Wabunge wa Tanzania wajue sio kila jambo linalohusu usalama wa nchi ni la kutolewa ufafanuzi kwa wanasiasa

Wabunge wa Tanzania wajue sio kila jambo linalohusu usalama wa nchi ni la kutolewa ufafanuzi kwa wanasiasa

Tatizo letu hakuna oversight.

Umetoa mfano wa Marekani. Wenzetu wana oversight za kutosha.

Kuna public hearings, kuna classified briefing na kuna briefing wanayopewa Gand of Eight peke yake. Huku hakuna hayo mambo, nani anasimamia hayo mambo.
 
UTANGULIZI
=======
Baada ya tukio la September 11 mwaka 2001, aliyekiwa director wa CIA kwa wakati huo aliitwa mbele ya bunge la marekani na kuhojiwa na bunge.

Moja kati ya maswali aliyoulizwa ni kuwa kuna uhusiano gani wa kiutendaji wa kazi kati ya idara ya ujasusi ya jeshi (Military Intelligence) na CIA katika kuzuia matukio ya uhalifu na kigaidi kutokea ndani ya marekani. CIA director alitoa jibu moja tu kwa kusema "that information is classified" baaaas hakuendelea tena. Not every aspect of state security should be clarified to politicians

MAONI YANGU BINAFSI KUHUSIANA NA SUALA LA KUCHUKUA WATU MATEKA WITH REFERENCE TO CHINA.
=============
Si kila mwenye uraia wa China ni mtu salama kwa maslahi mema na ustawi wa nchi hiyo.

Nchi ya China ina maadui wa ndani pamoja na nje wanaopanga mipango ya kuidhoofisha kila saa na kila dakika. Hivyo ni kazi ya vyombo vya dola kuwatambua na kuwadhoofisha kama sio kuwamaliza kabisa kabla hawajaleta madhara makubwa kwa wananchi na taifa kwa ujumla. Huyo mtu adui anaweza kuwa hata ni ndugu yangu mimi au ndugu yako wewe wa karibu lakini mimi na wewe tusiwajue ila wataalam wa mambo ya usalama wa nchi husika wakawajua mpaka njama zao.

Hivyo suala la watu kuchukuliwa mateka na kuhojiwa kwa nchi kama China ni kitu kisichoepukia kwa nchi kutaka kujilinda na kusonga mbele.

Hizo nchi mnazoziona zimeendelea na mnahisi zina viwango vya juu sana vya haki za binadamu na demokrasia kama Marekani, German, Uingereza na hata Japan zipo katika kiwango hicho cha maendeleo si kwa bahati mbaya. Hapana. Idara zao za usalama ni wakali sana. Unafikiri hawafanyiwi hujuma hao jamaa? Unafikiri serikali zao hazina vikosi za kuchukua mateka (abduction squads)??? Wanavyo. Tena wapo very sophisticated, equipped with modern weaponry and techniques.

Nchi ya China ina maadui wanaofanya kazi muda wote kutaka kuihujumu politically, economically hata socially pia (kueneza mienendo itakayoweza kupelekea mmomonyoko wa maadili hata kuua uzalendo miongoni mwa watanzania kama nyimbo za kuua uzalendo kwa vijana zinawezekana ni brainwashing song kwa vijana ili kuhujumu akili zao kwa manufaa ya baadae) na maadui hao wanaweza kuwa ni watu wenye uraia wa China (walio ndani na nje) ama wasio wa China (walio ndani na nje ya nchi) wanaotaka kuwatumia raia wa China kudhoofisha nchi yao pasipo wao raia kujua ama kwa kujua na kuwapa rushwa na wapo ndani pia nje ya nchi ya China.

Kwa hiyo issue ya abduction squads ipo hata marekani na uingereza na ni muhimu sana kwa nchi kujilinda, sembuse China.

Police hawapaswi kuwa wapole. Tofautisheni vituo vya police na nyumba za ibada. Police kuwa wakali inasaidia hata mtu akitaka kutenda kosa lazima awaze mara mbili mbili itakuwaje kama akipelekwa police hivyo ana ahirisha kutenda uhalifu.

Sipo JF kufurahisha. Nipo hapa kufafanua ninayoyajua akilini mwangu.

I STAND TO BE CORRECTED.

KIJANA KUWA MZALENDO, PENDA TANZANIA.
Kama uzalendo ni ku support utekaji na uuaji,siwezi kuwa mzalendo wa aina hii kamwe.nitakuwa kwanza namkosea Mungu,maana utekaji na uuaji ni dhambi.
 
Mimi nawapongeza wanausalama wote kwa kazi nzito lakini iliyoleta matokeo huko Kibiti.
Nawashauri waendelee kutumia nguvu stahiki kukabiliana na wapuuzi wote wanaotaka kuvunja amani.
Nakumbuka kipindi mauaji yalipokuwa yanaendelea tuliwalaumu polisi sasa kuna amani bado tunataka kuwalaumu.
ulishawahi fika kibit
 
UTANGULIZI
=======
Baada ya tukio la September 11 mwaka 2001, aliyekiwa director wa CIA kwa wakati huo aliitwa mbele ya bunge la marekani na kuhojiwa na bunge.

Moja kati ya maswali aliyoulizwa ni kuwa kuna uhusiano gani wa kiutendaji wa kazi kati ya idara ya ujasusi ya jeshi (Military Intelligence) na CIA katika kuzuia matukio ya uhalifu na kigaidi kutokea ndani ya marekani. CIA director alitoa jibu moja tu kwa kusema "that information is classified" baaaas hakuendelea tena. Not every aspect of state security should be clarified to politicians

MAONI YANGU BINAFSI KUHUSIANA NA SUALA LA KUCHUKUA WATU MATEKA WITH REFERENCE TO CHINA.
=============
Si kila mwenye uraia wa China ni mtu salama kwa maslahi mema na ustawi wa nchi hiyo.

Nchi ya China ina maadui wa ndani pamoja na nje wanaopanga mipango ya kuidhoofisha kila saa na kila dakika. Hivyo ni kazi ya vyombo vya dola kuwatambua na kuwadhoofisha kama sio kuwamaliza kabisa kabla hawajaleta madhara makubwa kwa wananchi na taifa kwa ujumla. Huyo mtu adui anaweza kuwa hata ni ndugu yangu mimi au ndugu yako wewe wa karibu lakini mimi na wewe tusiwajue ila wataalam wa mambo ya usalama wa nchi husika wakawajua mpaka njama zao.

Hivyo suala la watu kuchukuliwa mateka na kuhojiwa kwa nchi kama China ni kitu kisichoepukia kwa nchi kutaka kujilinda na kusonga mbele.

Hizo nchi mnazoziona zimeendelea na mnahisi zina viwango vya juu sana vya haki za binadamu na demokrasia kama Marekani, German, Uingereza na hata Japan zipo katika kiwango hicho cha maendeleo si kwa bahati mbaya. Hapana. Idara zao za usalama ni wakali sana. Unafikiri hawafanyiwi hujuma hao jamaa? Unafikiri serikali zao hazina vikosi za kuchukua mateka (abduction squads)??? Wanavyo. Tena wapo very sophisticated, equipped with modern weaponry and techniques.

Nchi ya China ina maadui wanaofanya kazi muda wote kutaka kuihujumu politically, economically hata socially pia (kueneza mienendo itakayoweza kupelekea mmomonyoko wa maadili hata kuua uzalendo miongoni mwa watanzania kama nyimbo za kuua uzalendo kwa vijana zinawezekana ni brainwashing song kwa vijana ili kuhujumu akili zao kwa manufaa ya baadae) na maadui hao wanaweza kuwa ni watu wenye uraia wa China (walio ndani na nje) ama wasio wa China (walio ndani na nje ya nchi) wanaotaka kuwatumia raia wa China kudhoofisha nchi yao pasipo wao raia kujua ama kwa kujua na kuwapa rushwa na wapo ndani pia nje ya nchi ya China.

Kwa hiyo issue ya abduction squads ipo hata marekani na uingereza na ni muhimu sana kwa nchi kujilinda, sembuse China.

Police hawapaswi kuwa wapole. Tofautisheni vituo vya police na nyumba za ibada. Police kuwa wakali inasaidia hata mtu akitaka kutenda kosa lazima awaze mara mbili mbili itakuwaje kama akipelekwa police hivyo ana ahirisha kutenda uhalifu.

Sipo JF kufurahisha. Nipo hapa kufafanua ninayoyajua akilini mwangu.

I STAND TO BE CORRECTED.

KIJANA KUWA MZALENDO, PENDA TANZANIA.
Wala cjakuelewa ulichoeleza na ulikuwa na maana gani kwa polisi tz. Cjakusoma kichwa cha habari na maelezo naona haiendani na yaliyomo ndani
 
Acha kutetea utekaji!! Msichukue mifano ya china na marekani kujustify yanayotokea huku kwetu...
Kama umeamua kulinganisha basi tuwekee na mifano ya makosa ya watu waliotekwa china na marekani na wanaotekwa Tanzania utagundua maduduz makubwa tu kama upeo wako ni mkubwa ila kama ni mdogo utaishia kushabikia vitu vya ajabu kabisa
 
kama marekani wangekuwa wanakurupuka hivo mbona wanamkosoa trumph wangepotezwa wengi achilia yule dada aliyesema alimuuzia papuchi na anahojiwa mpaka na média kubwa/ hapa tuuu mtu alihoji msimamizi wa Kituo kuwa sanduku la jura lilibwa na kurudishwa itv wakapigwa béat wakaomba msamaha / we muleta mada acha kufananisha USA na huuu ujinga wa hapa for thé saké of national security / kwa hyo hâta akwilina alikuwa na ttzo gani if that thé case .kifupi sema jiwa kashapasua hili taïfa acha kupotosha
 
Kwaiyo hata vifo wananchi hawana haki ya kujua

Hata ndugu yako atakapokuwa chini ya mikono ya polisi akifa huhitaji kupewa tarifa wanaweza kumtupa tu

Kama nchi imefikia huko utasema upo kwenye utawala bora?
 
Mwalimu wako kakudanya, kichwa chako kimejaa propaganda na unaziamini kwa 100%. Inawezekana ndio maana polisi anaajiri form 4 failures, ni rahisi kuwa brain wash.
 
Ww mleta mada ndio unayehusika na mauaji kisha unaleta mada ya kipuuzi na kuishia kutoa mfano China ili kuhalalisha upuuzi
China America na Nchi zingine hakuna huo unyama bali mleta mada kaja na hicho kioja akidhani watanzania ni wajinga wajinga kama yeye na CCM wenzake, watanzania wameamka wanajua kila kitu Duniani wanajua Tanzania ya sasa si Nchi ya Aman tena, Naibu Rais Maliyamungu Bashite na Mtukufu malaika toka chato wanaendesha Nchi kienyeji watakavyo.
 
Mtoa huu uzi kwa maandishi yake tu, itoshe kumjua ni mmoja wa waunga mkono wa utekaji na uuwaji wa watu wasiyo na hatia Nchini! Aina ya watu wa hivi, siyo wa kuwafurahia kbsa, Akili zao zimejikita ktk umwagaji damu kwa ghalama yoyote ilimradi ni kuulinda utawala dharimu. Mifano unayoitoa kutoka CHINA ni mwendelezo ule ule wakutuonesha ulivyokatili! China ni Nchi ya kutolea mfano!? Hii Nchi kidemokrasia haiko salama, ugandamizaji na uuwaji kwa wale wanaoikosoa Serikali, ni kipao mbele chao cha kudumu. Swala hapa ni kwamba, Serikali ya CCM, iachane na utawala wa chuma, iache kuua watu hovyo! Siasa za kigaidi zilishapitwa na wakati, wawaachie kazi hiyo Al-shabab, Al-Quida na Boko haram. Ni aibu kubwa kuona Nchi iliyohuru na kihistoria ilikuwa na Rais aliyepinga Dunia nzima mauwaji ya wanadamu kiholela ssa ndiyo inajipanga kuwa Nchi ya umwagaji Damu tena kwa Raia wake wenyewe, hii ni laana kubwa!
Mleta mada atakuwa ni Cyprian msiba kwa sababu Uandishi wake hauna tofauti na ule Uandishi wa kile kigazeti chake chenye chuki na Wapinzani, ukisoma kwa makini unaona Mwandishi ana viashiria vya Tabia zote za Cyprian Msiba ambaye kwa sasa ni kinara wa kuwachafua Wapinzani Tanzania.
 
naona dada anahalalisha mauwaji ya watanzania ili kufanikisha uchu wa watu ya kanda ile...
haya we kafiri tuambie baada ya kuwauwa hao watanzania mmepata maendeleo yepi ?
ukichukua mifano ya USA, Ujerumani basi kule wanaume wanamegwa ila UVCCM pia wapo !.
VITABU VITAKATIFU VIMELAANI MAUWAJI KAMA HAYO
HUYU KAFIRI ANAHALALISHA.
 
Kiwango kidogo cha uelewa wa watanzania ni tatizo kubwa sana kuyaelewa masuala ya usalama wa nchi. Wao kitu rahisi ni kula, kunywa, kulala na kuanza kutukana. Mengine usiwaulize utapoteza mda wako bure.

Wanadhani kuna madhara yatakuja kwa serikali na yasiwafikie wao kokote walipo na ndugu zao. Hawajuhi kuna watu wanahangaika kuwalinda wao na familia zao wakiwa wamelala fofofo kama mizoga wengine wanategua mipango ya siri waliyoivujisha wao wenyewe. Ni sawa na kulikata tawi ulilolikalia ukifikili wewe utakuwa salama
 
UTANGULIZI
=======
Baada ya tukio la September 11 mwaka 2001, aliyekiwa director wa CIA kwa wakati huo aliitwa mbele ya bunge la marekani na kuhojiwa na bunge.

Moja kati ya maswali aliyoulizwa ni kuwa kuna uhusiano gani wa kiutendaji wa kazi kati ya idara ya ujasusi ya jeshi (Military Intelligence) na CIA katika kuzuia matukio ya uhalifu na kigaidi kutokea ndani ya marekani. CIA director alitoa jibu moja tu kwa kusema "that information is classified" baaaas hakuendelea tena. Not every aspect of state security should be clarified to politicians

MAONI YANGU BINAFSI KUHUSIANA NA SUALA LA KUCHUKUA WATU MATEKA WITH REFERENCE TO CHINA.
=============
Si kila mwenye uraia wa China ni mtu salama kwa maslahi mema na ustawi wa nchi hiyo.

Nchi ya China ina maadui wa ndani pamoja na nje wanaopanga mipango ya kuidhoofisha kila saa na kila dakika. Hivyo ni kazi ya vyombo vya dola kuwatambua na kuwadhoofisha kama sio kuwamaliza kabisa kabla hawajaleta madhara makubwa kwa wananchi na taifa kwa ujumla. Huyo mtu adui anaweza kuwa hata ni ndugu yangu mimi au ndugu yako wewe wa karibu lakini mimi na wewe tusiwajue ila wataalam wa mambo ya usalama wa nchi husika wakawajua mpaka njama zao.

Hivyo suala la watu kuchukuliwa mateka na kuhojiwa kwa nchi kama China ni kitu kisichoepukia kwa nchi kutaka kujilinda na kusonga mbele.

Hizo nchi mnazoziona zimeendelea na mnahisi zina viwango vya juu sana vya haki za binadamu na demokrasia kama Marekani, German, Uingereza na hata Japan zipo katika kiwango hicho cha maendeleo si kwa bahati mbaya. Hapana. Idara zao za usalama ni wakali sana. Unafikiri hawafanyiwi hujuma hao jamaa? Unafikiri serikali zao hazina vikosi za kuchukua mateka (abduction squads)??? Wanavyo. Tena wapo very sophisticated, equipped with modern weaponry and techniques.

Nchi ya China ina maadui wanaofanya kazi muda wote kutaka kuihujumu politically, economically hata socially pia (kueneza mienendo itakayoweza kupelekea mmomonyoko wa maadili hata kuua uzalendo miongoni mwa watanzania kama nyimbo za kuua uzalendo kwa vijana zinawezekana ni brainwashing song kwa vijana ili kuhujumu akili zao kwa manufaa ya baadae) na maadui hao wanaweza kuwa ni watu wenye uraia wa China (walio ndani na nje) ama wasio wa China (walio ndani na nje ya nchi) wanaotaka kuwatumia raia wa China kudhoofisha nchi yao pasipo wao raia kujua ama kwa kujua na kuwapa rushwa na wapo ndani pia nje ya nchi ya China.

Kwa hiyo issue ya abduction squads ipo hata marekani na uingereza na ni muhimu sana kwa nchi kujilinda, sembuse China.

Police hawapaswi kuwa wapole. Tofautisheni vituo vya police na nyumba za ibada. Police kuwa wakali inasaidia hata mtu akitaka kutenda kosa lazima awaze mara mbili mbili itakuwaje kama akipelekwa police hivyo ana ahirisha kutenda uhalifu.

Sipo JF kufurahisha. Nipo hapa kufafanua ninayoyajua akilini mwangu.

I STAND TO BE CORRECTED.

KIJANA KUWA MZALENDO, PENDA TANZANIA.
Mi kwakweli suala hilo naliunga mkono na umeniwahi tu
 
Huyo mtu adui anaweza kuwa hata ni ndugu yangu mimi au ndugu yako wewe wa karibu lakini mimi na wewe tusiwajue ila wataalam wa mambo ya usalama wa nchi husika wakawajua mpaka njama zao.

Real Soldier
 
Gaidi au mhalifu haitaji kubembelezwa...walipouawa viongozi wa chama na Serikali sikuwaona hapa mkilaani sanasana mlisema acha wakomeshwe ....Jeshi limeenda kuwakomesha wahusika na sasa pako shwari ndio mnaanza kutuletea porojo za haki za binadamu.
Dawa ya terror ni more TERROR ....ndio maana Kibiti,Arusha,Amboni na kwingineko pametulia.
Serikali ya kidhalimu na iliyojaa uovu mara zote wao na mawakala wao lazima watafute sababu za kuhalalisha udhalimu na uovu wao!!!

Tundu Lissu ambae mlimmiminia risasi na kutaka kumuua ni gaidi?

Mwandishi wa Mwananchi ambae possibly nae amemiminiwa risasi ni gaidi?

Ben Saanane asiyefahamika aliko na bila shaka nae huenda amemiminiwa risasi ni gaidi?!

Ushetani na damu ya mwanadamu ni chanda na pete kwa sababu makafara ndio ada ya madhalimu ya Kiafrika!! Ni kutokana na ukweli huo ndio maana mnapokosa damu sahihi hamuoni taabu hata kutafuta damu popote pale zilipo kama mlivyopata kufuta damu hadi kwa wasafiri wa daladala na kutandika risasi za kukata kona!!!

Kila mwenye akili timamu anafahamu magaidi ni washenzi na pia wana mioyo ya kishetani iliyojaa uovu utamanio damu za wanadamu!! Ni kutokana na hilo ndio maana hawaoni taabu kuua watu bila kujali wahusika wana hatia au hapana! Wanachotaka wao ni DAMU, basi!

Hivyo ndivyo ambavyo nafsi za kishetani na mawakala wao wangpenda kuona!!!

Kinyume chake, ni serikali ya kidhalimu na iliyojaa roho za kishetani peke yake ndizo zinaweza kufanya mambo yake kwa mtindo ule ule unaofanywa na magaidi wapenda damu bila kujali ikiwa wahusika wana hatia au hapana!!!!

Ni matunda ya kutopewa na udhalimu na roho za kishetani ndio maana pale mawakala wenu wa kutoa roho wanapokosa mtu sahihi wa kumtoa roho, hawaoni taabu kuua hata wao kwa wao kama ambavyo Wakala mmoja wa mauaji alipomchomolea bastola Nape Nnauye na kutaka kumtoa roho wakati ni "mtoto wao!"
 
Kwahiyo kupiga watu risasi na kuwaua bila kuthibitisha kwamba wanahusika ndo amani hiyo?!

Hongera kwa kuwa mfuasi mtiifu ambayo baada ya kushindwa kupambana na rushwa imegeuka kuwa ya kufanya mauaji bila kuthibitisha hatia!

Binafsi ningejisikia aibu kuwa mfuasi kindakikindaki wa serikali "iliyochaguliwa" huku ikitekeleza hukumu zake sawa na wanavyofanya Magaidi hatari duniani!

Hata Beberu Kuu Marekani, huwa anakamata Magaidi hatari kabisa, kuwahoji na kuwapeleka Guantanamo ili mradi tu wajiridhishe ikiwa wanahusika na tuhuma tajwa!

Tena basi wanafanya haya kwa watu ambao majority wala sio raia wake!

Na hata walio raia wake; majority wala sio raia wa asili but still they wanafahamu huwezi kukamata mtu na kummiminia mvua ya risasi simply because taarifa za kiusalama zilimtilia shaka mhusika au mhusika alitajwa!!

Na ndio maana haikushangaza kuona kwamba miongoni mwa waliotajwa hawakuwa na hatia na hivyo kuachiliwa huru!

Kinyume chake leo tuna serikali ambayo mtu kutajwa tu inatosha kupewa hukumu ya kifo bila hata ya kufanya intensive investigation!!

Mungu awalaani wote wanaotetea ushenzi na udhalimu kama huu kwa sababu yoyote ile!

Wananchi wanalipa kodi ili majeshi yetu yaweze kulipwa mishahara ili hatimae watumie weledi wao kuhakikisha haki inatendeka!

Unapokuwa na majeshi yanayofanya kazi kwa staili ile ile inayofanywa na Magaidi then hapawezi kuwa na tofauti kati ya Magaidi na askari wanaolipwa ili kulinda Wananchi!!

Kwa hakika nchi inahitaji maombi!
Hamna mwanausalama Mjinga na mpumbafu mwenye kufanya vitu ambavyo ww unahisi walivifanya bila ya kuwa hata na uhakika, hata kama vilifanywa na wao they know why ,ila kwa kuwa cc na ww hatujui nn kilijili mpaka ikawa hivyo tusiwe wepesi wa Ku judge,
Ikumbukwe ya kuwa mambo ya kibiti yalikuwa ni matokeo tu, we never under cover what exactly is !

Ijulikane wazi tu kuwa hamna hata mmoja anaependelea mauaji yafanyike ama yatokee, hapa vyombo vya usalama ni lazima vilaumiwe tu kwa sababu tu yakuwa ni wajibu wao kuhakikisha usalama wa wananchi na mali zao ziko safe.
Lkn ikumbukwe hata ajali ambazo huwa zinatokea haina haya ya kumlaumu derever pekee, pengine ajali yawezekana ikawa imesababishwa na vitu vingne kama Ubovu wa Barbara, Gari lenyewe ama pengine derever mwenzake kamgonga na kusababisha ajali, lkn cha ajabu Drever pekee hulaumiwa peke ake,
Jifikirishe sana haya mambo sio simple kihivyo.
 
Back
Top Bottom