Wabunge wa CHADEMA ambao hawajakata rufaa wako hatarini, CHADEMA kusikiliza rufaa 6 tu

Wabunge wa CHADEMA ambao hawajakata rufaa wako hatarini, CHADEMA kusikiliza rufaa 6 tu

Wakiwaacha hawa 19 wakaendelea, chances ni kwamba hata kwenye Bunge lijalo la 2025-2030 hawa watgombea na kupata ubunge. Wakiwafukuza, wajue 2025 hawa watakuwa CCM na watakuwa wabunge kupitia CCM.
CHADEMA kama wanajipenda, wasiwafukuze hawa wabunge, kwani kwa kufanya hivyo, watakuwa wana-jeopardize chance yao ya kupata wabunge wengi 2025. Wasifanye hasira ya mkisi. Mimi nashauri wawaache na Mh. Tundu Lissu naomba zimfikie taarifa hizi
Acha kukariri bwashee.

Kimsingi hao walishafukuzwa!
 
s

asa wewe wa la 4b unaweza kubishana na phd? kwanza sheria hujui usifikiri yule spika ni kilaza anajuwa wapi pa kuchomokea na angekuwa nje ya sheria chadema wangekuwa wameshaenda mahakamani lakini wamekaa kimya ujue walikoroga wenyewe

PhD bongo, tena ya mwanamke. Kama PhD ndio kutema pumba za vile, bora nibaki na haka kadegree kangu.
 
CCM na Mnyika!
ni CCM ndiyo wanatuharibia nchi yetu, wanaifanya TZ isiwe na sera madhubuti ya kujitegemea - sasa ghafla bin vuu wamewageukia tena mabeberu kuwa marafiki zao kuwakopa hela.
 
Kwa taarifa yako hawachukui ruzuku ya 100m+@month, sasa hao wabunge ndio wanawapa hiyo 100m wanayoikataa?
Ndivyo mnavyodanganywa eeeeh,huku wenzenu wanazitumbua tu, gaidi asingekuwa analilia sambusa huko mahabusuni
 
Acha aje apiganie ruzuku, halafu kwa Sasa join the chain erythrocyte kasema Kuna 12m nadhani lissu keshajua Kuna mpunga.
Karibu lissu karibu Amsterdam.
CCM mnahangaika kama kuku anayetaka kutaga, mambo ya CDM wewe yanakuhusu nini?
 
Ndivyo mnavyodanganywa eeeeh,huku wenzenu wanazitumbua tu, gaidi asingekuwa analilia sambusa huko mahabusuni

Huo ndio ukweli, na sio hizo propaganda mfu unazoleta hapa. Kama sio utoto unaleta humu, weka udhibitisho kuwa wanachukua hiyo ruzuku.
 
Huo ndio ukweli, na sio hizo propaganda mfu unazoleta hapa. Kama sio utoto unaleta humu, weka udhibitisho kuwa wanachukua hiyo ruzuku.
Umenyimwa fursa ya kuingia kupitia viti maalum nini hiko kwenye CHADOMO yako hivyo unawaonea wivu wakina MDEE vile wanavyokibeba Chama kupitia ruzuku zao eeeeeeeh?
 
PhD bongo, tena ya mwanamke. Kama PhD ndio kutema pumba za vile, bora nibaki na haka kadegree kangu.
hivi ndugu ukipelekwa pale bungeni ukawe hata mwenyekiti tu wa bunge unaweza kuongoza au utakuwa unatetema tu
 
Umenyimwa fursa ya kuingia kupitia viti maalum nini hiko kwenye CHADOMO yako hivyo unawaonea wivu wakina MDEE vile wanavyokibeba Chama kupitia ruzuku zao eeeeeeeh?

Punguza utoto dogo.
 
hivi ndugu ukipelekwa pale bungeni ukawe hata mwenyekiti tu wa bunge unaweza kuongoza au utakuwa unatetema tu

Unaona kuongoza bunge ni kazi ngumu sana ama? Tena hilo bunge lenyewe la kuongoza kwa hila lina ugumu gani? Ma kwa kukusaidia mwenyekiti wa bunge ana nguvu kuliko spika. Kwa jinsi ulivyotaja hicho cheo, unadhani spika ndio mkubwa kwa mwenyekiti wa bunge.
 
Kakimbia vita vya ukraine kuja kuswagwa mboga za watu
 
CHADEMA haina mbunge yoyote hapo kwenye huo ukumbi wa mikutano ya CCM inayoongozwa na kigagula.
 
Back
Top Bottom