huo ni uongo yule aliyeshinda nkasi mbonahawajawahi kusema hawamtambui? yaani wanafichaficha tu
Alisema anasubiri maamuzi ya Baraza Kuu kwa mujibu wa katiba ya CHADEMATulia si alisema wale 19 wote ni halali? Leo anasubiri nini sasa kutoka CHADEMA?
Chadema kweli ni Nyumbu kabisa yaan.Spika wa bunge la JMT Mh Tulia Ackson alisema anasubiri maamuzi ya Baraza kuu la CHADEMA ili kujua hatma ya wabunge 19 wa chama hicho
Habari kutoka makao makuu ya CHADEMA yaliyopo mtaa wa Ufipa zinasema Baraza kuu litasikiliza rufani 6 tu zilizokatwa na kwamba hao wengine 13 maamuzi yanasimama yale yale yaliyotolewa na kamati kuu.
Kikao cha Baraza kuu kitaongozwa na makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lissu ambaye anategemewa kuwasili nchini wakati wowote kuanzia sasa.
Kila la kheri Tundu Lissu na CHADEMA!
Wao hawakuwa wajinga,mjinga ni yule aliyeratibu mchezo mzima.Wale wasichana walifanya maamuzi ya kijinga wakiangalia upepo wa uchaguzi mkuu na kuona CHADEMA haitainuka Tena. Wakiangalia maslahi yao binafsi.
Inategemea tu mwenyenacho AMEINA, AMECHUCHUMAA, AMELALA CHALII au Amekaaccm ni kama kipochi manyoya
haieleweki ipo wapi, siyo mbele , siyo chini, siyo juu wala siyo nyuma
Asingesema kwamba anasubiri chochote toka CDM.. Kitendo cha kutamka kuwa kuna anachosubiri toka CHADEMA maana yake kuna jambo...Ni halali ndiyo mpaka pale CHADEMA itakapomthibitishia kuwa siyo halali! Binti ni mwanasheria huyu huwa hatoi majibu yanayoweza kuja kumfunga baadaye
Na Prof Kitila Mkumbo amesema mitaala ya elimu ifumuliweJaji mkuu alisema elimu ya Tanzania inakaribia kuexpire!
Labda wakate Rufaa kwenye kamati kuu ya CCMWanaCCM wenzako hao
Mhaya wa wapi wewe, mushuti tu weeNaibu spika aliyebadilisha na kuwa spika ni mwanasheria mwenye ngazi ya PhD katika sheria na anayoyaeleza ndicho kiwango cha uelewa wake. Sasa sijui mtu kama mimi niliyeishia darasa la 4B uelewa wangu utakuwaje.
Nchi hii ina tatizo kubwa na kibaya zaidi tulijenga kasumba ya kuwaamini wasomi wakati 99% wamesoma ili wapate kazi na mshahara na sio kupractice walichokisoma
wengi wamesoma ili watumike sio kutumia elimu yao kwa manufaa ya "inchi"Naibu spika aliyebadilisha na kuwa spika ni mwanasheria mwenye ngazi ya PhD katika sheria na anayoyaeleza ndicho kiwango cha uelewa wake. Sasa sijui mtu kama mimi niliyeishia darasa la 4B uelewa wangu utakuwaje.
Nchi hii ina tatizo kubwa na kibaya zaidi tulijenga kasumba ya kuwaamini wasomi wakati 99% wamesoma ili wapate kazi na mshahara na sio kupractice walichokisoma
Tofautisha Mwenyekiti na baraza kuu. Baraza kuu ndio linaamua sio Mwenyekiti. Halafu kumtembelea mtu gerezani sio kosa hata CCM wanamtembelea Mwenyekiti gerezani. Tofautisha social cohesio na political decisions.
Hili tatizo lilivyo kubwa usijekuta na wewe ni msomis
asa wewe wa la 4b unaweza kubishana na phd? kwanza sheria hujui usifikiri yule spika ni kilaza anajuwa wapi pa kuchomokea na angekuwa nje ya sheria chadema wangekuwa wameshaenda mahakamani lakini wamekaa kimya ujue walikoroga wenyewe
Bumbire kisiwaniMhaya wa wapi wewe, mushuti tu wee
Na kweli, Bukelebe na Bumbire!Bumbire kisiwani
Jambo lipo kweli na inajulikana pasipo shaka kuwa jambo lipo, hata mimi naelewa hivyo. Kwa hiyo Mh. Spika anawasubiria CDM wamthibitishie pasipo shaka yoyote (beyond reasonable doubts) kwamba JAMBO hilo ni JAMBO kweli na si RUMOURS tu; mtu mzito kama huyo hawezi kufanyia kazi RUMOURS.Asingesema kwamba anasubiri chochote toka CDM.. Kitendo cha kutamka kuwa kuna anachosubiri toka CHADEMA maana yake kuna jambo...
Vyama vingine si kuna wabunge wa kuteuliwa..!! Mbona HAJASEMA kama anasubiri kitu huko kwingine?
Hilo Baraza kuu wanajua nn waliofanya, wanajua majina ambayo walipeleka kwenye vikao vyao bahari beach, wanajua ugomvi ulianzia wapi
Ww unatumia nguvu kubwa jf but wenyewe wanajua nn kilitokea and why majina ya viongozi wengine mdee kama Mwenyekiti wa wanawake aliyakataa
Baraza kuu ndio linaenda kukaa kuamua Rufaa sio uteuzi. Uteuzi ukifanyika chama kinapeleka majina na chadema haijapeleka majina kwa kauli ya NEC. Muda utatuambia ukweli hao wasaliti waondolewe Mara moja.
Nchi inafunguliwa Mkuu,huenda wangechukua CHADOMO ndio ingeuzwa kabisaMkuu punguza hasira, umemwita mbowe gaidi, Mara udai CHADEMA inapokea ruzuku na Tena unadai CHADEMA inatumikia mabeberu. Wakati Rais wetu na Mwenyekiti wa CCM alikuwa huko anaomba mikopo kwa mabeberu na kusign mikataba ya kila aina.
Kati ya CCM na CHADEMA nani anamtumikia beberu. CHADEMA haipo kwenye vyombo vya maamuzi. Vyombo vyote vinashikiliwa na CCM, Sasa CHADEMA itatumika na mabeberu saa ngapi?.
Shoga wenu mwandamizi si ndio yupo huko ubelgiji anaweka mipango ya nchi kuingizwa kwenye hyo CHADOMO Chokos republic, na nasikia wewe ndio pioneer wao kwenye hiloWewe rukaruka lakini marinda yako wahuni wameshapita nayo shoga mwandamizi