Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,992
😀😀😀😀Aaah wapi? Tunawatumia National Youth Services wanafagia jeshi lenu la polisi alafu tunawatuma polisi wetu wa traffic kuwanyamazisha wanaheshi wenu(JWTZ) kisha tunamwapisha Lissu kama Rais wa Muungano wa Tz na Zanzibar.
In your wet dreamsAaah wapi? Tunawatumia National Youth Services wanafagia jeshi lenu la polisi alafu tunawatuma polisi wetu wa traffic kuwanyamazisha wanaheshi wenu(JWTZ) kisha tunamwapisha Lissu kama Rais wa Muungano wa Tz na Zanzibar.
Ndugu wa tumbo moja? Care to explainthis isn't necessary...UG ndugu zetu wa tumbo moja ila sioni haja ya mambo haya...huu ni upuuzi mtupu
Wakenya wapuuzi sana, this is according to your own statement... wapuuzi sana hawa jamaa, wanazima moto kwa jirani angali nyumba yao inaungua. ...Miguna anawachora tu haaahaahathis isn't necessary...UG ndugu zetu wa tumbo moja ila sioni haja ya mambo haya...huu ni upuuzi mtupu
Kwahivyo wabunge tunawalipa mishahara minono ili wakaandamane kule Uganda. Kuna njia nyingi za kuwasaidia jirani zetu Uganda, lakini hiyo ya kuenda kuandamana kwenye nchi za wenyewe ni kiki za wauza sura tu.So Nyerere alikuwa na kiherehere kuwasaidia Frelimo,Swapo,Zanu,ANC n.k kabla bongo hatujatoka umaskini?
Umeandika nini?Hawa wabunge wetu nao wana viherehere vya kitoto. Wahudumie wabunge wao kwanza. Baada ya kushughulikia matatizo yao yote, ruksa kwao, hapo sasa wakipenda wavuke boda moja kwa moja hadi Kampala.
Wakati mwingine huwa unaongea vitu vya maana sana.Hawa wabunge wetu nao wana viherehere vya kitoto. Wahudumie wabunge wao kwanza. Baada ya kushughulikia matatizo yao yote, ruksa kwao, hapo sasa wakipenda wavuke boda moja kwa moja hadi Kampala.
Nyerere alienda soweto kuandamana? Hawa wabunge tumewaajiri sisi. Waketi kwenye vikao bunge waje na mikakati ya kusuluhisha matatizo ya jirani. Sio waanze kutumia hela zetu kupanda ndege kuenda Uganda kuvunjwa miguu na vijana wa M7. Hizo sasa ndio akili finyu.Akili finyu sana wewe. Unadhani Mwl. Nyerere angekuwa na ubinafsi wa kujijali sisi wenyewe unadhani ukombozi wa nchi za Kusini mwa Afrika ungekuja mapema? Acha ubinafsi wewe.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili za kina Babu Owino, hawa eti ndio vijana tuliowapigia kura. Wewe fikiria baada ya ule uchaguzi wetu wa 07/08. Yaani badala ya jirani zetu kuja kusuluhisha mgogoro, wangetua Kenya pamoja na wabunge wa vyama vyao ili waandamane dhidi ya kibaki.this isn't necessary...UG ndugu zetu wa tumbo moja ila sioni haja ya mambo haya...huu ni upuuzi mtupu
Yale ya Mange yaliishia wapi?Tulitakiwa tufanye haya Tundu Lissu aliposhambuliwa na hata Mr II alipowekwa ndani.
Wakimfunga Mbowe wasubiri moto
Aaah wapi? nyinyi mnachapwa na M23 mtawezana na vijana wetu wa NYS kweli, si watawavumburusha hadi Malawi wakiwa tu na bakora.
TULIKWENDA KWA SABABU WALICHUKUA ARDHI YETU!Hata sisi tulishawahi kwenda Uganda.
Watakuja nyumbani mwako usijali!Wakitoka Uganda waje Tanzania
MANENO kuntu!this isn't necessary...UG ndugu zetu wa tumbo moja ila sioni haja ya mambo haya...huu ni upuuzi mtupu
Soma history vizuri!Akili finyu sana wewe. Unadhani Mwl. Nyerere angekuwa na ubinafsi wa kujijali sisi wenyewe unadhani ukombozi wa nchi za Kusini mwa Afrika ungekuja mapema? Acha ubinafsi wewe.....
Sent using Jamii Forums mobile app
LissumsalitiAaah wapi? Tunawatumia National Youth Services wanafagia jeshi lenu la polisi alafu tunawatuma polisi wetu wa traffic kuwanyamazisha wanaheshi wenu(JWTZ) kisha tunamwapisha Lissu kama Rais wa Muungano wa Tz na Zanzibar.
Watanzania tuna hekima na busara!Watajikuta wapo wenyewe na polisi, chezea wabongo, watakujaza moto, siku ya siku unajikuta mwenyewe ulingoni, wao wanakuchora.
Sent using Jamii Forums mobile app