masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
- Thread starter
- #21
Ni huko huko.Mbalizi hadi Mkwajuni, si Makongolosi
Wabunge wa Mbeya ni hasara tupu.
Sijui kama kwa umoja wao waeshaenda kwa Waziri Mkuu au Rais kwa hili tatizo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni huko huko.Mbalizi hadi Mkwajuni, si Makongolosi
Kwani yule dadake Salva Kiir anasemaje? Maana alipochukua Jimbo alikuwa na bwembweWabunge wetu mlioko Bungeni, Dodoma mnaotoka Mbeya.
Mtajionyesha umahiri wenu toka siku ya kwanza kabisa bungeni, lakini umahiri huo hatuuoni.
Kero kubwa za Mbeya, kwanza ni barabara.
Main road ya Tanzania kwenda Zambia ni mbaya sana, ukiingia Mbeya mjini malori ya mixigo mizito inapishana na bajaji.
Barabara inabidi ipanuliwe kuwa 4way two lanes, na service rd.
Barabara ya Katumba-Lwangwa- Mbambo-Masoko-Tukuyu umekuwa wimbo wa kasuku.
Barabara ya Mbalizi Makongolosi hivyo hiyo.
Wabunge wetu mna fanya nini?
Miaka mitano si mingi, nanyi mnatujua wananchi wenu huku mkoani tunavyojua kuwageuka tukiona hamfanyi kitu.
Hili ni angalizo.
Kwani mliwachagua? Msiwalazimishe wawatetee wakati kuingia Bungeni wametumia mbinu za Medani.Mbeya hatuna mbunge hata mmoja pale bungeni.
Wameenda kutafuta maslahi yao binafsi.
Sijasikia popote hawa wabunge wetu wakiishinikiza serikali kujenga upya TANZAM highway.Barabara za Tanroad kama sijakosea sio ishu ya kibunge, ni mipango/ilani ya chama chako cha CCM 'bwana macho kwenye ubondo'...
Mfano hiyo barabara ya TAN - ZAM haswa kipande mbele kidogo tu ya Igawa hadi Mbeya (Nsalagha), nadhani ni moja ya barabara mbovu kupindukia za mkoa hadi mkoa kwa sasa...
Ile barabara ina mashimo shimo, ukiwa waendesha gari ni mwendo wa kudance tu ama kupiga mashimo, ukifika mlima nyoka napo kuna mifereji lami imebonyea bonyea hovyo...
Mwee ! Mweee !! Mweeee !! kangi ngafu fijo !Imbombo jilipo nkamu.
sasa unabisha au unafafanua ?mbalizi makongolosi nmepita juzi ni lami..ukiwa unaenda mkwajuni nd vumbi
Tuwachague kwenye uchaguzi upi?Kwani mliwachagua? Msiwalazimishe wawatetee wakati kuingia Bungeni wametumia mbinu za Medani.
Jimbombo sya bant'uMwee ! Mweee !! Mweeee !! kangi ngafu fijo !
Hujui barabara ya kwenda Mkwajuni ni muhimu sana?mbalizi makongolosi nmepita juzi ni lami..ukiwa unaenda mkwajuni nd vumbi
Ilijengwa vizuri sana mkoani kwetu hapa Iringa. Si unajua CEO wa TANROADS.....Hata barabara ya Tanzam ambayo ni barabara kuu kuanzia Igawa hadi unaingia Mbeya ni mahandaki matupu, karibu tutaanza kufuga kambale hakika inakera sana, akinaSugu na wenzake walikuwa wanakazana kujenga hoteli zao na kudai respect wakati walikuwa hawafanyi lolote bungeni, inabidi wabunge wa mkoa wa Mbeya waamuke sasa.
Hv ike barabara inayoanzia Kiwira hadi Masoko kupitia Sange ila lami siku hizi?Tunataka lami!
Unafiki wenu utaeaponza.mlisema sugu hafanyi lolote mkaenda kwa Tulia na Sasa mmeanza kulalamika.hatuwaelewi watu wa mbeyaWabunge wetu mlioko Bungeni, Dodoma mnaotoka Mbeya.
Mtajionyesha umahiri wenu toka siku ya kwanza kabisa bungeni, lakini umahiri huo hatuuoni.
Kero kubwa za Mbeya, kwanza ni barabara.
Main road ya Tanzania kwenda Zambia ni mbaya sana, ukiingia Mbeya mjini malori ya mixigo mizito inapishana na bajaji.
Barabara inabidi ipanuliwe kuwa 4way two lanes, na service rd.
Barabara ya Katumba-Lwangwa- Mbambo-Masoko-Tukuyu umekuwa wimbo wa kasuku.
Barabara ya Mbalizi Makongolosi hivyo hiyo.
Wabunge wetu mna fanya nini?
Miaka mitano si mingi, nanyi mnatujua wananchi wenu huku mkoani tunavyojua kuwageuka tukiona hamfanyi kitu.
Hili ni angalizo.
Ah kweli hapo umenikumbusha hii ya Iringa kwa kweli utadhani uko mtoni, kumbe CEO kafanya mambo ya mtu kwao,lakini angetukumbuka hata sisi majirani zake bana, sisi sote ni walewale teh tehIlijengwa vizuri sana mkoani kwetu hapa Iringa. Si unajua CEO wa TANROADS.....
Ndio Sugu na wabunge wenzake waliopita wa mkoa wa Mbeya hawakufanya chochote zaidi ya kufanya biashara zao, mtu kama Sugu na huyu Amon walikuwa na kazi ya kutafuta vibalivya kujengea mahoteli yao tu na hadi wakajenga kwenye vyanzo vya maji vya hao hao watu ambao ndio waliowapeleka mjengoni.Unafiki wenu utaeaponza.mlisema sugu hafanyi lolote mkaenda kwa Tulia na Sasa mmeanza kulalamika.hatuwaelewi watu wa mbeya