Wabunge wa Tanzania wajue sio kila jambo linalohusu usalama wa nchi ni la kutolewa ufafanuzi kwa wanasiasa

Huko Marekani magaidi waliokubali kuwa recruited na kutumika kama double agents wa Al Qaeda walifutiwa mashikata na ofisi ya DPP wa Marekani na kuachiwa kwa kazi maalum kwenda nchi kama Jordan na Lebanon kupeleleza viongozi waandamizi wa makundi mengine ya kigaidi. Waliokataa kutoa ushirikiano walipewa mashtaka mengine zaidi kwa maslahi ya kiulinzi ya Marekani.

Ofisi kama hizo za DPP na AG zinafanya kazi kwa ukaribu mkubwa sana na vyombo vingine vya usalama hivyo msiwalaumu wanapotimiza wajibu wao unaoweza kuwakera nyie kama vile kubambikia watu kesi au kunyima dhamana ila ni kwa maslahi ya taifa. Kwa nchi kama Marekani, kuna wakati kunyima watu dhamana (Coercion) ni muhimu ili mtuhumiwa aweze kutoa ushirikiano kwa dola.
 
Umeongea hivyo kwa vile hao 380 wanaodaiwa kupotea sio baba, mama ako na ndugu zako.
Kumbuka kua mnayowafanyia Watanzania ipo siku yatawafika.
Mana saizi mmekamata vyombo vyote vya habari ili uovu wenu usijulikane. Sawa, ila Mungu si dhalimu.
Mfano wabunge wanaowakilisha majimbo mbalimbali ndani ya jiji la Dar wanaweza kuomba kujua "Informers wa Police" wote waliopo ndani ya jiji zima kwa maana wanalipwa kupitia pesa ambazo ni kodi za watanzania.

Je, hii ni sahihi kwa waziri wa mambo ya ndani kutoa majina yao?
 
Cc MALCOM LUMUMBA uzi wenyewe ndiyo huu wamejazana vilaza wa CCM na TISS huku mtu mmoja anatumia ID zaidi ya moja anaulixa swali halafu anajibu kwa ID nyingine
 
Cc MALCOM LUMUMBA uzi wenyewe ndiyo huu wamejazana vilaza wa CCM na TISS huku mtu mmoja anatumia ID zaidi ya moja anaulixa swali halafu anajibu kwa ID nyingine
Mkuu, yaaani nikiona mtu mmoja anamiliki IDs kibao huwa namuona kama chizi ujue?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…