza kuu la CHADEMA ili kujua hatma ya wabunge 19 wa chama hicho

Habari kutoka makao makuu ya CHADEMA yaliyopo mtaa wa Ufipa zinasema Baraza kuu litasikiliza rufani 6 tu zilizokatwa na kwamba hao wengine 13 maamuzi yanasimama yale yale yaliyotolewa na kamati kuu.

Kikao cha Baraza kuu kitaongozwa na makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lissu ambaye anategemewa kuwasili nchini wakati wowote kuanzia sasa.

Kila la kheri Tundu Lissu na CHADEMA!
tatizo lipo kwa makamu mwenyekiti maana hatakuja wanapiga porojo tu lissu haji nchi leo wala kesho
 
Hilo ndio lilikuwa linasubiriwa sijui kwa nini limechukua muda mrefu hivyo

Lakini Lisu mjanja mno alipoteza Passport anakuja kafyata Taratibu za kisheria kuipata akaona nauli ya kuja hana na pesa za kukaa nchini hana akaona watumie gia ya kuja kwa akili ya kikao cha baraza kuu ili alipwe na Chadema kila kitu.

Huo mkutano wangefanya hata kwa teleconference mbona join the chain wanafanya bila kukutana uso kwa uso?
Anyway ni mambo jema katiba ya Chadema imezingatiwa hili ndilo tulipiga kelele sana ila Mnyika na Mbowe walikuwa vikwazo hawataki kuitisha baraza kuu sijui kwa nini
Nadhani Mbowe na Mnyika wana maslahi fulani kwa wale covid 19!
 
tatizo lipo kwa makamu mwenyekiti maana hatakuja wanapiga porojo tu lissu haji nchi leo wala kesho
Lisu anakuja tena kwa kugharamiwa na serikali.

Usikariri bwashee mambo yameshabadilika!
 
s
Naibu spika aliyebadilisha na kuwa spika ni mwanasheria mwenye ngazi ya PhD katika sheria na anayoyaeleza ndicho kiwango cha uelewa wake. Sasa sijui mtu kama mimi niliyeishia darasa la 4B uelewa wangu utakuwaje.

Nchi hii ina tatizo kubwa na kibaya zaidi tulijenga kasumba ya kuwaamini wasomi wakati 99% wamesoma ili wapate kazi na mshahara na sio kupractice walichokisoma
asa wewe wa la 4b unaweza kubishana na phd? kwanza sheria hujui usifikiri yule spika ni kilaza anajuwa wapi pa kuchomokea na angekuwa nje ya sheria chadema wangekuwa wameshaenda mahakamani lakini wamekaa kimya ujue walikoroga wenyewe
 
Wakiwaacha hawa 19 wakaendelea, chances ni kwamba hata kwenye Bunge lijalo la 2025-2030 hawa watgombea na kupata ubunge. Wakiwafukuza, wajue 2025 hawa watakuwa CCM na watakuwa wabunge kupitia CCM.
CHADEMA kama wanajipenda, wasiwafukuze hawa wabunge, kwani kwa kufanya hivyo, watakuwa wana-jeopardize chance yao ya kupata wabunge wengi 2025. Wasifanye hasira ya mkisi. Mimi nashauri wawaache na Mh. Tundu Lissu naomba zimfikie taarifa hizi
 
NJAA HAINA BAUNSA
CHADEMA HALI YA UCHUMI ITAYUMBA IKIWAFUKUZA HAO WABUNGE NA KAMWE HAWAWEZI KUFANYA HIVYO

Kwa taarifa yako hawachukui ruzuku ya 100m+@month, sasa hao wabunge ndio wanawapa hiyo 100m wanayoikataa?
 
Back
Top Bottom