Majangili tupu hko ccm yaan huku kitongojini salasala walijenga karavati na mtaro wa maji just last week.na maelezo ya mkandarasi eti walitumia milion 100....leo maji yamepasua na kusomba kila kitu na mawasiliano yamekatika
Mpumbavu kyk ubora wake,ana leta hbr za kujifurahisha yeye na genge lake la majizi. Kwa taarifa yako ,magufuli ni hbr nyingine,peleka huko ujuha na upumbavu wako.
Mtajinywea kuhusu mzalendo jpm nyinyi mmeshindwa kila kitu ..mafisadi wakubwa ndiyo maana samia kaona tatizo kaanza kutafuta team jpm na kuipatia nguvu ...siku si nyingi polepole anakuwa mgombea wa urais tz