Wabunge wa Chadema wanaweza kukosa " bahati" ya kukutana uso kwa uso na Rais Magufuli na kupiga picha ya pamoja hadi bunge linavunjwa!

Wabunge wa Chadema wanaweza kukosa " bahati" ya kukutana uso kwa uso na Rais Magufuli na kupiga picha ya pamoja hadi bunge linavunjwa!

Kama DJ na ushamba wake alishaenda ulaya na kupiga picha nje ya jengo la bunge la ulaya kisha akaituma kwenye mitandao sasa sipati picha angebahatika kupiga picha na JPM nadhani ange itupia kwenye mitandao yote ya kijamii kuonyesha alivyo karibu na JPM.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona juzi mlipeleka ndege kusombelea miti shamba,kwa nchi inayoongozwa na DJ? Au kwa ujinga wako ulikuwa hujui?
 
Ikumbukwe kwamba wakati Rais Magufuli anafungua bunge mwishoni mwa 2015 wabunge wa Chadema walisusia kikao na kutoka nje ya ukumbi.

Mwishoni mwa mwezi huu Rais Magufuli atalivunja bunge na kuna kila dalili huenda wabunge wa Chadema asilia hawatakuwepo ukumbini bali watakuwepo wale Chadema " masalia"
Ndio kusema wabunge wa Chadema asilia wanaweza kuikosa fursa adhimu ya kukutana na mkuu wa nchi katika kipindi chote cha ubunge.

Naelewa baadhi yao kama mchungaji Msigwa, Prof Jay, Sugu, Lema na hata Heche walishakutana na Rais katika majimbo yao wakati Dr Magufuli alipofanya ziara lakini sikumbuki kuwaona wakibahatika kupiga picha ya pamoja, Labda Sugu pekee ndio alibahatika kupanda gari ya Rais Magufuli pale Mbeya na kuwasalimia wapiga kura wake.

Maendeleo hayana vyama!
Yohana naomba utumie Lugha nzuri ya Chadema wazalendo badala ya masalia. Maana hata baada ya bunge kuvunjwa hakuta kuwa na masalia tena.
 
upinzani aliondoka nao dr slaa.akabakiza kidoogo kwa lowasa.lowasa nae kaunga tela.
hawa akina mbowe hamna kitu badala ya kujipanga uchaguzi umefika yeye anazidi kuvuruga.kwisha kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kamwambie jiwe maneno hayo kama ajakuchapa makofi.yeye halali kwa ajili ya upinzani uliopo anatamani kuwa malaika.
 
Ikumbukwe kwamba wakati Rais Magufuli anafungua bunge mwishoni mwa 2015 wabunge wa Chadema walisusia kikao na kutoka nje ya ukumbi.

Mwishoni mwa mwezi huu Rais Magufuli atalivunja bunge na kuna kila dalili huenda wabunge wa Chadema asilia hawatakuwepo ukumbini bali watakuwepo wale Chadema " masalia"
Ndio kusema wabunge wa Chadema asilia wanaweza kuikosa fursa adhimu ya kukutana na mkuu wa nchi katika kipindi chote cha ubunge.

Naelewa baadhi yao kama mchungaji Msigwa, Prof Jay, Sugu, Lema na hata Heche walishakutana na Rais katika majimbo yao wakati Dr Magufuli alipofanya ziara lakini sikumbuki kuwaona wakibahatika kupiga picha ya pamoja, Labda Sugu pekee ndio alibahatika kupanda gari ya Rais Magufuli pale Mbeya na kuwasalimia wapiga kura wake.

Maendeleo hayana vyama!
Mh! Picha! kwa prestige ipi na huyo? Hata Trump huwezi kujivunia kupiga picha naye , labda Pope! huyo nitajivunia maana ana haki Ukweli na Umungu ndani yake!
 
Kama DJ na ushamba wake alishaenda ulaya na kupiga picha nje ya jengo la bunge la ulaya kisha akaituma kwenye mitandao sasa sipati picha angebahatika kupiga picha na JPM nadhani ange itupia kwenye mitandao yote ya kijamii kuonyesha alivyo karibu na JPM.

Sent using Jamii Forums mobile app
Una umri gani wewe ndugu na jinsia yako ni Me au Ke? mbona kama wa darasa la pili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikumbukwe kwamba wakati Rais Magufuli anafungua bunge mwishoni mwa 2015 wabunge wa Chadema walisusia kikao na kutoka nje ya ukumbi.

Mwishoni mwa mwezi huu Rais Magufuli atalivunja bunge na kuna kila dalili huenda wabunge wa Chadema asilia hawatakuwepo ukumbini bali watakuwepo wale Chadema " masalia"
Ndio kusema wabunge wa Chadema asilia wanaweza kuikosa fursa adhimu ya kukutana na mkuu wa nchi katika kipindi chote cha ubunge.

Naelewa baadhi yao kama mchungaji Msigwa, Prof Jay, Sugu, Lema na hata Heche walishakutana na Rais katika majimbo yao wakati Dr Magufuli alipofanya ziara lakini sikumbuki kuwaona wakibahatika kupiga picha ya pamoja, Labda Sugu pekee ndio alibahatika kupanda gari ya Rais Magufuli pale Mbeya na kuwasalimia wapiga kura wake.

Maendeleo hayana vyama!
Hakuna bahati yoyote hapo bahati zilikuwa awamu zilizopita.
 
Along come the devil...must watch movie!

semper fidelis
 
Ikumbukwe kwamba wakati Rais Magufuli anafungua bunge mwishoni mwa 2015 wabunge wa Chadema walisusia kikao na kutoka nje ya ukumbi.

Mwishoni mwa mwezi huu Rais Magufuli atalivunja bunge na kuna kila dalili huenda wabunge wa Chadema asilia hawatakuwepo ukumbini bali watakuwepo wale Chadema " masalia"
Ndio kusema wabunge wa Chadema asilia wanaweza kuikosa fursa adhimu ya kukutana na mkuu wa nchi katika kipindi chote cha ubunge.

Naelewa baadhi yao kama mchungaji Msigwa, Prof Jay, Sugu, Lema na hata Heche walishakutana na Rais katika majimbo yao wakati Dr Magufuli alipofanya ziara lakini sikumbuki kuwaona wakibahatika kupiga picha ya pamoja, Labda Sugu pekee ndio alibahatika kupanda gari ya Rais Magufuli pale Mbeya na kuwasalimia wapiga kura wake.

Maendeleo hayana vyama!
Yaani hiyo.ndio imetoka, ,naamini wameanza kujuta ,hii itatembelea mpaka malipo yao,nakuhakikishia hakuna mbunge atakaye kanyaga tena bungeni kwenye hiyo list tajwa ,move imepangwa ikapangika ,tutaona nani zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ameiweka nchi kwenye ramani ya hovyo sana. matukio ya hovyo,maamuzi ya hovyo
 
Back
Top Bottom