Kweli TL kiboko.Naweka historia ya nchi yetu tu.
Hapo target ni Mpina. Wengine wote watakatwa kwa sababu ya Mpina.
- William Lukuvi- Miaka 30
- Job Ndugai-Miaka 25
- Mussa Zungu-Miaka 20
- Ahmed Shabiby-Miaka 20
- George Mkuchika-Miaka 20
- George Simbachawene-Miaka 20
- Luhaga Mpina-Miaka 20
- Maida Hamad Abdallah-Miaka 20
- Halima Mdee-Miaka 20
- Vita Kawawa-Miaka 20
- Pindi Chana-Miaka 20
Mzee Wasira, kama Anko Magu asingemkata jina, angeendelea na ubunge hadi leo - yupo! hahaHivi yule mzee makongoro alisema *yupo tu * toka anazaliwa makongoro yupo, mpaka anazeeka yupo,na atastaafu yule mzee yupo tu.
Wameshapata mtaji wa pembejeo.Wakaanze kilimo cha kisasa.Unamaanisha nini?
Unahalalisha nini?