Tetesi: Wabunge wa kamati ya miundombinu waliotembelea Dubai wote walikabidhiwa nyumba

Tetesi: Wabunge wa kamati ya miundombinu waliotembelea Dubai wote walikabidhiwa nyumba

Mnada wa Mhunze

Senior Member
Joined
Mar 1, 2023
Posts
168
Reaction score
819
Zipo tetesi pale mjengoni ugogoni wao kwa wao wameanza kufichuana wakidai wana kamati wote waliotembelea kule DP walikabidhiwa hati za nyumba za kisasa zenye umiliki wao.

Wale wawili waongeaji zaidi waliahidiwa makubwa zaidi na kinara kwa kuropoka yeye pamoja kuahidiwa nyongeza alihongwa pia VX V8 LC300 new brand hivi karibuni!
 
Zipo tetesi pale mjengoni ugogoni wao kwa wao wameanza kufichuana wakidai wana kamati wote waliotembelea kule DP walikabidhiwa hati za nyumba za kisasa zenye umiliki wao.

Wale wawili waongeaji zaidi waliahidiwa makubwa zaidi na kinara kwa kuropoka alihongwa VX V8 LC300 new brand hivi karibuni!
Kwani voicer, iamindustrious, anonymous, samurai wao wanasemaje!!?
 
Zipo tetesi pale mjengoni ugogoni wao kwa wao wameanza kufichuana wakidai wana kamati wote waliotembelea kule DP walikabidhiwa hati za nyumba za kisasa zenye umiliki wao.

Wale wawili waongeaji zaidi waliahidiwa makubwa zaidi na kinara kwa kuropoka alihongwa VX V8 LC300 new brand hivi karibuni!
Zukumaa
 
Zipo tetesi pale mjengoni ugogoni wao kwa wao wameanza kufichuana wakidai wana kamati wote waliotembelea kule DP walikabidhiwa hati za nyumba za kisasa zenye umiliki wao.

Wale wawili waongeaji zaidi waliahidiwa makubwa zaidi na kinara kwa kuropoka alihongwa VX V8 LC300 new brand hivi karibuni!
Wakati utasema tu
Maana huwa haudanganyi
 
Zipo tetesi pale mjengoni ugogoni wao kwa wao wameanza kufichuana wakidai wana kamati wote waliotembelea kule DP walikabidhiwa hati za nyumba za kisasa zenye umiliki wao.

Wale wawili waongeaji zaidi waliahidiwa makubwa zaidi na kinara kwa kuropoka alihongwa VX V8 LC300 new brand hivi karibuni!
Hizo nyumba zipo nchi gani!?
 
Zipo tetesi pale mjengoni ugogoni wao kwa wao wameanza kufichuana wakidai wana kamati wote waliotembelea kule DP walikabidhiwa hati za nyumba za kisasa zenye umiliki wao.

Wale wawili waongeaji zaidi waliahidiwa makubwa zaidi na kinara kwa kuropoka alihongwa VX V8 LC300 new brand hivi karibuni!
yaanii inauma saana aisee. nilishangaaa. yanii mbona gafra saana gari Kalihatariii kumbe wamehongwa
 
Zipo tetesi pale mjengoni ugogoni wao kwa wao wameanza kufichuana wakidai wana kamati wote waliotembelea kule DP walikabidhiwa hati za nyumba za kisasa zenye umiliki wao.

Wale wawili waongeaji zaidi waliahidiwa makubwa zaidi na kinara kwa kuropoka alihongwa VX V8 LC300 new brand hivi karibuni!
Samia kauza nchi kwa wajomba zake.
 
Zipo tetesi pale mjengoni ugogoni wao kwa wao wameanza kufichuana wakidai wana kamati wote waliotembelea kule DP walikabidhiwa hati za nyumba za kisasa zenye umiliki wao.

Wale wawili waongeaji zaidi waliahidiwa makubwa zaidi na kinara kwa kuropoka alihongwa VX V8 LC300 new brand hivi karibuni!
Aaahaaaaaa

Mleta mada ingekuwa ndo wewe ungekataa!!?
 
Zipo tetesi pale mjengoni ugogoni wao kwa wao wameanza kufichuana wakidai wana kamati wote waliotembelea kule DP walikabidhiwa hati za nyumba za kisasa zenye umiliki wao.

Wale wawili waongeaji zaidi waliahidiwa makubwa zaidi na kinara kwa kuropoka alihongwa VX V8 LC300 new brand hivi karibuni!
Marehemu aliona hao ndo wazalendo akabaka uchaguzi na kutuwekea majizi wenzie
 
Back
Top Bottom