Wabunge wa Kenya ziarani kujifunza Mapishi!

Wabunge wa Kenya ziarani kujifunza Mapishi!

Kumbe umeambiwa Kenya hakuna maskini!!! Kenya maskini wapo wengi tu kama Tz na wananyumba hadi za nyasi, hawana maji safi umeme nk.
aiseeeee,sikujua bana, mi naambiwa ni kama ulaya halfu nasikia wote wamesoma na wana akili kupita kiasi
 
Vipi Hoodla,it makes me so mad that this bloodsuckers are making it like a joke that they are swindling the tax payers!It makes me more mad that the speaker muturi recieves the report while laughing!Hate the guy so much right now he is the biggest fool ever!.Atleast you Hoodla are just an extinguisher of hope,hahaha.I blasted that guy so ruthlessly in that thread,but I felt so bad after I had to loosen a little.Ha!

Looooh you don't know me too well to judge me.....My fingers are crossed I'd like to see how the Mpigs will take the shackles off their feet
 
Looooh you don't know me too well to judge me.....My fingers are crossed I'd like to see how the Mpigs will take the shackles off their feet

Hey,was just kidding,as usual in Kenya no matter how grave and serious the matter is it will come to pass,no action,no consequences for the culprits and we will all forget it and move to the next thing.So sad.
 
Kweli nilivyosoma heading nikajua this is one of utani kati ya watani wa jadi; kenya na Tzee. Kuja kusoma duh, kumbe ni kweli. Kwa kweli Trump huwa anaropoka mambo ya ukweli hata Mugabe pia. Tofauti na sisi wao huita Chepe chepe na sio kijiko kikubwa. Wakenya karibia wote ni majizi
 
Awww!, poor MPs, they're being fed old mandazi?!, C'mon neighbours, you can do better than this.....lol!
 
Awww!, poor MPs, they're being fed old mandazi?!, C'mon neighbours, you can do better than this.....lol!

Ouch! kui you shouldn't have come here, am under the table with embarrassment. Our Mpigs have set a new record in the world.
 
Last edited by a moderator:
Wakimaliza nitahitaji wapishi kwenye hoteli yangu INCHAGE GALAXY iko Bunda, Tanzania.
 
aiseeeee,sikujua bana, mi naambiwa ni kama ulaya halfu nasikia wote wamesoma na wana akili kupita kiasi


Pole sana, ulidanganywa. Umaskini kwa wananchi wa Kenya ni mkubwa kupita kawaida. wanakaribiana na maskini wa India. Kwa kweli kenya ina matabaka ya kutisha.
 
aiseeeee,sikujua bana, mi naambiwa ni kama ulaya halfu nasikia wote wamesoma na wana akili kupita kiasi

Duh si kweli! Hao wenye akili classini ni wageni wakutoka nchi mbalimbali,, wakenya miaka yote wanashikilia mkia tu,hivyo sioni ajabu hata economy yao inaendeshwa na waarabu,wahindi na wazungu! Ni hayo tu
 
Wakimaliza nitahitaji wapishi kwenye hoteli yangu INCHAGE GALAXY iko Bunda, Tanzania.


Ha ha haa....mkuu inatakiwa wenye experience waifanye iyo kazi na sio mikenya, labda wafikirie tu kuwapa kazi za kusafisha toilets,tables za chakula n.k... Ni hayo tu
 
Kweli nilivyosoma heading nikajua this is one of utani kati ya watani wa jadi; kenya na Tzee. Kuja kusoma duh, kumbe ni kweli. Kwa kweli Trump huwa anaropoka mambo ya ukweli hata Mugabe pia. Tofauti na sisi wao huita Chepe chepe na sio kijiko kikubwa. Wakenya karibia wote ni majizi

Ktk africa nzima hakuna( nchi )watu wenye roho mbaya kama wakenya,wapo wachache mno wenye imani may be 20%! Ni hayo tu
 
Yaani hii aibu baba yangu....
Hawa wabunge wamesahau haraka kwamba Wakenya wakiamua kukinukisha huwa kinanuka.

Hahahaa Tangu lini mkawa na akili ya kufikiri mzee! Huwa mnajiendea tu maskini hamjui mnachokifanya, nimewadharau sana aise
 
Back
Top Bottom