johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Unaweza ukachezea Simba au Yanga lakini usig'ae kama ukiwa Toto Afrika ya Mwanza. Jambo la msingi ni nyota yako ig'ae alafu upachike magoli na magazeti yakuandike.Niwapongeze sana Mwita Waitara na Dr Mollel wao hawakutaka kushangaa shangaa barabarani wametoka chama kikuu cha upinzani Chadema na kuhamia direct chama tawala CCM.
Bado sijaelewa sababu za msingi kwa Lwakatare kuhamia Cuf hata kama ameahidiwa ukatibu mkuu lakini Ngangari bado ni chama kidogo sana Wilfred alishavuka hizo level.
Hata kwa Selasini mambo ni yale yale unatoka Simba unaenda kujisajili kwa mtoto wa Yanga......Toto Afrika ya Mwanza.
Maendeleo hayana vyama!
Hahahaaaa....... Kwahiyo akienda CCM atakosa namba?!Unaweza ukachezea Simba au Yanga lakini usig'ae kama ukiwa Toto Afrika ya Mwanza. Jambo la msingi ni nyota yako ig'ae alafu upachike magoli na magazeti yakuandike.
Nampongeza Lwakatare kwa uamuzi aliofanya.
Hata Cuf ruzuku inadhibitiwa na Lipumba plus Magdalena!Bora wahame tu
Huwezi kukaa kwenye chama kinachotumika na Mabeberu
Tena ruzuku anatafuna Mbowe na Lissu na wale wanawake wawili tu
Namba anaweza akapata ila asionekane uwanjani maana mastaa wengi. Amejiongeza.Hahahaaaa....... Kwahiyo akienda CCM atakosa namba?!
Au hajakizi vile vigezo vya Bashru?Namba anaweza akapata ila asionekane uwanjani maana mastaa wengi. Amejiongeza.
Vigezo vyote anavyo. Amejoongeza tu. Mambo ya kugombania namba ni mambo ya kizamani.Au hajakizi vile vigezo vya Bashru?
Ubunge wa CCM wakagombee kupitia CUF?Wameahidiwa ubunge wa uporaji kama ilivyokuwa serikali za mitaa! Na wewe unalijua hilo, unaandika kuwa ridicule watu hapa!
Ngosha haujaelewa madaBora wahame tu
Huwezi kukaa kwenye chama kinachotumika na Mabeberu
Tena ruzuku anatafuna Mbowe na Lissu na wale wanawake wawili tu
Hujaelewa hoja ya mleta uzi, kama kawaida yako umekurupuka.Bora wahame tu
Huwezi kukaa kwenye chama kinachotumika na Mabeberu
Tena ruzuku anatafuna Mbowe na Lissu na wale wanawake wawili tu
Unashangaa bwashee, mbona kuna mbunge wa CDM lakini ni mwanachama wa CCM? Kwa siasa TZ inawezekana na wewe unajua.Ubunge wa CCM wakagombee kupitia CUF?
Hiyo ya ccm ulishapewa wew na mamakomkaitafuna au anatafuna babako ikulu huku wewe ukibaki kupiga myayo na smartphone ya polepole hapa jf.Bora wahame tu
Huwezi kukaa kwenye chama kinachotumika na Mabeberu
Tena ruzuku anatafuna Mbowe na Lissu na wale wanawake wawili tu
Yes, Jiwe kawaahidi kuwapa vitu kadhaa kwa mlanga wa Mbatia alipokutaba naye. haya mambo hayana siri!Ubunge wa CCM wakagombee kupitia CUF?