The Worst
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 6,108
- 21,140
Yule alikuwa mwanaccm mwenye maono shida kwenye hicho chama wana upungufu wa watu dizain yake.Naye alikuwa mwizi tu. Adui wetu mkubwa ni ccm na katiba ya mwaka 1977
Kinachoendelea sasa hiki ndiyo ccm yenyewe nchi ikifika 2030 hakuna rangi itaacha kuona watakuwa wameimaliza yote.