Wabunge wa sasa waliodumu bungeni muda mrefu, miaka 20 na kuendelea

Miaka 30 mtu ni mbunge tu inamaa hakuna watu huko jimboni wenye sifa? Na hapo ni rushwa tuu hakuna kingine! Na miaka hiyo yote 30 kuna jini kimboni kakifanya kama mbunge achilia mbali yale yanayo fanywa kwa mipango ya serikali,miaka 30!, they must go
 
Hawa ndio unawapa jukumu la kutengeneza katiba itakayo weka ukomo wa madaraka halafu utarajie hilo lipite, nchi ya hovyo kabisa hii!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…