Mbona Magu kajificha uvunguni mwa kitanda Chato? Hata kukaa tu Dar anaogopa au DodomaVita ni vita tu,
Hii nayo ni vita, inapaswa waache kujiita makamanda na kuvaa magwanda kwakua vita hawaviwezi hawa, kwenye amani wanajiita makamanda vita ikija wanakimbia uvunguni mwa kitanda, haha, makamanda uchwara wa chadema.
Ofisi ya Rais iko popote hapa TZ Be informed!Mbona Magu kajificha uvunguni mwa kitanda Chato? Hata kukaa tu Dar anaogopa au Dodoma
Umesoma ukamaliza na kuelewa walichoamua? Wametamka kuwa watajiweka kwenye karantini huko huko DodomaHawakujua haya Kabla ?
Kama issue ni hili Janga nashauri wakae huko huko nyumbani (Dodoma) na sio kwenye majimbo yao hence self karantini...
Watu kama nyie ndiyo huwa mnavuruga mijadala pasipo sababu yoyote.Soma.kwanza ujumbe mzima,kisha tafakari na uchangie sasa kwa maandishi.Hawakujua haya Kabla ?
Kama issue ni hili Janga nashauri wakae huko huko nyumbani (Dodoma) na sio kwenye majimbo yao hence self karantini...
Kkkkkkkkk"Ila Jiwe ni kima kabisa eti watu waendelee kuchapa kazi uku yeye kajificha duh"
Nishajibu hili ila sababu na wewe haujasoma majibu kabla ya kujibu tajibu tena...Watu kama nyie ndiyo huwa mnavuruga mijadala pasipo sababu yoyote.Soma.kwanza ujumbe mzima,kisha tafakari na uchangie sasa kwa maandishi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa ivo kulikuwa na haja gani kujenga Ikulu Dodoma!??Ofisi ya Rais iko popote hapa TZ Be informed!
Huu ni msimamo wa CDM,hao wa NCCR huu msimamo hauwahusuKuna taarifa kuwa wabunge wa Chadema ambao wametangaza kuhamia Nccr mageuzi waheshimiwa Komu na Selasini wataungana na mwenyekiti wao mpya mh James Mbatia kuendelea na vikao vya bunge.
Wabunge hao wamesema kwa sasa hawako chini ya KUB Mbowe hivyo hawahusiki na maagizo yake.
Inasemekana kuwa hata Kubenea, Mwakajonga na Silinde wataendelea kupambana na Corona wakiwa ndani ya bunge na hawatajiweka katika karantini ya Chadema.
Maendeleo hayana vyama!
Kumbe ndo mana ccm wanakomaa kisa mishahara , aisee uhai muhimu, sasa ukishakufa huo mshahara utaenda kuupatia wap