Wabunge wa Tanzania wajue sio kila jambo linalohusu usalama wa nchi ni la kutolewa ufafanuzi kwa wanasiasa

Briefing inafanywa kwa "some members of the congress" na sio kwa members wote@
Ndio maana nikasema umetoa mfano na kuacha facts muhimu. Sio kila kitu anaambiwa kila mtu, lakini wenzetu wana-utaratibu wa kulipa briefing Bunge kupitia viongozi wachache kuhusu mambo muhimu, hawaendi tu kimya kimya
 
You will never know who are those EIGHT and why only them and not others.
 
You will never know who are those EIGHT and why only them and not others.
Wanajulikana mkuu....

Speaker of the house
Leader of the house minority
Leader of senate majority
Leader of senate minority
Chair of Senate Intel Committee
Ranking member Senate Intel Committee
Chair of House Intel Committee
Ranking member House Intel Committee

Basically viongozi wa bunge kutoka chama tawala na upinzani
 
upo vizuri sana kwa mambo ya USA
 
Huu ni uandishi wa akina Tundu Lissu. Jazba nyingi hoja hakuna
 
Mimi nawapongeza wanausalama wote kwa kazi nzito lakini iliyoleta matokeo huko Kibiti.
Nawashauri waendelee kutumia nguvu stahiki kukabiliana na wapuuzi wote wanaotaka kuvunja amani.
Hakika mkuu
 
Mhhh. Umeandika kwa uoga mkuu
 
Huu ni uandishi wa akina Tundu Lissu. Jazba nyingi hoja hakuna
Kwahiyo kwa uelewa wako unaona kuna hoja hapo umeandika?! Kwanini basi usiweke hizo hoja zako ingawaje unaonesha dalili zote kwamba huna huo uwezo, na katu hutakuwa nao!!
 
Seen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…