Wabunge wa Tanzania wajue sio kila jambo linalohusu usalama wa nchi ni la kutolewa ufafanuzi kwa wanasiasa

Sio kila upelelezi ni rahisi kufanyika mara moja. It might takes years. Inawezekana amekimbia nchi ama magaidi wamemteka. Ndio maana IGP anasema mtu yeyote mwenye taarifa zitakazoweza kuisaidia police apeleke

Hiyo ni Lugha tu ya kuzugia na kutufanya kama Watoto ila mkumbuke mtalipa tu hizo Damu za hao Raia hata kama sio leo na hata kama sio ninyi hata Vizazi vyenu.
 
Mkuu jngalao, wanasiasa hupenda kutafuta sifa za muda mrefu na mfupi. Hawa waliokuwa wanawakejeli polisi na usalama wa taifa, walikuwa wanazisaka sifa za muda mfupi.

Ni wale wazee wa matukio, sasa hivi wapo pamoja na ZZK kwenye suala la makinikia.
 
Ni vizuri kuacha unafiki na kujipendekeza tunapojadili mambo muhimu. Sijui ni kwa nini unachukua mfano wa China. Unataka tuige kwao?

Kati ya watu waliopotea, Saanane, Agwanda nk na waliotekwa kina Dr. Ulimboka Roma Mkatoliki na wengine, kuna aliyehatarisha usalama wa Taifa? Wanaosababisha hatari kwa taifa ni watekaji, majizi ,wanaonunua wabunge, madiwani na wanaobadili matokeo ya kura. Wote waliopotezwa na kuuawa na wanaoendelea kutishwa ndiyo wazalendo halisi. Wazalendo hawawezi kutoka Lumumba. Think twice.
 

"Sio Kijana Kua Mzalendo,Penda Tanzania"

Ni

"Kijana kuna Mzalendo,Penda Serikali ya CCM"
 
Huwezi kufananisha utendaji wa CIA na TISS,TISS inafanya kazi kwa kuamriwa na Rais na kwa maslahi ya CCM.
CIA haipo kisiasa,inafanya kazi kizalendo kwa maslahi ya Marekani na siyo Republican wala Democratic.
Tunaipenda Tanzania, hatumpendi Magufuli na CCM yake.
Huwezi kuifananisha CIA na idara dhaifu kama TISS inayotumika na CCM 100%.
Rudi darasani tena,hujui lolote kuhusu kazi za intelligence umejaa ushabiki wa CCM, na huna uzalendo wowote Wewe ni mnafiki mkubwa,mchumia tumbo,uzalendo wako upo CCM na siyo Tanzania, ungekuwa mzalendo ungemshauri rais aache kuivuruga nchi kisiasa na kiuchumi.
Tutolee unafiki wako hapa.
 
Tatizo wanasiasa wetu wengi wao wanadhani ni haki yao kufahamu kila jambo linalohusu usalama . Mambo ya usalama waachiwe polisi,TISS, JWTZ etc wafanye kazi yao wao waendelee kupiga kelele
 
Tatizo wanasiasa wetu wengi wao wanadhani ni haki yao kufahamu kila jambo linalohusu usalama . Mambo ya usalama waachiwe polisi,TISS, JWTZ etc wafanye kazi yao wao waendelee kupiga kelele
Kama watu walipita kote na kufika sehemu husika, nazani ni utoto kuto uliza
 
Kama wewe umepatikana unauliza nini sasa.

Usiwe na mifano ya mfu
Kuna mambo mengine hata ukiyajua hayana msaada kwako. Badala yake yanakuwa ni hatari kwa usalama wa nchi ....naona mifano kama hii itakufaa zaidi, mleta mada ameshakutolea mfano still bado wewe huelewi . Lazima upewe mifano ambayo inalingana na upeo wa akili yako
 
Usalama huu au? Kwa mifano yake kwa Tanzania hatufiti hata kidogo.

Penda sana kufikirisha akili
 
China China China.. Kwa hiyo Magufuli ni Mao Ze Dong au?
 
You're in the same path with the OP.Tatizo letu wengi wanakuja na majibu yao ambayo yapo negative.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…