[emoji15]mmhhh
Katika wananchi waliokuwa wanapigwa risasi na magaidi kule Kibiti kuna mmoja ni ndugu yangu, hivyo ninajua namna inavyouma kupoteza ndugu katika mikono ya magaidi...Tunaongea hivyo labda kwa sababu wale walopatwa na maafa hayo si ndugu zako.
Mkuu Soldier, hawa classmates zako waliendaga wapi?Beautiful Nkosazana pamoja na Girl Next-door njooni huku
Nina upendo kwa watanzania wote ila sio kwa maadui wa taifa letu.Lakini ingekuwa ni wapendwa wako sidhani kama ungeliona classfied.
Kwanini bado upo CHADEMA?[emoji15]
Unataka niende wapi ?Kwanini bado upo CHADEMA?
Njoo CCM kumenoga achana na hao sijui CHADEMA mara ACT. Washamba tu wale hawana jipyaMawazo ya hovyo kabisa haya!
Yaani watu kama akina Ben Saanane hawajulikani walipo kwa takribani miezi 18 sasa; wewe unataka kuaminisha watu kwamba mambo kama hayo yanatokea kwa ajili ya usalama wa taifa?!
Mwandishi wa Mwananchi nae unaenda mwezi wa 4 sasa with unknown whereabouts; halafu unataka kuaminisha watu kwamba, hayo hayapaswi kuhojiwa kwa ajili ya usalama wa taifa!!
Kwa mfano, unaweza kueleza ni aina ipi ya security threat iliyosabishwa na mtu kama Ben Saanane kwa kuhoji PhD ya Mkuu wa nchi?!
Ikiwa Waandishi wa Habari wanaruhusiwa kwenda hadi uwanja wa vita kuripoti vita; ni hatari ipi ya kiusalama ambayo ingesababishwa na Ripota wa Mwananchi kwa kutaka kufuatilia kilichokuwa kinaendelea Kibiti?!
By the way, kila mmoja anafahamu Magaidi wakubwa kabisa waliokuwa wanahatarisha usalama wa Marekani walikuwa wanakamatwa na kupelekwa Guantanamo!
Unaweza kutueleza hapa hao wahatarishaji wakubwa wa usalama wa Tanzania wamezuiwa gereza lipi kwa miezi yote hii?!
Btw, hivi unafahamu tofauti kati ya kulinda taarifa za siri za kiusalama (classified info) na kuficha maovu yaliyofanywa na watu walio kwenye system?
All in all, yote yana mwisho haya na endeleeni kutetea udhalimu kwavile hayajawakuta!
Na uzuri ni kwamba, majority ya watetezi wa udhalimu unaoendelea wala hampo kwenye inner circle, na kwa maana nyingine; hata nyie hampo salama!!
Ikiwa hata Nape ameshawahi kutolewa bastola hadharani; seuze nyie ambao wengine hata kula yenu ni shida!!
Wengine mkikesha kuangalia filamu na tathimlia za kivita na kijasusi kutoka Hollywood, mnadhani tayari ndo mmeshakuwa wataalamu na wachambuzi wa masuala ya kijeshi na kijasusi!
Punguza ushabiki wa vyama tafuta pesaNjoo CCM kumenoga achana na hao sijui CHADEMA mara ACT. Washamba tu wale hawana jipya
Sipo CHADEMA wala ACT, na sijawahi kuwa kwenye chama chochote maishani mwangu!! Na ni kutokana na ukweli huo, ndio maana you'll rarely find me kwenye mijdala ambayo exclusively ni mijadala ya vyama!Njoo CCM kumenoga achana na hao sijui CHADEMA mara ACT. Washamba tu wale hawana jipya
Usichokijua ni kwamba chanzo cha yote hayo ni ndani ya chama chenu. Ben kakimbia nchi wala hajafa. Anamkimbia bosi wake.kwamfano wanasiasa waliopigwa risasi/kupotezwa walikua na madhara gani kwa taifampaka watekwe au kushambuliwa?
mtu kusema tutashitakiwa kufuatia uvunjifu wa mikataba hovyo na mwingine kusema ana 'phd feki' ni makosa yanayo hatarisha amani ya taifa?
AiseeUsichokijua ni kwamba chanzo cha yote hayo ni ndani ya chama chenu. Ben kakimbia nchi wala hajafa. Anamkimbia bosi wake.
Anachokifanya Tundu Lissu kwa sasa ni kutafuta umaarufu kwa ajili ya 2025. Jpm baba laoSipo CHADEMA wala ACT, na sijawahi kuwa kwenye chama chochote maishani mwangu!! Na ni kutokana na ukweli huo, ndio maana you'll rarely find me kwenye mijdala ambayo exclusively ni mijadala ya vyama!
Lakini ingawaje sijawahi kuwepo kwenye chama chochote, naweza kuwaelewa wafuasi wa upinzani wanaopinga utawala wa hovyo kuliko watu aina yenu mnaotetea utawala wa hovyo!!
Hata hivyo, I'm sure hata Tundu au Membe aingie madarakani mwaka huu, akifanya kama afanyavyo Magufuli, NITAMPINGA tu kama ninavyompinga JPM leo hii!!!
JPM Baba Lao au Baba Lenu... sema "JPM Baba Letu"!Anachokifanya Tundu Lissu kwa sasa ni kutafuta umaarufu kwa ajili ya 2025. Jpm baba lao
Mhh...JPM Baba Lao au Baba Lenu... sema "JPM Baba Letu"!
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Dodoma kimepita bila kupingwa katika vijiji, mitaa na vitongoji 3,905 kati ya 4,032 vilivyopo sawa na asilimia 96.85.Hakuna la maana uliloliandika hapa kaka yangu
mhhhCHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Dodoma kimepita bila kupingwa katika vijiji, mitaa na vitongoji 3,905 kati ya 4,032 vilivyopo sawa na asilimia 96.85.
OkHakuna la maana uliloliandika hapa kaka yangu
Itaje nchi hiyo. Yaan mnataarifa kama hizo kisha serikali iangalie tu ikipakwa matope? Au kumfumbia macho mtu ambaye anahatarisha maisha ya wenzake kama mbowe?Usichokijua ni kwamba chanzo cha yote hayo ni ndani ya chama chenu. Ben kakimbia nchi wala hajafa. Anamkimbia bosi wake.