Uchaguzi 2020 Wabunge wa darasa la 7 na form 4 mwisho 2020

Uchaguzi 2020 Wabunge wa darasa la 7 na form 4 mwisho 2020

Unajisumbua, bora hao f4 kuliko miprofesa. Nipe mafanikio 2 ya Prof Maghembe. Nchi hii std 7 hanatofauti na prof.
Mfano Kabudi anafanya nini zaidi ya kutoa mate, kutoa macho, kusifu na kuabudu?
😃😃😃
 
Pendekezo la namna hii lilipelekwa ktk bunge la katiba 2014 lakini halikufua dafu, likafeli, na waliolifelisha ni hao hao wabunge ambao asilimia kubwa ndio waliounda bunge la katiba!!

Ila kiukweli ni aibu sana kwa Taifa letu kwa miaka hii kuwa na wawakilishi bungeni level ya std7 au form4

Ila na sisi wasomi tusiishie kulalamika humu mitandaoni, mwaka ndio huu tukachukue fomu tugombee,, Vilaza kama Kina Steve Nyerere, Harmonize, Wema wanapata ujasiri kwenda front kutangaza nia na usishangae baadhi yao wakaokota dodo October,,, wasomi tunakwama wapi!????

Au ndio tusubiri miujiza ya hao Vilaza eti wakaingie bungeni afu tutegemee wapitishe sheria ya 'kujichinja' ya mgombea Ubunge awe with minimal level of degree or diploma or equivalent..!????
Nawe pia ni msomi
 
Wapiga kura wangekubaliana nawe, basi ungefanikiwa kwa hili wazo, ila wanachoangalia ni pesa za mtu si elimu, wakati chama kinaangalia umaarufu wa mgombea na si elimu, na mwisho wa yote, mpiga kura atahongwa kidogo, chama kitapata ruzuku na mgombea atapata pesa zaidi.
Wote nia yao ni pesa za bure, si elimu wala ubingwa wa uongozi.
 
Habari wana Jf,

Naanza kwa kusema ni kweli katiba imeruhusu sifa ya muwakilishi wa wananchi ajue kusoma na kuandika tu na sio degree lakini;
Matatizo ya wabunge ambao hawakupata elimu ya juu katika kujenga hoja na kutoa michango bungeni tumeyaona,wengi wamekuwa wakirusha vijembe na kusema maisha binafsi ya wenzao badala ya hoja za msingi.

Ni kweli kuna lile swali tunalojiuliza "waliosoma wametufikisha wapi"?
Ila natoa tahadhari kama muwakilishi wako wa jimbo kaishia form 4 linapokuja swala la kujadili masuala mazito yanayowahusu kama uchumi ,teknolojia ,mifumo ya elimu,mikataba mikubwa huko bungeni yeye huwa sawa na bubu anachoishia ni kugonga meza tu.
Sidhani kama mtu wa darasa la 7 anaweza kubishana na data za waziri wa fedha wakati hata decimals na percentage kwake ni msamiati

Nadiriki kusema hili limeifanya siasa ya nchi yetu kuwa ya vijembe na sio hoja ndio maana wabunge wetu wanaongea kutengeneza clip na kurushiana maneno mtandaoni.

Elimu inaweza kumpa mbunge urahisi wa kwenda nje na kukutana na wafadhili wakakaa meza moja na kuongea lugha moja ya "kimaendeleo" simaanishi kingereza na wakaelewana.

Tutake tusitake ni lazima tukubaliane na mabadiliko ya karne hii,bila elimu utaburutwa tu

Namalizia kusema sidharau ambao hawajasoma ila najaribu kumtafuta atakayehoji kitu ambacho nnachotamani ahoji.Hata vitabu vya dini vimesema "HAWAWEZI KUFANANA WALIOSOMA NA AMBAO HAWAJASOMA"

Katiba imeruhusu ila sisi wananchi tukataeee "WABUNGE WA STANDARD 7 NA FORM 4 MWISHO 2020"

Qualification entry ya ubunge mtaani iwe ni at least Diploma.
 
Habari wana Jf,

Naanza kwa kusema ni kweli katiba imeruhusu sifa ya muwakilishi wa wananchi ajue kusoma na kuandika tu na sio degree lakini;
Matatizo ya wabunge ambao hawakupata elimu ya juu katika kujenga hoja na kutoa michango bungeni tumeyaona,wengi wamekuwa wakirusha vijembe na kusema maisha binafsi ya wenzao badala ya hoja za msingi.

Ni kweli kuna lile swali tunalojiuliza "waliosoma wametufikisha wapi"?
Ila natoa tahadhari kama muwakilishi wako wa jimbo kaishia form 4 linapokuja swala la kujadili masuala mazito yanayowahusu kama uchumi ,teknolojia ,mifumo ya elimu,mikataba mikubwa huko bungeni yeye huwa sawa na bubu anachoishia ni kugonga meza tu.
Sidhani kama mtu wa darasa la 7 anaweza kubishana na data za waziri wa fedha wakati hata decimals na percentage kwake ni msamiati

Nadiriki kusema hili limeifanya siasa ya nchi yetu kuwa ya vijembe na sio hoja ndio maana wabunge wetu wanaongea kutengeneza clip na kurushiana maneno mtandaoni.

Elimu inaweza kumpa mbunge urahisi wa kwenda nje na kukutana na wafadhili wakakaa meza moja na kuongea lugha moja ya "kimaendeleo" simaanishi kingereza na wakaelewana.

Tutake tusitake ni lazima tukubaliane na mabadiliko ya karne hii,bila elimu utaburutwa tu

Namalizia kusema sidharau ambao hawajasoma ila najaribu kumtafuta atakayehoji kitu ambacho nnachotamani ahoji.Hata vitabu vya dini vimesema "HAWAWEZI KUFANANA WALIOSOMA NA AMBAO HAWAJASOMA"

Katiba imeruhusu ila sisi wananchi tukataeee "WABUNGE WA STANDARD 7 NA FORM 4 MWISHO 2020"

Qualification entry ya ubunge mtaani iwe ni at least Diploma.
 
Habari wana Jf,

Naanza kwa kusema ni kweli katiba imeruhusu sifa ya muwakilishi wa wananchi ajue kusoma na kuandika tu na sio degree lakini;
Matatizo ya wabunge ambao hawakupata elimu ya juu katika kujenga hoja na kutoa michango bungeni tumeyaona,wengi wamekuwa wakirusha vijembe na kusema maisha binafsi ya wenzao badala ya hoja za msingi.

Ni kweli kuna lile swali tunalojiuliza "waliosoma wametufikisha wapi"?
Ila natoa tahadhari kama muwakilishi wako wa jimbo kaishia form 4 linapokuja swala la kujadili masuala mazito yanayowahusu kama uchumi ,teknolojia ,mifumo ya elimu,mikataba mikubwa huko bungeni yeye huwa sawa na bubu anachoishia ni kugonga meza tu.
Sidhani kama mtu wa darasa la 7 anaweza kubishana na data za waziri wa fedha wakati hata decimals na percentage kwake ni msamiati

Nadiriki kusema hili limeifanya siasa ya nchi yetu kuwa ya vijembe na sio hoja ndio maana wabunge wetu wanaongea kutengeneza clip na kurushiana maneno mtandaoni.

Elimu inaweza kumpa mbunge urahisi wa kwenda nje na kukutana na wafadhili wakakaa meza moja na kuongea lugha moja ya "kimaendeleo" simaanishi kingereza na wakaelewana.

Tutake tusitake ni lazima tukubaliane na mabadiliko ya karne hii,bila elimu utaburutwa tu

Namalizia kusema sidharau ambao hawajasoma ila najaribu kumtafuta atakayehoji kitu ambacho nnachotamani ahoji.Hata vitabu vya dini vimesema "HAWAWEZI KUFANANA WALIOSOMA NA AMBAO HAWAJASOMA"

Katiba imeruhusu ila sisi wananchi tukataeee "WABUNGE WA STANDARD 7 NA FORM 4 MWISHO 2020"

Qualification entry ya ubunge mtaani iwe ni at least Diploma.

Kwa maana hiyo kina MSUKUMA na KIBAJAJI ndiyo imetoka hivyo.
 
Bora wewe umwambie,na je Jah people wa Makambako aliyeishia darasa la pili maendeleo yake utamlinganisha na msomi yupi? Wasomi nao muda mwingine takataka TU,wanaishia kukariri TU vitu ambavyo havina impact yoyote kwa wanakura wake.
Unajisumbua, bora hao f4 kuliko miprofesa. Nipe mafanikio 2 ya Prof Maghembe. Nchi hii std 7 hanatofauti na prof.
Mfano Kabudi anafanya nini zaidi ya kutoa mate, kutoa macho, kusifu na kuabudu?
 
Matokeo ya vigezo vya kujua kusoma na kuandika tu tunayaona bungeni,ona mtu kama msukuma ule usen** usen** wake ni matokeo ya kujua kusoma na kuandika tu na si zaidi ya hivyo.Mtu kama msukuma ni hasara kwa bunge, na kwa taifa
 
Habari wana Jf,

Naanza kwa kusema ni kweli katiba imeruhusu sifa ya muwakilishi wa wananchi ajue kusoma na kuandika tu na sio degree lakini;
Matatizo ya wabunge ambao hawakupata elimu ya juu katika kujenga hoja na kutoa michango bungeni tumeyaona,wengi wamekuwa wakirusha vijembe na kusema maisha binafsi ya wenzao badala ya hoja za msingi.

Ni kweli kuna lile swali tunalojiuliza "waliosoma wametufikisha wapi"?
Ila natoa tahadhari kama muwakilishi wako wa jimbo kaishia form 4 linapokuja swala la kujadili masuala mazito yanayowahusu kama uchumi ,teknolojia ,mifumo ya elimu,mikataba mikubwa huko bungeni yeye huwa sawa na bubu anachoishia ni kugonga meza tu.
Sidhani kama mtu wa darasa la 7 anaweza kubishana na data za waziri wa fedha wakati hata decimals na percentage kwake ni msamiati

Nadiriki kusema hili limeifanya siasa ya nchi yetu kuwa ya vijembe na sio hoja ndio maana wabunge wetu wanaongea kutengeneza clip na kurushiana maneno mtandaoni.

Elimu inaweza kumpa mbunge urahisi wa kwenda nje na kukutana na wafadhili wakakaa meza moja na kuongea lugha moja ya "kimaendeleo" simaanishi kingereza na wakaelewana.

Tutake tusitake ni lazima tukubaliane na mabadiliko ya karne hii,bila elimu utaburutwa tu

Namalizia kusema sidharau ambao hawajasoma ila najaribu kumtafuta atakayehoji kitu ambacho nnachotamani ahoji.Hata vitabu vya dini vimesema "HAWAWEZI KUFANANA WALIOSOMA NA AMBAO HAWAJASOMA"

Katiba imeruhusu ila sisi wananchi tukataeee "WABUNGE WA STANDARD 7 NA FORM 4 MWISHO 2020"

Qualification entry ya ubunge mtaani iwe ni at least Diploma.
Mkuu ungewamulika tuwajue hao wa kujua kusoma na kuandika tu mimi namjua mmoja tu falafala hivi anaitwa msukuma.Ungeweka kaorodha kafupi
 
Unajisumbua, bora hao f4 kuliko miprofesa. Nipe mafanikio 2 ya Prof Maghembe. Nchi hii std 7 hanatofauti na prof.
Mfano Kabudi anafanya nini zaidi ya kutoa mate, kutoa macho, kusifu na kuabudu?
Kabudi amefanya mambo mengi sana tangu uongozi huu umteue. Na kama huyajui, wewe ni hao dalasa la saba!
 
Hii kweli kabisa , eti darasa la Saba au form 4 wakajadili uchumi wa watu million 55. Wanagonga meza tu bungeni. Tunafeli kwa kuwachagua wagonga meza tu.
 
Habari wana Jf,

Naanza kwa kusema ni kweli katiba imeruhusu sifa ya muwakilishi wa wananchi ajue kusoma na kuandika tu na sio degree lakini;
Matatizo ya wabunge ambao hawakupata elimu ya juu katika kujenga hoja na kutoa michango bungeni tumeyaona,wengi wamekuwa wakirusha vijembe na kusema maisha binafsi ya wenzao badala ya hoja za msingi.

Ni kweli kuna lile swali tunalojiuliza "waliosoma wametufikisha wapi"?
Ila natoa tahadhari kama muwakilishi wako wa jimbo kaishia form 4 linapokuja swala la kujadili masuala mazito yanayowahusu kama uchumi ,teknolojia ,mifumo ya elimu,mikataba mikubwa huko bungeni yeye huwa sawa na bubu anachoishia ni kugonga meza tu.
Sidhani kama mtu wa darasa la 7 anaweza kubishana na data za waziri wa fedha wakati hata decimals na percentage kwake ni msamiati

Nadiriki kusema hili limeifanya siasa ya nchi yetu kuwa ya vijembe na sio hoja ndio maana wabunge wetu wanaongea kutengeneza clip na kurushiana maneno mtandaoni.

Elimu inaweza kumpa mbunge urahisi wa kwenda nje na kukutana na wafadhili wakakaa meza moja na kuongea lugha moja ya "kimaendeleo" simaanishi kingereza na wakaelewana.

Tutake tusitake ni lazima tukubaliane na mabadiliko ya karne hii,bila elimu utaburutwa tu

Namalizia kusema sidharau ambao hawajasoma ila najaribu kumtafuta atakayehoji kitu ambacho nnachotamani ahoji.Hata vitabu vya dini vimesema "HAWAWEZI KUFANANA WALIOSOMA NA AMBAO HAWAJASOMA"

Katiba imeruhusu ila sisi wananchi tukataeee "WABUNGE WA STANDARD 7 NA FORM 4 MWISHO 2020"

Qualification entry ya ubunge mtaani iwe ni at least Diploma.
Nakubaliana 100% na mawazo yako. Zamani sana watu waliokuwa wakimaliza darasa la nane walikuwa na uwezo mkubwa wa kuona mambo ila leo hii shule zetu za msingi haziwajengi vijana wengi, na ndiyo maana mtoto wa darasa la saba anaweza kuwa hajui hata kusoma sawasawa; yaani anajua kusoma neno moja moja lakini hawezi kuelewa alilosoma. Wabunge wa namana hiyo wamesababisha miswada mingi ya serikali kuwa inapita bila kuchambuliwa; mmojawapo ukiwa ni ule uliopelekea uwanja wa mkoa wa Geita kujengwa Chato. Sijui utafanya nini kutekeleza hilo, ila ningekuwa mimi ndiye mtoa mada, ningetaka kila mbunge angalau awe na post secondary certification yoyote kama certificate, diploma au digrii ya aina yoyote ile kutoka chuo kinachotambuliwa.
 
Kwa bahati mbaya haya yanayojadiliwa humu hayafanyiki kwa wapiga kura, na wengi wetu humu hatuna au hatujabadilisha kadi za kupigia kura.

Hili linawapa sana viburi watu hao wanachoangalia ni nini wanataka wapiga kura wao, kelele za mitandaoni kwa nchi yetu bado hazijawa na madhara makubwa kwa wahusika.

Ila haitakiwi kurudi nyuma, wasomi wetu nao kwa asilimia kubwa ndio wamechangia hali iliyopo sasa.
 
Habari wana Jf,

Naanza kwa kusema ni kweli katiba imeruhusu sifa ya muwakilishi wa wananchi ajue kusoma na kuandika tu na sio degree lakini;
Matatizo ya wabunge ambao hawakupata elimu ya juu katika kujenga hoja na kutoa michango bungeni tumeyaona,wengi wamekuwa wakirusha vijembe na kusema maisha binafsi ya wenzao badala ya hoja za msingi.

Ni kweli kuna lile swali tunalojiuliza "waliosoma wametufikisha wapi"?
Ila natoa tahadhari kama muwakilishi wako wa jimbo kaishia form 4 linapokuja swala la kujadili masuala mazito yanayowahusu kama uchumi ,teknolojia ,mifumo ya elimu,mikataba mikubwa huko bungeni yeye huwa sawa na bubu anachoishia ni kugonga meza tu.
Sidhani kama mtu wa darasa la 7 anaweza kubishana na data za waziri wa fedha wakati hata decimals na percentage kwake ni msamiati

Nadiriki kusema hili limeifanya siasa ya nchi yetu kuwa ya vijembe na sio hoja ndio maana wabunge wetu wanaongea kutengeneza clip na kurushiana maneno mtandaoni.

Elimu inaweza kumpa mbunge urahisi wa kwenda nje na kukutana na wafadhili wakakaa meza moja na kuongea lugha moja ya "kimaendeleo" simaanishi kingereza na wakaelewana.

Tutake tusitake ni lazima tukubaliane na mabadiliko ya karne hii,bila elimu utaburutwa tu

Namalizia kusema sidharau ambao hawajasoma ila najaribu kumtafuta atakayehoji kitu ambacho nnachotamani ahoji.Hata vitabu vya dini vimesema "HAWAWEZI KUFANANA WALIOSOMA NA AMBAO HAWAJASOMA"

Katiba imeruhusu ila sisi wananchi tukataeee "WABUNGE WA STANDARD 7 NA FORM 4 MWISHO 2020"

Qualification entry ya ubunge mtaani iwe ni at least Diploma.

Nadhani wangeongeza na Certificate ya Uchumi uwe nayo na uwe umepitia Chuo cha Kodi ukiachilia mbali degree!!
 
Hoja nzuri lkn tutafakari hawa wanaoitwa wasomi wameisadia nn nchi yao?
 
Kuwa serious sio kunyamaza sana..hata hao wanaonyamaza ni tatizo,hawana hoja za kuhoji kinachojadiliwa..
Mkuu ungewamulika tuwajue hao wa kujua kusoma na kuandika tu mimi namjua mmoja tu falafala hivi anaitwa msukuma.Ungeweka kaorodha kafupi
 
Ndo maana Rais anateseka kuteua mawaziri anajikuta anarudia walewale aliowatumbua coz wabunge wengi wa ccm ndo hao standard 7.. so ni vyema hata kwenye screening ngazi ya chama wazingatie elimu ya mtu, kwa kufanya hivyo tutaiepusha nchi na mengi!
 
Habari wana Jf,

Naanza kwa kusema ni kweli katiba imeruhusu sifa ya muwakilishi wa wananchi ajue kusoma na kuandika tu na sio degree lakini;
Matatizo ya wabunge ambao hawakupata elimu ya juu katika kujenga hoja na kutoa michango bungeni tumeyaona,wengi wamekuwa wakirusha vijembe na kusema maisha binafsi ya wenzao badala ya hoja za msingi.

Ni kweli kuna lile swali tunalojiuliza "waliosoma wametufikisha wapi"?
Ila natoa tahadhari kama muwakilishi wako wa jimbo kaishia form 4 linapokuja swala la kujadili masuala mazito yanayowahusu kama uchumi ,teknolojia ,mifumo ya elimu,mikataba mikubwa huko bungeni yeye huwa sawa na bubu anachoishia ni kugonga meza tu.
Sidhani kama mtu wa darasa la 7 anaweza kubishana na data za waziri wa fedha wakati hata decimals na percentage kwake ni msamiati

Nadiriki kusema hili limeifanya siasa ya nchi yetu kuwa ya vijembe na sio hoja ndio maana wabunge wetu wanaongea kutengeneza clip na kurushiana maneno mtandaoni.

Elimu inaweza kumpa mbunge urahisi wa kwenda nje na kukutana na wafadhili wakakaa meza moja na kuongea lugha moja ya "kimaendeleo" simaanishi kingereza na wakaelewana.

Tutake tusitake ni lazima tukubaliane na mabadiliko ya karne hii,bila elimu utaburutwa tu

Namalizia kusema sidharau ambao hawajasoma ila najaribu kumtafuta atakayehoji kitu ambacho nnachotamani ahoji.Hata vitabu vya dini vimesema "HAWAWEZI KUFANANA WALIOSOMA NA AMBAO HAWAJASOMA"

Katiba imeruhusu ila sisi wananchi tukataeee "WABUNGE WA STANDARD 7 NA FORM 4 MWISHO 2020"

Qualification entry ya ubunge mtaani iwe ni at least Diploma.
sisi wa chini ya form 4 tunaweza kuwafanyizia ohh nyie endeleeni na hizo degree zenu- kwanz anchi hii hata milioni hamfiki halafu mnajimwambafai hapa-TUHESHIMIANE
 
Back
Top Bottom