toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
"Ila Jiwe ni kima kabisa eti watu waendelee kuchapa kazi uku yeye kajificha duh"
Katukimbia aisee, wale wazee wa lumumba wazee wa mapambio wamepotelea wapi ? Tulisema hapa mwez wa tatu wakatushushia matusi aisee. Wapuuz sana ccm na corona ilivyo ya kishenz inatafuna mijitu ya ccm sana ila kinachoniuma imedondosha na ndugu zetu wengi, Majitu ya ccm ndio yametuponza hayawez kupinga kitu akisema magufuli ni mwendo wa ndio mzee daah
Sent from my iPhone using JamiiForums