toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
"Ila Jiwe ni kima kabisa eti watu waendelee kuchapa kazi uku yeye kajificha duh"
Hatua zimekuja kwa kuchelewa sana lakini ni bora. Nilitegemea na viongozi wa dini nao wafanye hivyo hivyo lakini wao wanawaza sadaka tu.Hawakujua haya Kabla ?
Kama issue ni hili Janga nashauri wakae huko huko nyumbani (Dodoma) na sio kwenye majimbo yao hence self karantini...
bunge lilipaswa kuwapima wabunge wote ili wale wenyeTetesi nilizopata ni kuwa wabunge wote Wa chadema wanaumwa corona wanaji lock down wajifukizie
Mishahara na uhai wa mtu ni kipi bora wewe bwege? Mama Rwakatare na Ndassa huko kaburini wanapokea mishahara? Mnathamini pesa kuliko utu?
Kuna tetesi wabunge watatu wa ccm tayari wamefariki na coronaTetesi nilizopata ni kuwa wabunge wote Wa chadema wanaumwa corona wanaji lock down wajifukizie