Better late than never. Blind loyalty itawaponza wenzetu wa kijani. Waendelee kujifukiza.Ni uamuzi wa busara, wameamua kujiongeza, sasa wale wakijani waendelee kutuwakilisha no retreat no surrender.
Rais kasema tuchape kazi yupo nao bega kwa bega.
denooJSalaam Wakuu.
Taarifa niliyopenyezewa hivi punde inasema wabunge wa Chadema kwa pamoja wameamua kubaki nyumbani ili kujilinda na janga la Corona linaloitingisha nchi yetu kwa sasa.
Naona Esther Bulaya ame tweet, na page ya Bavicha pia.
Sent using Jamii Forums mobile app