Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Yule Mkulu Kirusi kimempeleka uhamishoni(exile) bila kupenda!Na yule mkulu aliyekimbilia kule kijijini kwake unamuongeleaje?
We huoni kichwa chako ndiyo kina mavi kabisaHivi kichwani umejaa kamasi au? Kama jibu umepewa na bado unafikiria kumlinganisha raisi na majaaliwa au na mtu yeyote yule huoni Kama unajidhihirisha ufahamu wako ni mdogo sana? Raisi wa nchi na amiri jeshi mkuu awe sawa na mbowe?
Pole karibu sanaWe huoni kichwa chako ndiyo kina mavi kabisa
Nikaribie mavi?Pole karibu sana
Kuna tiba ya kupunguza makamasi kichwani cheki dm nimekutumia [emoji23][emoji1787][emoji2960]Nikaribie mavi?
Nani anataka mavi yako? Unatafuta bwana?Kuna tiba ya kupunguza makamasi kichwani cheki dm nimekutumia [emoji23][emoji1787][emoji2960]
.Nani anataka mavi yako? Unatafuta bwana?
How does it relate to your insanity?
Tofauti kubwa kwa wenye akili, wauguzi wanaokimbia kazi zao ni wajinga hawajui majukumu yao, hawapaswi kuwa na kibali cha kutibu. Wabunge wa Chadema wanatumia busara kama nchi nyingine zote zenye busara na kufuata maelekezo ya WHO, hao wanaojifanya miamba ya korona na kuendelea na bunge ni wajinga kama wananchi wengi wanaopinga lockdown, wapumbavu kama viongozi wa Brazil ambako wanakufa kuliko Italia baada ya kudharau korona na kupinga lockdown. Hao wabunge wanaojifanya miamba ndiyo wataopata Korona na kusambaza kwenye majimbo yao vijijini, ndio hapo mtakapo jiona wapumbavu wa mwisho na nchi kupigwa lockdown na dunia nzima.Just thinking aloud:
Baadhi ya wauguzi na watumishi wengine wa afya mahospitalini wakiwemo madaktari tumeambiwa wamekuwa wakikimbia vituo vyao vya kazi kuogopa kuambukizwa gonjwa hili hatari la corona. Hali hii imechangiwa zaidi kwa watumishi hawa kutopewa vifaa vya kujikinga na maambukizi haya, yaani PPE (personal protective equipment). PPE is not just a mere mask! It is more than that.
Tumeambiwa pia kuwa wabunge wa Chadema wamekimbia kituo chao cha kazi kwa kuogopa kuambukizwa gonjwa hili hatari. Tumeambiwa kuwa wabunge hawa wameenda kuji lockdown kabisa kabisa majumbani kwao hadi gonjwa hili litakapotoweka duniani. Wabunge hawa wakiwa kituoni kwao kazini hupatiwa barakoa za N95 free of charge, wakati wale wauguzi hospitalini hulazimika wengi wao (hasa wa hospitali za binafsi) kujinunulia barakoa zao za kiwango cha chini kwa bei ya sh 3,000/.
Sasa tofauti ni ipi kati ya wabunge hawa na wauguzi hawa ambao tunaamini wote wako kwenye frontline katika vita hii dhidi ya nduli Corona? Mbona wote wame-retreat siyo backline bali backhome?
Nani mwamba mbele ya Mzee Corona? Tatizo akikung'ata huugui peke yako bali familia na watu wote unaokutana nao kwa karibu. Wamefanya vyema kuchukua tahadhali bila kujali posho. Ninawapongeza na tusiwabeze. Waswahili wanasema: "Tamaa mbele mauti nyuma".Just thinking aloud:
Baadhi ya wauguzi na watumishi wengine wa afya mahospitalini wakiwemo madaktari tumeambiwa wamekuwa wakikimbia vituo vyao vya kazi kuogopa kuambukizwa gonjwa hili hatari la corona. Hali hii imechangiwa zaidi kwa watumishi hawa kutopewa vifaa vya kujikinga na maambukizi haya, yaani PPE (personal protective equipment). PPE is not just a mere mask! It is more than that.
Tumeambiwa pia kuwa wabunge wa Chadema wamekimbia kituo chao cha kazi kwa kuogopa kuambukizwa gonjwa hili hatari. Tumeambiwa kuwa wabunge hawa wameenda kuji lockdown kabisa kabisa majumbani kwao hadi gonjwa hili litakapotoweka duniani. Wabunge hawa wakiwa kituoni kwao kazini hupatiwa barakoa za N95 free of charge, wakati wale wauguzi hospitalini hulazimika wengi wao (hasa wa hospitali za binafsi) kujinunulia barakoa zao za kiwango cha chini kwa bei ya sh 3,000/.
Sasa tofauti ni ipi kati ya wabunge hawa na wauguzi hawa ambao tunaamini wote wako kwenye frontline katika vita hii dhidi ya nduli Corona? Mbona wote wame-retreat siyo backline bali backhome?
Wabunge wameamua kuchukua tahadhali ya afya zao hata wewe ukihisi sehemu fulani kuna hatari ni wazi hautakwenda wakati manesi na madaktari ni wajibu wao kutibu wagonjwa na kama wanakimbia wagonjwa ina maana wamekiuka kiapo chao walichoapa na pia hawastahili kupokea mshaharaWale watetezi wa kweli wa Wananchi Wabunge wa Chadema, baada ya kushawishi bunge kuwa ni hatari vikao kuendelea bila kuwapima wabunge na watumishi wa bunge afya zao bila mafanikio hadi wabunge 3 akiwamo waziri kufariki ndani ya siku zisizo zidi 10 wameamua kutoshiriki vikao vya bunge Ila wataendelea kuwapo Dodoma kwa shughuli zingine za kibunge.
Lema alionya kuwa corona itakapo anza kukamua wabunge watapoteana na sasa ina KAMUA KWELIView attachment 1436241
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawakujua haya Kabla ?
Kama issue ni hili Janga nashauri wakae huko huko nyumbani (Dodoma) na sio kwenye majimbo yao hence self karantini...
Tafuta kwanza majibu mengine kabla haujatoa shutuma (habari ilikuja kama news alert bila maelezo zaidi) nishajibu huko juu zaidi ya mara tatu, anyway na kuona tatizo sasa hivi haliondoi makosa waliyofanya kwenda huko in the first placeSoma kwanza kabla huja comment
Taarifa iliyotolewa inaonesha watabakia Dodoma
Sent from my iPhone using JamiiForums
toughlendon_1, Ameondoka rafiki yangu Mzee Abdulhaik Mulla( Kaka ya Mh. Mulla) kwa Covid 19,nimesikitika sana na kwa kifo cha Dr. Mahiga, kwa kweli nina hasira na hawa viumbe vifananavyo na binadamu.
Sasa mbona nyumbu wenzio wanalialia wanataka mpaka Magufuli aseme?Mbona tulp lockdown tangu March, kabla ya siku tatu za maombi.