GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #21
Kuna Wapuuzi wanamharibia atapita tu.Tatizo sio wabunge wa CCM kumpa kura, ila changamoto ni kupitishwa na chama chake. Akipitishwa tu, obviously anakuwa spika. Nilisikia kuwa na yeye ni team mwenda zake ambayo mama amewengana nayo sana
God forbid!!! Kwanza yule mama ni katili na mshambaGENTAMYCINE sijawahi Kukosea ama nikimpenda au nikimchukia Mtu ( na hata rekodi zinanibeba ) hivyo hata kama Watu wanachukua Fomu za Kugombea Uspika ila kwa Vigezo vyangu vingi na Sababu zangu nyingi namuona Naibu Spika Dk. Tulia Ackson anafaa na ndiyo Chaguo sahihi hasa kwa Bunge la sasa na Wabunge wasipompa nitawadharau hadi Kiama.
Kwa wale Wote ambao mtakwazika ( mtakasirika ) kwa hili nililolisema tafadhali tafuteni upesi Sumu ya Panya 'Korogeni' katika Vikombe vyenu vya Chai au Maji ili mnywe na mpumzike kabisa nami.
Dk. Tulia Ackson ( Naibu Spika wa sasa ) tafadhali anza Kujiandaa sasa kuwa Spika wa Bunge la Tanzania kwani tayari una 'Baraka' zangu zote Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ( alias ) Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer kwani hakuna na bado sijaona wa Kushindana nawe.
Na baada sasa ya Mimi kusema na kutaka Dk. Tulia Ackson ndiyo awe Spika wa Bunge niwaombe tu wale Wanaochukua Fomu waache upesi ( mara moja ) na waendelee na ratiba zao zingine kwani Wote hawana uwezo wa Kushindana na Dk. Tulia Ackson ambaye namuona ni Fundi na Mahiri kama Mchezaji wa Simba SC Pape Ousmane Sakho huku hawa ( hao ) waliochukua na watakaochukua Fomu nawaona ni wa 'hovyo hovyo' tupu kama Kipa wa Yanga SC Erick Johora ( Mdaka Kambale )
Rais Mwanamke na Spika Mwanamke!!!!!
Hivi Logically tu unaweza kumjua Chizi kama nawe pia siyo Chizi? Hivi unaweza kumjua Mchawi kama nawe pia siyo Mchawi?Mental health ni serious issue
Mbona Wewe ni Mchawi na Mwehu hujishangai?God forbid!!! Kwanza yule mama ni katili na mshamba
Mimi nimeweka ushahidi wangu ni kwa nini nasema she is hopeless fool,lakini wewe hukuweka ushahidi wako wa kuprove kuwa mimi ni mental.Kama unavyomuona kuwa She's that Hopeless and Fool hata Sisi JF Brainy ( Einstein ) Members tunakuona nawe si tu ni Hopeless and Fool bali pia ni Certified Mental Jamvini hapa.
Nakuunga mkono!GENTAMYCINE sijawahi Kukosea ama nikimpenda au nikimchukia Mtu ( na hata rekodi zinanibeba ) hivyo hata kama Watu wanachukua Fomu za Kugombea Uspika ila kwa Vigezo vyangu vingi na Sababu zangu nyingi namuona Naibu Spika Dk. Tulia Ackson anafaa na ndiyo Chaguo sahihi hasa kwa Bunge la sasa na Wabunge wasipompa nitawadharau hadi Kiama.
Kwa wale Wote ambao mtakwazika ( mtakasirika ) kwa hili nililolisema tafadhali tafuteni upesi Sumu ya Panya 'Korogeni' katika Vikombe vyenu vya Chai au Maji ili mnywe na mpumzike kabisa nami.
Dk. Tulia Ackson ( Naibu Spika wa sasa ) tafadhali anza Kujiandaa sasa kuwa Spika wa Bunge la Tanzania kwani tayari una 'Baraka' zangu zote Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ( alias ) Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer kwani hakuna na bado sijaona wa Kushindana nawe.
Na baada sasa ya Mimi kusema na kutaka Dk. Tulia Ackson ndiyo awe Spika wa Bunge niwaombe tu wale Wanaochukua Fomu waache upesi ( mara moja ) na waendelee na ratiba zao zingine kwani Wote hawana uwezo wa Kushindana na Dk. Tulia Ackson ambaye namuona ni Fundi na Mahiri kama Mchezaji wa Simba SC Pape Ousmane Sakho huku hawa ( hao ) waliochukua na watakaochukua Fomu nawaona ni wa 'hovyo hovyo' tupu kama Kipa wa Yanga SC Erick Johora ( Mdaka Kambale )
Rais Mwanamke na Spika Mwanamke!!!!!
Jamaa sametime nilikuwa na wasiwasi na akili yako lakini kwa bandiko uliloliweka leo nimekuzalau sana. Mimi nilifikili utaolozesha sifa zinazokufanya uone anatosha ktk hiyo nafasi wewe umekuja na ujinga ujinga mtupu,GENTAMYCINE sijawahi Kukosea ama nikimpenda au nikimchukia Mtu ( na hata rekodi zinanibeba ) hivyo hata kama Watu wanachukua Fomu za Kugombea Uspika ila kwa Vigezo vyangu vingi na Sababu...
Siku zote JF Critical Thinkers na Einstein Members kama Wewe huwa mnanielewa na mnaniunga mkono GENTAMYCINE kwa 100% hivyo Heko ( Hongera ) mno Mkuu.Nakuunga mkono!
Msuba.Mbna unakomaa Sana Mzee , umeahdiwa nini
Moja ya vilaza wa JF ever huwa haeleweki yupoyupo tuWe jamaa huwa huna akili.
Nasikitika hili ndilo unalijua leo Mkuu!!!!We jamaa huwa huna akili.