Wabunge wa JMT msipompa 'Uspika' Dkt. Tulia Ackson hakika 'nitawadharau' mpaka dunia itakapopinduka

Tukisema unashida unatukana.. kwahiyo wabunge wachague kwamkufuata matakwa ya mtu mwenye "mental case".!
Mimi na Wewe mwenye Shida na Mwehu nani? Unanichukia lakini 24/7 unanifuatilia na Kushobokea Mada zangu mpaka hapo hujajigundua au hata Kujishtukia tu kuwa Wewe ni CERTIFIED FOOL and UNCIRCUMCISED BABOON hapa Jamvini?
 
Tulia Ackson ni mwoga, hana rekodi yoyote ya ujasiri kwenye mazingira magumu ya utendaji zaidi ya ile rekodi ya kutetea sheria ya mita 200 baada ya kuoiga kura, ambayo ndiyo ilimpa kiki kwa JPM. Ujasiri wa Sitta unajulikana, ujasiri wa Makinda unajulikana, ujasiri wa Job unajulikana pia.
 
Umepitia hosp nyingi sana.
 
Wabunge wa JMT wana machaguo Mawili tu ama Wamchague Dk. Tulia Ackson ( Sakho ) ili niwapende, niwabariki na niwaheshimu Milele au wasimchague kisha nianze Kuwadharau, Kuwachukia na kuwaombea Mabaya ( hasa Mabalaa ) mpaka mwaka 2025.
Wewe ni nani kwenye Jamhuri hii!!???
 
 
Wewe ni nani kwenye Jamhuri hii!!???
Kama 85% ya Wakubwa ( Viongozi ) wa Tanzania yako hii kuanzia Rais Samia, TISS DG Msuya, CDF Mabeyo, Poti wangu wa Kizanaki IGP Sirro, Mkurugenzi wa Mwalimu Nyerere Foundation Mzee Butiku, Balozi Wibroad Slaa, Mawaziri wengi, Maafisa Usalama wa Taifa, Wanajeshi wa JWTZ ( hasa wale Commissioned Officers ), Wahadhiri wa Vyuo Vikuu mbalimbali, Waandishi wa Habari na Wachambuzi wa Soka na Wanafunzi wa Vyuo Vikuu na Wanadamu ( Wananchi ) wengine wenye Akili Kubwa ( ambazo kwa bahati mbaya huna ) 24/7 wananisoma GENTAMYCINE hapa JamiiForums Wewe Zuzu ( Hambe ) Mmoja tu bado hujanijua Mimi ni nani?

I'm GENTAMYCINE ( alias ) Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer okay?
 
Tulia ni low profile aache tamaa kwani unaibu aumtoshi au mafao yao ni tofauti na speaker akistaafu
 
Yes Spika amekuwa uchaguzi bora kwa Viongozi wa juu na ccm.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…