Wabunge wa CHADEMA kuhamia NCCR/ CUF ni sawa na mchezaji mahiri kuhama Simba kwenda Toto Africans badala ya Yanga!

Wabunge wa CHADEMA kuhamia NCCR/ CUF ni sawa na mchezaji mahiri kuhama Simba kwenda Toto Africans badala ya Yanga!

Mpinzani unatoka chama cha upinzani unaenda kuwa mpinzani huo si ufala wa hali ya juu ..
 
Niwapongeze sana Mwita Waitara na Dr Mollel wao hawakutaka kushangaa shangaa barabarani wametoka chama kikuu cha upinzani Chadema na kuhamia direct chama tawala CCM.

Bado sijaelewa sababu za msingi kwa Lwakatare kuhamia Cuf hata kama ameahidiwa ukatibu mkuu lakini Ngangari bado ni chama kidogo sana Wilfred alishavuka hizo level.

Hata kwa Selasini mambo ni yale yale unatoka Simba unaenda kujisajili kwa mtoto wa Yanga... Toto Afrika ya Mwanza.

Maendeleo hayana vyama!
Mkuu ule ni Usajili wa mkopo...kama mshahara unatoka Simba tatizo ni lipi kucheza Toto? cha msingi si ni posho bwa shee
 
Niwapongeze sana Mwita Waitara na Dr Mollel wao hawakutaka kushangaa shangaa barabarani wametoka chama kikuu cha upinzani Chadema na kuhamia direct chama tawala CCM.

Bado sijaelewa sababu za msingi kwa Lwakatare kuhamia Cuf hata kama ameahidiwa ukatibu mkuu lakini Ngangari bado ni chama kidogo sana Wilfred alishavuka hizo level.

Hata kwa Selasini mambo ni yale yale unatoka Simba unaenda kujisajili kwa mtoto wa Yanga... Toto Afrika ya Mwanza.

Maendeleo hayana vyama!
NCCR na CUF ni vitengo ndani ya CCM vye jukumu la kuhujumu upinzani wa kweli
 
Niwapongeze sana Mwita Waitara na Dr Mollel wao hawakutaka kushangaa shangaa barabarani wametoka chama kikuu cha upinzani Chadema na kuhamia direct chama tawala CCM.

Bado sijaelewa sababu za msingi kwa Lwakatare kuhamia Cuf hata kama ameahidiwa ukatibu mkuu lakini Ngangari bado ni chama kidogo sana Wilfred alishavuka hizo level.

Hata kwa Selasini mambo ni yale yale unatoka Simba unaenda kujisajili kwa mtoto wa Yanga... Toto Afrika ya Mwanza.

Maendeleo hayana vyama!
Kwani baada ya uchaguzi mkuu wa 2020 CDM itaendelea kuwa chama kikuu cha upinzani?

Si ajabu wao ndiyo wameamua kwenda chama kikuu cha upinzani kifuatiacho baada ya uchaguzi ufatiao.
 
Shukrani sana M. Melo kwa kutuletea ignore Option. Hawa mbuzi wa lumumba kina mbuzi jike Bia yetu na changudoa wa Malunde sasa hivi hawanipi tabu

Much respect
 
Back
Top Bottom