Uchaguzi 2020 Wabunge wa darasa la 7 na form 4 mwisho 2020

Uchaguzi 2020 Wabunge wa darasa la 7 na form 4 mwisho 2020

Achilia mbali wameisadia nini Nchi hata wao hawajajisaidia kimaisha kama mtu ajiita msomi leo hii akitumbuliwa anaenda kuomba ajira kwa std 7. Takwimu zinaonesha watu walioibadirisha dunia hawakuwa na hizo degree na PhD mnazozitaka hayo ni makaratasi tu sio uhalisia wa kilicho akili mwa mtu na kiongozi anazaliwa
Hoja nzuri lkn tutafakari hawa wanaoitwa wasomi wameisadia nn nchi yao?
 
Habari wana Jf,

Naanza kwa kusema ni kweli katiba imeruhusu sifa ya muwakilishi wa wananchi ajue kusoma na kuandika tu na sio degree lakini;
Matatizo ya wabunge ambao hawakupata elimu ya juu katika kujenga hoja na kutoa michango bungeni tumeyaona,wengi wamekuwa wakirusha vijembe na kusema maisha binafsi ya wenzao badala ya hoja za msingi.

Ni kweli kuna lile swali tunalojiuliza "waliosoma wametufikisha wapi"?
Ila natoa tahadhari kama muwakilishi wako wa jimbo kaishia form 4 linapokuja swala la kujadili masuala mazito yanayowahusu kama uchumi ,teknolojia ,mifumo ya elimu,mikataba mikubwa huko bungeni yeye huwa sawa na bubu anachoishia ni kugonga meza tu.
Sidhani kama mtu wa darasa la 7 anaweza kubishana na data za waziri wa fedha wakati hata decimals na percentage kwake ni msamiati

Nadiriki kusema hili limeifanya siasa ya nchi yetu kuwa ya vijembe na sio hoja ndio maana wabunge wetu wanaongea kutengeneza clip na kurushiana maneno mtandaoni.

Elimu inaweza kumpa mbunge urahisi wa kwenda nje na kukutana na wafadhili wakakaa meza moja na kuongea lugha moja ya "kimaendeleo" simaanishi kingereza na wakaelewana.

Tutake tusitake ni lazima tukubaliane na mabadiliko ya karne hii,bila elimu utaburutwa tu

Namalizia kusema sidharau ambao hawajasoma ila najaribu kumtafuta atakayehoji kitu ambacho nnachotamani ahoji.Hata vitabu vya dini vimesema "HAWAWEZI KUFANANA WALIOSOMA NA AMBAO HAWAJASOMA"

Katiba imeruhusu ila sisi wananchi tukataeee "WABUNGE WA STANDARD 7 NA FORM 4 MWISHO 2020"

Qualification entry ya ubunge mtaani iwe ni at least Diploma.
Paper qualifications zimekuwa majanga kwa Afrika badala ya kuwa msaada, hiyo mijadala ya kiuchumi inajadiliwa vizuri Zaidi na wasiokuwa na uelewa mkubwa kuliko waliokuwa nao. Hao maprofessa ndiyo wanatuambia uchumi umepaa , huwa sielewi wanamaanisha nini hasa
 
Habari wana Jf,

Naanza kwa kusema ni kweli katiba imeruhusu sifa ya muwakilishi wa wananchi ajue kusoma na kuandika tu na sio degree lakini;
Matatizo ya wabunge ambao hawakupata elimu ya juu katika kujenga hoja na kutoa michango bungeni tumeyaona,wengi wamekuwa wakirusha vijembe na kusema maisha binafsi ya wenzao badala ya hoja za msingi.

Ni kweli kuna lile swali tunalojiuliza "waliosoma wametufikisha wapi"?
Ila natoa tahadhari kama muwakilishi wako wa jimbo kaishia form 4 linapokuja swala la kujadili masuala mazito yanayowahusu kama uchumi ,teknolojia ,mifumo ya elimu,mikataba mikubwa huko bungeni yeye huwa sawa na bubu anachoishia ni kugonga meza tu.
Sidhani kama mtu wa darasa la 7 anaweza kubishana na data za waziri wa fedha wakati hata decimals na percentage kwake ni msamiati

Nadiriki kusema hili limeifanya siasa ya nchi yetu kuwa ya vijembe na sio hoja ndio maana wabunge wetu wanaongea kutengeneza clip na kurushiana maneno mtandaoni.

Elimu inaweza kumpa mbunge urahisi wa kwenda nje na kukutana na wafadhili wakakaa meza moja na kuongea lugha moja ya "kimaendeleo" simaanishi kingereza na wakaelewana.

Tutake tusitake ni lazima tukubaliane na mabadiliko ya karne hii,bila elimu utaburutwa tu

Namalizia kusema sidharau ambao hawajasoma ila najaribu kumtafuta atakayehoji kitu ambacho nnachotamani ahoji.Hata vitabu vya dini vimesema "HAWAWEZI KUFANANA WALIOSOMA NA AMBAO HAWAJASOMA"

Katiba imeruhusu ila sisi wananchi tukataeee "WABUNGE WA STANDARD 7 NA FORM 4 MWISHO 2020"

Qualification entry ya ubunge mtaani iwe ni at least Diploma.
Natamani huu uzi uishi milele kila mtu ausome.
Hawa wabunge wa CCM lasaba na wa CHADEMA akina LIJULIKALI sasa iwe mwisho, eti wale akina mlinga, lijulikali ndio kamati ya elimu ya juu inaenda kukagua maprofesa wa UDSM, sijui wanaishia kupewa chai na korosho na kurudi Dodoma, abood wa morogoro hajawahi kuongea na bado anachaguliwa tu, yaani nchi imelogwa na kulogeka
 
Wakati mwingine naona hata darasa la saba kuliko hizi PhD za majalalani.
 
Habari wana Jf,

Naanza kwa kusema ni kweli katiba imeruhusu sifa ya muwakilishi wa wananchi ajue kusoma na kuandika tu na sio degree lakini;
Matatizo ya wabunge ambao hawakupata elimu ya juu katika kujenga hoja na kutoa michango bungeni tumeyaona,wengi wamekuwa wakirusha vijembe na kusema maisha binafsi ya wenzao badala ya hoja za msingi.

Ni kweli kuna lile swali tunalojiuliza "waliosoma wametufikisha wapi"?
Ila natoa tahadhari kama muwakilishi wako wa jimbo kaishia form 4 linapokuja swala la kujadili masuala mazito yanayowahusu kama uchumi ,teknolojia ,mifumo ya elimu,mikataba mikubwa huko bungeni yeye huwa sawa na bubu anachoishia ni kugonga meza tu.
Sidhani kama mtu wa darasa la 7 anaweza kubishana na data za waziri wa fedha wakati hata decimals na percentage kwake ni msamiati

Nadiriki kusema hili limeifanya siasa ya nchi yetu kuwa ya vijembe na sio hoja ndio maana wabunge wetu wanaongea kutengeneza clip na kurushiana maneno mtandaoni.

Elimu inaweza kumpa mbunge urahisi wa kwenda nje na kukutana na wafadhili wakakaa meza moja na kuongea lugha moja ya "kimaendeleo" simaanishi kingereza na wakaelewana.

Tutake tusitake ni lazima tukubaliane na mabadiliko ya karne hii,bila elimu utaburutwa tu

Namalizia kusema sidharau ambao hawajasoma ila najaribu kumtafuta atakayehoji kitu ambacho nnachotamani ahoji.Hata vitabu vya dini vimesema "HAWAWEZI KUFANANA WALIOSOMA NA AMBAO HAWAJASOMA"

Katiba imeruhusu ila sisi wananchi tukataeee "WABUNGE WA STANDARD 7 NA FORM 4 MWISHO 2020"

Qualification entry ya ubunge mtaani iwe ni at least Diploma.

Ukiwa CCM, kama wewe ni darasa la 7 au Profesa kimawazo mnakuwa sawa tu. Hivyo Point yako haina mashiko hasa ukizingatia kuwa wabunge wengi ni kutoka CCM. Over!
 
Hivi job ndugui ana kiwango gani cha elimu
 
Back
Top Bottom