Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Lakini ni muhimu kuandika jambo reasonableINFANTRY SOLDIER hayupo humu jamiiforums ili kuandika mambo yatakayompendeza kila mtu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini ni muhimu kuandika jambo reasonableINFANTRY SOLDIER hayupo humu jamiiforums ili kuandika mambo yatakayompendeza kila mtu
Usipende kutumia lugha za matusi hata kama unatumia fake IDupumbavu.
Jambo ambalo wewe unaliona ni reasonable mtu mwingine analiona lipo very unreasonableLakini ni muhimu kuandika jambo reasonable
Absolutely bro. Usalama wa nchi si suala la kuletea masihara hata kidogoNakuunga mkono mkuu.
Ambaye hajielewi na hajakuelewa, ana matatizo.
Watu wanauchukulia usalama wa nchi for granted.
Hii ni mbaya sana na ni sawa na usaliti mzee babaExactly, ingawa kuna wakati watu hujisahau na kumwaga issues kwa wanasiasa either kwa kujua au kutokujua.
Serikali ya Mobutu pamoja na Idd Amin Dada ndio zilikuwa na watu wenye tabia hiziSerikali ya kidhalimu na iliyojaa uovu mara zote wao na mawakala wao lazima watafute
Sio wabunge wote wanapewa hiyo privilege. Labda useme kamati ya kudumu ya bunge ya masuala ya ulinzi na usalama..kama kuna suala NYETI/SIRI/CLASSIFIED basi suala hilo halitajadiliwa in public bali ktk vikao vya faragha baina ya wabunge na wakuu wa vyombo vya usalama.
Slow down. Calm down brotherWewe umejuaje hayo wakati kiwango cha uelewa wako kama mtanzania ni mdogo? Au wewe siyo mtanzania? Ujinga mwingine ni mzigo!
Egocentric mindset. Wanapenda sana misifa mbele ya kadamnasi ya watuSijajua ni tatizo ni nini?
I'm not sure about thisNa wewe upo kama rais wako kila kitu China,,,,, haya na muwanyonge na mafisadi pia....
Sawa boss. Ila mimi nimeiongelea China na sio Tanzania kwa maana JF is a global platformHapa sio China, hapa ni Tanzania.
@Magaidi waliochinja wanafunzi kule Garisa unafikiri wanapaswa kufanywaje?Hivi swala la watu kupotea na kuuwawa ni classfied!?
Hayo ni mawazo yako na sio lazima yafanane na mawazo yanguMleta maada umeandika mada ndefu ungeandika paragraph moja tu isiyozidi sentensi kumi umeandika kijuaji lakini hewa Wala hujajenga hoja vizuri pamoja na kuwa uko sahihi kwenye heading
Yeye Beautiful Nkosazana ni mwanadada mrembo sanaWewe ni nani??[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
Hater at work. Roho mbaya haijengi mkuuMleta maada umeandika mada ndefu ungeandika paragraph moja tu isiyozidi sentensi kumi umeandika kijuaji lakini hewa Wala hujajenga hoja vizuri pamoja na kuwa uko sahihi kwenye heading
Hizi picha za nini mkuu?Usalama huu au? Kwa mifano yake kwa Tanzania hatufiti hata kidogo.
Penda sana kufikirisha akili View attachment 927914View attachment 927916
Hii wenzetu wanaita "deception by omission", ni kweli hata kwa wenzetu sio kila kitu kinawekwa hadharani, umetoa mfano wa George Tenet, lakini hujasema US Congress wana utaratibu wa kuwa briefed kuhusu classified issues. Umewahi kusikia kitu kinaitwa Gang of Eight? Kama unakijua basi umeamua tu kutosema kila kitu ili utetee point yako; kama hukijui basi ulipaswa kufanya research zaidi.Wabunge wa Tanzania ni lazima wajue sio kila jambo linalohusu usalama wa nchi ni la kutolewa ufafanuzi kwa wanasiasa. Not every aspect of state security should be clarified to politicians.
UTANGULIZI
==========
Baada ya tukio la kigaidi la September 11 mwaka 2001, aliyekuwa director wa Central Intelligence Agency (CIA) kwa wakati huo aliitwa mbele ya bunge la marekani na kuhojiwa kuhusiana na masuala yahusuyo ulinzi na usalama wa taifa hilo.
Moja kati ya maswali mengi aliyoulizwa ni kuwa kuna uhusiano gani wa kiutendaji wa kazi kati ya idara ya ujasusi ya jeshi (Military Intelligence Wing) pamoja na CIA katika kuzuia matukio ya uhalifu na kigaidi kutokea ndani ya ardhi ya marekani.
Director wa CIA hakutoa ufafanuzi wowote ule zaidi ya kutoa jibu moja tu kwa kusema "that information is classified" baaaas hakuendelea tena, which means not every aspect of state security should be clarified to politicians
MAONI YANGU BINAFSI KUHUSIANA NA SUALA LA KUCHUKUA WATU MATEKA WITH REFERENCE TO CHINA.
Si kila mwenye uraia wa China ni mtu salama kwa maslahi mema na ustawi wa nchi hiyo.
Nchi ya China ina maadui wa ndani pamoja na nje wanaopanga mipango ya kuidhoofisha kila saa na kila dakika. Hivyo ni kazi ya vyombo vya dola kuwatambua na kuwadhoofisha kama sio kuwamaliza kabisa kabla hawajaleta madhara makubwa kwa wananchi na taifa kwa ujumla. Huyo mtu adui anaweza kuwa hata ni ndugu yangu mimi au ndugu yako wewe wa karibu lakini mimi na wewe tusiwajue ila wataalam wa mambo ya usalama wa nchi husika wakawajua mpaka njama zao.
Hivyo suala la watu kuchukuliwa mateka na kuhojiwa kwa nchi kama China ni kitu kisichoepukia kwa nchi kutaka kujilinda na kusonga mbele.
Hizo nchi mnazoziona zimeendelea na mnahisi zina viwango vya juu sana vya haki za binadamu na demokrasia kama Marekani, German, Uingereza na hata Japan zipo katika kiwango hicho cha maendeleo si kwa bahati mbaya. Hapana. Idara zao za usalama ni wakali sana. Unafikiri hawafanyiwi hujuma hao jamaa? Unafikiri serikali zao hazina vikosi za kuchukua mateka (abduction squads)??? Wanavyo. Tena wapo very sophisticated, equipped with modern weaponry and techniques.
Nchi ya China ina maadui wanaofanya kazi muda wote kutaka kuihujumu politically, economically hata socially pia (kueneza mienendo itakayoweza kupelekea mmomonyoko wa maadili hata kuua uzalendo miongoni mwa watanzania kama nyimbo za kuua uzalendo kwa vijana zinawezekana ni brainwashing song kwa vijana ili kuhujumu akili zao kwa manufaa ya baadae) na maadui hao wanaweza kuwa ni watu wenye uraia wa China (walio ndani na nje) ama wasio wa China (walio ndani na nje ya nchi) wanaotaka kuwatumia raia wa China kudhoofisha nchi yao pasipo wao raia kujua ama kwa kujua na kuwapa rushwa na wapo ndani pia nje ya nchi ya China.
Kwa hiyo issue ya abduction squads ipo hata marekani na uingereza na ni muhimu sana kwa nchi kujilinda, sembuse China.
Police hawapaswi kuwa wapole. Tofautisheni vituo vya police na nyumba za ibada. Police kuwa wakali inasaidia hata mtu akitaka kutenda kosa lazima awaze mara mbili mbili itakuwaje kama akipelekwa police hivyo ana ahirisha kutenda uhalifu.
Sipo JF kufurahisha. Nipo hapa kufafanua ninayoyajua akilini mwangu.
I STAND TO BE CORRECTED.
OUR MOTTO: KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKOIPASAVYO
Briefing inafanywa kwa "some members of the congress" na sio kwa members wote@Hii wenzetu wanaita "deception by omission", ni kweli hata kwa wenzetu sio kila kitu kinawekwa hadharani, umetoa mfano wa George Tenet, lakini hujasema US Congress wana utaratibu wa kuwa briefed kuhusu classified issues.