Wabunge wa Tanzania wajue sio kila jambo linalohusu usalama wa nchi ni la kutolewa ufafanuzi kwa wanasiasa

Wabunge wa Tanzania wajue sio kila jambo linalohusu usalama wa nchi ni la kutolewa ufafanuzi kwa wanasiasa

Mawazo ya hovyo kabisa haya!

Yaani watu kama akina Ben Saanane hawajulikani walipo kwa takribani miezi 18 sasa; wewe unataka kuaminisha watu kwamba mambo kama hayo yanatokea kwa ajili ya usalama wa taifa?!

Mwandishi wa Mwananchi nae unaenda mwezi wa 4 sasa with unknown whereabouts; halafu unataka kuaminisha watu kwamba, hayo hayapaswi kuhojiwa kwa ajili ya usalama wa taifa!!

Kwa mfano, unaweza kueleza ni aina ipi ya security threat iliyosabishwa na mtu kama Ben Saanane kwa kuhoji PhD ya Mkuu wa nchi?!

Ikiwa Waandishi wa Habari wanaruhusiwa kwenda hadi uwanja wa vita kuripoti vita; ni hatari ipi ya kiusalama ambayo ingesababishwa na Ripota wa Mwananchi kwa kutaka kufuatilia kilichokuwa kinaendelea Kibiti?!

By the way, kila mmoja anafahamu Magaidi wakubwa kabisa waliokuwa wanahatarisha usalama wa Marekani walikuwa wanakamatwa na kupelekwa Guantanamo!

Unaweza kutueleza hapa hao wahatarishaji wakubwa wa usalama wa Tanzania wamezuiwa gereza lipi kwa miezi yote hii?!

Btw, hivi unafahamu tofauti kati ya kulinda taarifa za siri za kiusalama (classified info) na kuficha maovu yaliyofanywa na watu walio kwenye system?

All in all, yote yana mwisho haya na endeleeni kutetea udhalimu kwavile hayajawakuta!

Na uzuri ni kwamba, majority ya watetezi wa udhalimu unaoendelea wala hampo kwenye inner circle, na kwa maana nyingine; hata nyie hampo salama!!

Ikiwa hata Nape ameshawahi kutolewa bastola hadharani; seuze nyie ambao wengine hata kula yenu ni shida!!

Wengine mkikesha kuangalia filamu na tathimlia za kivita na kijasusi kutoka Hollywood, mnadhani tayari ndo mmeshakuwa wataalamu na wachambuzi wa masuala ya kijeshi na kijasusi!


!
!
Mkuu Akikujibu Naomba Unitag
 
Sio kila upelelezi ni rahisi kufanyika mara moja. It might takes years. Inawezekana amekimbia nchi ama magaidi wamemteka. Ndio maana IGP anasema mtu yeyote mwenye taarifa zitakazoweza kuisaidia police apeleke
You don't believe that, do you?!

If you do, unaweza kutengeneza theory ya kwanini inawezekana awe amekimbia nchi au awe ametekwa na magaidi?!

Btw, huyo IGP alikuwa anaitaka taarifa ipi asiyoifahamu?! Ben Saanane wanahitaji watu wawape taarifa; what about Tundu aliyenusurika kuuawa ndani ya government compound inayolindwa na serikali wenyewe?!

Hapa napo wanahitaji mtu awapelekee taarifa wakati security system is within their control?!

Tell you what; nyie endeleeni tu kutetea udhalimu unaofanyika kwa sababu tu waathirika wa huo udhalimu sio nyinyi! But trust me, popote penye udhalimu; no one is safe!

Leo mtu anaweza kuwa kwenye system na akadhani yanayotokea hayawezi kumkuta lakini uzoefu unaonesha kwamba; udhalimu una silika ya kisasi!

Kama si kisasi hapa hapa duniani kama ilivyotokea kwa akina Sadam Hussein basi itakuwa kisasi cha jahanam kwa wale wanaoamini!
 
Ben Saanane hajulikani kapotea potea vp. Uchunguzi bado unaendelea. Acheni vyombo vya dola viendelee na kazi yao, kwanini mnaingilia upelelezi??
Basi sawa; Ben Saanane hajulikani kapotea potea vp!! Ina maana na Tundu Lissu nae haijulikani alitaka kuuawa uawa vipi?!

Hivi ikiwa hadi leo "wameshindwa" kuwatambua waliotaka kumuua Tundu Lissu licha ya tukio kutokea kwenye viunga vya serikali na vinavyolindwa na serikali! Halafu leo ndo mtuambie within days waliweza kuwatambua waliokuwa wanafanya mauaji huko MKIRU na katu hawakufanya kosa kwa kuwahusisha wasio na hatia!
 
Ukiacha reference za jf,unauthibitisho upi kuwa kuhoji PhD ndiko kulikomfanya Ben apotee?
Wapi nimetoa JF as a reference? Nini kimekufanya udhani reference yangu ni JF wakati hata platform yenyewe aliyokuwa akiitumia kujadili haikuwa JF?!
 
Wapi nimetoa JF as a reference? Nini kimekufanya udhani reference yangu ni JF wakati hata platform yenyewe aliyokuwa akiitumia kujadili haikuwa JF?!
Basi tuyaache ya platform, vipi unaweza kuja na ushahidi wa madai yako?
 
UTANGULIZI
=======
Baada ya tukio la September 11 mwaka 2001, aliyekiwa director wa CIA kwa wakati huo aliitwa mbele ya bunge la marekani na kuhojiwa na bunge.

Moja kati ya maswali aliyoulizwa ni kuwa kuna uhusiano gani wa kiutendaji wa kazi kati ya idara ya ujasusi ya jeshi (Military Intelligence) na CIA katika kuzuia matukio ya uhalifu na kigaidi kutokea ndani ya marekani. CIA director alitoa jibu moja tu kwa kusema "that information is classified" baaaas hakuendelea tena. Not every aspect of state security should be clarified to politicians

MAONI YANGU BINAFSI KUHUSIANA NA SUALA LA KUCHUKUA WATU MATEKA WITH REFERENCE TO CHINA.
=============
Si kila mwenye uraia wa China ni mtu salama kwa maslahi mema na ustawi wa nchi hiyo.

Nchi ya China ina maadui wa ndani pamoja na nje wanaopanga mipango ya kuidhoofisha kila saa na kila dakika. Hivyo ni kazi ya vyombo vya dola kuwatambua na kuwadhoofisha kama sio kuwamaliza kabisa kabla hawajaleta madhara makubwa kwa wananchi na taifa kwa ujumla. Huyo mtu adui anaweza kuwa hata ni ndugu yangu mimi au ndugu yako wewe wa karibu lakini mimi na wewe tusiwajue ila wataalam wa mambo ya usalama wa nchi husika wakawajua mpaka njama zao.

Hivyo suala la watu kuchukuliwa mateka na kuhojiwa kwa nchi kama China ni kitu kisichoepukia kwa nchi kutaka kujilinda na kusonga mbele.

Hizo nchi mnazoziona zimeendelea na mnahisi zina viwango vya juu sana vya haki za binadamu na demokrasia kama Marekani, German, Uingereza na hata Japan zipo katika kiwango hicho cha maendeleo si kwa bahati mbaya. Hapana. Idara zao za usalama ni wakali sana. Unafikiri hawafanyiwi hujuma hao jamaa? Unafikiri serikali zao hazina vikosi za kuchukua mateka (abduction squads)??? Wanavyo. Tena wapo very sophisticated, equipped with modern weaponry and techniques.

Nchi ya China ina maadui wanaofanya kazi muda wote kutaka kuihujumu politically, economically hata socially pia (kueneza mienendo itakayoweza kupelekea mmomonyoko wa maadili hata kuua uzalendo miongoni mwa watanzania kama nyimbo za kuua uzalendo kwa vijana zinawezekana ni brainwashing song kwa vijana ili kuhujumu akili zao kwa manufaa ya baadae) na maadui hao wanaweza kuwa ni watu wenye uraia wa China (walio ndani na nje) ama wasio wa China (walio ndani na nje ya nchi) wanaotaka kuwatumia raia wa China kudhoofisha nchi yao pasipo wao raia kujua ama kwa kujua na kuwapa rushwa na wapo ndani pia nje ya nchi ya China.

Kwa hiyo issue ya abduction squads ipo hata marekani na uingereza na ni muhimu sana kwa nchi kujilinda, sembuse China.

Police hawapaswi kuwa wapole. Tofautisheni vituo vya police na nyumba za ibada. Police kuwa wakali inasaidia hata mtu akitaka kutenda kosa lazima awaze mara mbili mbili itakuwaje kama akipelekwa police hivyo ana ahirisha kutenda uhalifu.

Sipo JF kufurahisha. Nipo hapa kufafanua ninayoyajua akilini mwangu.

I STAND TO BE CORRECTED.

KIJANA KUWA MZALENDO, PENDA TANZANIA.
Wewe ni msemaji wa uchina?
Kwa hiyo china= tanzania?
Au mie ndio sikuelewi..!!
 
Wahalifu wengine wote wanashindwa kuwabaini lakini from nowhere, huko MKIRU wakaweza kuwabaini within few weeks if not days!!

Hata Zombe na wenzake walivyopeleka watu Magwepande na kuwamiminia risasi to death na wenyewe si walituambia hivyo hivyo... majambazi!
Pole sana ulitamani wasijulikane ili muendelee kuyaua yale mnayoyaita MaCCM..?[emoji18]
 
You don't believe that, do you?!

If you do, unaweza kutengeneza theory ya kwanini inawezekana awe amekimbia nchi au awe ametekwa na magaidi?!

Btw, huyo IGP alikuwa anaitaka taarifa ipi asiyoifahamu?! Ben Saanane wanahitaji watu wawape taarifa; what about Tundu aliyenusurika kuuawa ndani ya government compound inayolindwa na serikali wenyewe?!

Hapa napo wanahitaji mtu awapelekee taarifa wakati security system is within their control?!

Tell you what; nyie endeleeni tu kutetea udhalimu unaofanyika kwa sababu tu waathirika wa huo udhalimu sio nyinyi! But trust me, popote penye udhalimu; no one is safe!

Leo mtu anaweza kuwa kwenye system na akadhani yanayotokea hayawezi kumkuta lakini uzoefu unaonesha kwamba; udhalimu una silika ya kisasi!

Kama si kisasi hapa hapa duniani kama ilivyotokea kwa akina Sadam Hussein basi itakuwa kisasi cha jahanam kwa wale wanaoamini!
Na unaamini kisasi kwa sadam hussein bila shaka unaamini kisasi pia kwa Muamal Ghadafi.
Kisha wanaolipa hicho kisasi ni wamarekani na washirika wao kwa kisingizio cha demokrasi..!

Ama kweli yajayo yanafurahisha..
 
UTANGULIZI
=======
Baada ya tukio la September 11 mwaka 2001, aliyekiwa director wa CIA kwa wakati huo aliitwa mbele ya bunge la marekani na kuhojiwa na bunge.

Moja kati ya maswali aliyoulizwa ni kuwa kuna uhusiano gani wa kiutendaji wa kazi kati ya idara ya ujasusi ya jeshi (Military Intelligence) na CIA katika kuzuia matukio ya uhalifu na kigaidi kutokea ndani ya marekani. CIA director alitoa jibu moja tu kwa kusema "that information is classified" baaaas hakuendelea tena. Not every aspect of state security should be clarified to politicians

MAONI YANGU BINAFSI KUHUSIANA NA SUALA LA KUCHUKUA WATU MATEKA WITH REFERENCE TO CHINA.
=============
Si kila mwenye uraia wa China ni mtu salama kwa maslahi mema na ustawi wa nchi hiyo.

Nchi ya China ina maadui wa ndani pamoja na nje wanaopanga mipango ya kuidhoofisha kila saa na kila dakika. Hivyo ni kazi ya vyombo vya dola kuwatambua na kuwadhoofisha kama sio kuwamaliza kabisa kabla hawajaleta madhara makubwa kwa wananchi na taifa kwa ujumla. Huyo mtu adui anaweza kuwa hata ni ndugu yangu mimi au ndugu yako wewe wa karibu lakini mimi na wewe tusiwajue ila wataalam wa mambo ya usalama wa nchi husika wakawajua mpaka njama zao.

Hivyo suala la watu kuchukuliwa mateka na kuhojiwa kwa nchi kama China ni kitu kisichoepukia kwa nchi kutaka kujilinda na kusonga mbele.

Hizo nchi mnazoziona zimeendelea na mnahisi zina viwango vya juu sana vya haki za binadamu na demokrasia kama Marekani, German, Uingereza na hata Japan zipo katika kiwango hicho cha maendeleo si kwa bahati mbaya. Hapana. Idara zao za usalama ni wakali sana. Unafikiri hawafanyiwi hujuma hao jamaa? Unafikiri serikali zao hazina vikosi za kuchukua mateka (abduction squads)??? Wanavyo. Tena wapo very sophisticated, equipped with modern weaponry and techniques.

Nchi ya China ina maadui wanaofanya kazi muda wote kutaka kuihujumu politically, economically hata socially pia (kueneza mienendo itakayoweza kupelekea mmomonyoko wa maadili hata kuua uzalendo miongoni mwa watanzania kama nyimbo za kuua uzalendo kwa vijana zinawezekana ni brainwashing song kwa vijana ili kuhujumu akili zao kwa manufaa ya baadae) na maadui hao wanaweza kuwa ni watu wenye uraia wa China (walio ndani na nje) ama wasio wa China (walio ndani na nje ya nchi) wanaotaka kuwatumia raia wa China kudhoofisha nchi yao pasipo wao raia kujua ama kwa kujua na kuwapa rushwa na wapo ndani pia nje ya nchi ya China.

Kwa hiyo issue ya abduction squads ipo hata marekani na uingereza na ni muhimu sana kwa nchi kujilinda, sembuse China.

Police hawapaswi kuwa wapole. Tofautisheni vituo vya police na nyumba za ibada. Police kuwa wakali inasaidia hata mtu akitaka kutenda kosa lazima awaze mara mbili mbili itakuwaje kama akipelekwa police hivyo ana ahirisha kutenda uhalifu.

Sipo JF kufurahisha. Nipo hapa kufafanua ninayoyajua akilini mwangu.

I STAND TO BE CORRECTED.

KIJANA KUWA MZALENDO, PENDA TANZANIA.


KWA HALI HII CCM INACHOCHEA VITA VYA KIDINI

 
UTANGULIZI
=======
Baada ya tukio la September 11 mwaka 2001, aliyekiwa director wa CIA kwa wakati huo aliitwa mbele ya bunge la marekani na kuhojiwa na bunge.

Moja kati ya maswali aliyoulizwa ni kuwa kuna uhusiano gani wa kiutendaji wa kazi kati ya idara ya ujasusi ya jeshi (Military Intelligence) na CIA katika kuzuia matukio ya uhalifu na kigaidi kutokea ndani ya marekani. CIA director alitoa jibu moja tu kwa kusema "that information is classified" baaaas hakuendelea tena. Not every aspect of state security should be clarified to politicians

MAONI YANGU BINAFSI KUHUSIANA NA SUALA LA KUCHUKUA WATU MATEKA WITH REFERENCE TO CHINA.
=============
Si kila mwenye uraia wa China ni mtu salama kwa maslahi mema na ustawi wa nchi hiyo.

Nchi ya China ina maadui wa ndani pamoja na nje wanaopanga mipango ya kuidhoofisha kila saa na kila dakika. Hivyo ni kazi ya vyombo vya dola kuwatambua na kuwadhoofisha kama sio kuwamaliza kabisa kabla hawajaleta madhara makubwa kwa wananchi na taifa kwa ujumla. Huyo mtu adui anaweza kuwa hata ni ndugu yangu mimi au ndugu yako wewe wa karibu lakini mimi na wewe tusiwajue ila wataalam wa mambo ya usalama wa nchi husika wakawajua mpaka njama zao.

Hivyo suala la watu kuchukuliwa mateka na kuhojiwa kwa nchi kama China ni kitu kisichoepukia kwa nchi kutaka kujilinda na kusonga mbele.

Hizo nchi mnazoziona zimeendelea na mnahisi zina viwango vya juu sana vya haki za binadamu na demokrasia kama Marekani, German, Uingereza na hata Japan zipo katika kiwango hicho cha maendeleo si kwa bahati mbaya. Hapana. Idara zao za usalama ni wakali sana. Unafikiri hawafanyiwi hujuma hao jamaa? Unafikiri serikali zao hazina vikosi za kuchukua mateka (abduction squads)??? Wanavyo. Tena wapo very sophisticated, equipped with modern weaponry and techniques.

Nchi ya China ina maadui wanaofanya kazi muda wote kutaka kuihujumu politically, economically hata socially pia (kueneza mienendo itakayoweza kupelekea mmomonyoko wa maadili hata kuua uzalendo miongoni mwa watanzania kama nyimbo za kuua uzalendo kwa vijana zinawezekana ni brainwashing song kwa vijana ili kuhujumu akili zao kwa manufaa ya baadae) na maadui hao wanaweza kuwa ni watu wenye uraia wa China (walio ndani na nje) ama wasio wa China (walio ndani na nje ya nchi) wanaotaka kuwatumia raia wa China kudhoofisha nchi yao pasipo wao raia kujua ama kwa kujua na kuwapa rushwa na wapo ndani pia nje ya nchi ya China.

Kwa hiyo issue ya abduction squads ipo hata marekani na uingereza na ni muhimu sana kwa nchi kujilinda, sembuse China.

Police hawapaswi kuwa wapole. Tofautisheni vituo vya police na nyumba za ibada. Police kuwa wakali inasaidia hata mtu akitaka kutenda kosa lazima awaze mara mbili mbili itakuwaje kama akipelekwa police hivyo ana ahirisha kutenda uhalifu.

Sipo JF kufurahisha. Nipo hapa kufafanua ninayoyajua akilini mwangu.

I STAND TO BE CORRECTED.

KIJANA KUWA MZALENDO, PENDA TANZANIA.
Usalama wa raifa wa Africa huwezi fananisha na wa Marekani hata kidogo. Wale hawafanyi kazi ya mtu fulani au chama fulani. Wale wanafanya kazi za taifa. Hebu fikiria usalama wa taifa wa Iddi Amin, Mengisto haile Mariam, Samwel Doe, Mobuto seseko, Charles Toylor, Omar Al Bashir nk.
Usichanganye mamvo hayo
 
Na unaamini kisasi kwa sadam hussein bila shaka unaamini kisasi pia kwa Muamal Ghadafi.
Kisha wanaolipa hicho kisasi ni wamarekani na washirika wao kwa kisingizio cha demokrasi..!

Ama kweli yajayo yanafurahisha..
Haijalishi kisasi hicho kitatokea wapi lakini kilicho dhahiri ni kwamba; udhalimu una silika ya kisasi!!

Hapakuhitajika Wamarekani ili silika ya kisasi dhidi ya udhalimu kuwarudia Samuel Doe, Foday Sankoh, Mohammed Farrah Aidid na wengineo!

Wala Tanzania hatukuhitaji Mmarekani kuhitimisha udhalimu wa Idd Amin!!
 
Kwahiyo kupiga watu risasi na kuwaua bila kuthibitisha kwamba wanahusika ndo amani hiyo?!

Hongera kwa kuwa mfuasi mtiifu ambayo baada ya kushindwa kupambana na rushwa imegeuka kuwa ya kufanya mauaji bila kuthibitisha hatia!

Binafsi ningejisikia aibu kuwa mfuasi kindakikindaki wa serikali "iliyochaguliwa" huku ikitekeleza hukumu zake sawa na wanavyofanya Magaidi hatari duniani!

Hata Beberu Kuu Marekani, huwa anakamata Magaidi hatari kabisa, kuwahoji na kuwapeleka Guantanamo ili mradi tu wajiridhishe ikiwa wanahusika na tuhuma tajwa!

Tena basi wanafanya haya kwa watu ambao majority wala sio raia wake!

Na hata walio raia wake; majority wala sio raia wa asili but still they wanafahamu huwezi kukamata mtu na kummiminia mvua ya risasi simply because taarifa za kiusalama zilimtilia shaka mhusika au mhusika alitajwa!!

Na ndio maana haikushangaza kuona kwamba miongoni mwa waliotajwa hawakuwa na hatia na hivyo kuachiliwa huru!

Kinyume chake leo tuna serikali ambayo mtu kutajwa tu inatosha kupewa hukumu ya kifo bila hata ya kufanya intensive investigation!!

Mungu awalaani wote wanaotetea ushenzi na udhalimu kama huu kwa sababu yoyote ile!

Wananchi wanalipa kodi ili majeshi yetu yaweze kulipwa mishahara ili hatimae watumie weledi wao kuhakikisha haki inatendeka!

Unapokuwa na majeshi yanayofanya kazi kwa staili ile ile inayofanywa na Magaidi then hapawezi kuwa na tofauti kati ya Magaidi na askari wanaolipwa ili kulinda Wananchi!!

Kwa hakika nchi inahitaji maombi!
Very sad, halafu unafanya haya kwa raia wako.
 
Mawazo ya hovyo kabisa haya!

Yaani watu kama akina Ben Saanane hawajulikani walipo kwa takribani miezi 18 sasa; wewe unataka kuaminisha watu kwamba mambo kama hayo yanatokea kwa ajili ya usalama wa taifa?!

Mwandishi wa Mwananchi nae unaenda mwezi wa 4 sasa with unknown whereabouts; halafu unataka kuaminisha watu kwamba, hayo hayapaswi kuhojiwa kwa ajili ya usalama wa taifa!!

Kwa mfano, unaweza kueleza ni aina ipi ya security threat iliyosabishwa na mtu kama Ben Saanane kwa kuhoji PhD ya Mkuu wa nchi?!

Ikiwa Waandishi wa Habari wanaruhusiwa kwenda hadi uwanja wa vita kuripoti vita; ni hatari ipi ya kiusalama ambayo ingesababishwa na Ripota wa Mwananchi kwa kutaka kufuatilia kilichokuwa kinaendelea Kibiti?!

By the way, kila mmoja anafahamu Magaidi wakubwa kabisa waliokuwa wanahatarisha usalama wa Marekani walikuwa wanakamatwa na kupelekwa Guantanamo!

Unaweza kutueleza hapa hao wahatarishaji wakubwa wa usalama wa Tanzania wamezuiwa gereza lipi kwa miezi yote hii?!

Btw, hivi unafahamu tofauti kati ya kulinda taarifa za siri za kiusalama (classified info) na kuficha maovu yaliyofanywa na watu walio kwenye system?

All in all, yote yana mwisho haya na endeleeni kutetea udhalimu kwavile hayajawakuta!

Na uzuri ni kwamba, majority ya watetezi wa udhalimu unaoendelea wala hampo kwenye inner circle, na kwa maana nyingine; hata nyie hampo salama!!

Ikiwa hata Nape ameshawahi kutolewa bastola hadharani; seuze nyie ambao wengine hata kula yenu ni shida!!

Wengine mkikesha kuangalia filamu na tathimlia za kivita na kijasusi kutoka Hollywood, mnadhani tayari ndo mmeshakuwa wataalamu na wachambuzi wa masuala ya kijeshi na kijasusi!
Mawazo ya hovyo kabisa
Wenzenu ktk Chama wanajua kinachoendelea nyie Kazi yenu kupiga kelele mitandaoni hivi wewe unajua zaidi kuliko Mbowe na Kubenea?
FB_IMG_1525691346227.jpg
 
Hapa hatuzungumzii jinsi walivyopambana nao bali tunazungumzia jinsi walivyo-handle Watuhumiwa!

Btw, ni FBI na CIA gani unaowazungumzia wewe?!

Inapotokea issue kama ya MKIRU, Marekani watatuma military task force kwa lengo la kuwakamata Watuhumiwa!!

Task force itaua Watuhumiwa only if necessary.

Watuhumiwa wakikamatwa watapelekwa kwenye detention facilities for interrogation!

Kama assault imefanyika ndani ya US na Watuhumiwa hawakutoa ushirikiano, watawahamishia kwenye Black Site nje ya US.

Kila mmoja anafahamu kwamba the "most dangerous" terrorist suspects walikuwa wanapelekwa Gitmo Military Detention Facility!
Mkuu umeandika m
Hao ndio Wamarekani unaowatolea mfano... sisi hao wa kwetu wanapelekwa wapi?!

Suala la Gitmo halikuwa siri though walikuwa na uwezo wa kuwa-detain kwenye unlocated military facility let alone shooting them at first sight!

And look! Takribani 200 Detainees, including Tipton Three (Ruhal Ahmed, Asif Iqbal & Shafiq Rasul) baadae waliachiwa huru baada ya kuonekana hawahusiki!

What if kingefanyika kile kinachohisiwa kufanywa huko MKIRU dhidi ya Watuhumiwa?!

Si hivyo tu! Hata wale wengine walioonekana kuhusika bado waliendelea kuwa detained na hakikufanyika kile kinachohisiwa kufanyika MKIRU!

But look again!! In 2011 Wiki leaks walivujusha classified files kuhusu Gitmo Detainees zilizoonesha kuna Detainees wengine zaidi ya 150 iliosemekana walikuwa innocent!!

For more info, Google "2011 Gitmo Files". Hata The New York Times waliandika hii habari!

Unadhani wote hao walikamatwa kwa bahati mbaya?! It's obvious wengine walitajwa!

But look again! What if kama ingekuwa kimefanyika kile kinachohisiwa kufanyika MKIRU?

Sasa hao FBI & CIA unaowalinganisha na MKIRU ni FBI & CIA wa wapi hao?! Au kupitia operesheni yao ipi?
Mkuu chige, umeandika mengi lakini usitegemee hao maharamia wenye kuwa na lengo la kuua au kukata vichwa vya watu wakakamatwa na kuhojiwa kwa upendo kama vile maharusi wanavyoingia ukumbini.

Haramia ni mshenzi tu, hivyo kushughulika nae sio vibaya zikatumika mbinu za kishenzi. Maharamia walikata vichwa vya wanafunzi wa kule Gharissa, wasichana wamesaafiri kwenda mji mwingine kwa nia ya kutafuta elimu wanachinjwa kinyama kabisa!!.

Halafu hao mapunguani wanaowachinja wanafunzi eti wakamatwe kistaarabu, No way my friend.
 
UTANGULIZI
=======
Baada ya tukio la September 11 mwaka 2001, aliyekiwa director wa CIA kwa wakati huo aliitwa mbele ya bunge la marekani na kuhojiwa na bunge.

Moja kati ya maswali aliyoulizwa ni kuwa kuna uhusiano gani wa kiutendaji wa kazi kati ya idara ya ujasusi ya jeshi (Military Intelligence) na CIA katika kuzuia matukio ya uhalifu na kigaidi kutokea ndani ya marekani. CIA director alitoa jibu moja tu kwa kusema "that information is classified" baaaas hakuendelea tena. Not every aspect of state security should be clarified to politicians

MAONI YANGU BINAFSI KUHUSIANA NA SUALA LA KUCHUKUA WATU MATEKA WITH REFERENCE TO CHINA.
=============
Si kila mwenye uraia wa China ni mtu salama kwa maslahi mema na ustawi wa nchi hiyo.

Nchi ya China ina maadui wa ndani pamoja na nje wanaopanga mipango ya kuidhoofisha kila saa na kila dakika. Hivyo ni kazi ya vyombo vya dola kuwatambua na kuwadhoofisha kama sio kuwamaliza kabisa kabla hawajaleta madhara makubwa kwa wananchi na taifa kwa ujumla. Huyo mtu adui anaweza kuwa hata ni ndugu yangu mimi au ndugu yako wewe wa karibu lakini mimi na wewe tusiwajue ila wataalam wa mambo ya usalama wa nchi husika wakawajua mpaka njama zao.

Hivyo suala la watu kuchukuliwa mateka na kuhojiwa kwa nchi kama China ni kitu kisichoepukia kwa nchi kutaka kujilinda na kusonga mbele.

Hizo nchi mnazoziona zimeendelea na mnahisi zina viwango vya juu sana vya haki za binadamu na demokrasia kama Marekani, German, Uingereza na hata Japan zipo katika kiwango hicho cha maendeleo si kwa bahati mbaya. Hapana. Idara zao za usalama ni wakali sana. Unafikiri hawafanyiwi hujuma hao jamaa? Unafikiri serikali zao hazina vikosi za kuchukua mateka (abduction squads)??? Wanavyo. Tena wapo very sophisticated, equipped with modern weaponry and techniques.

Nchi ya China ina maadui wanaofanya kazi muda wote kutaka kuihujumu politically, economically hata socially pia (kueneza mienendo itakayoweza kupelekea mmomonyoko wa maadili hata kuua uzalendo miongoni mwa watanzania kama nyimbo za kuua uzalendo kwa vijana zinawezekana ni brainwashing song kwa vijana ili kuhujumu akili zao kwa manufaa ya baadae) na maadui hao wanaweza kuwa ni watu wenye uraia wa China (walio ndani na nje) ama wasio wa China (walio ndani na nje ya nchi) wanaotaka kuwatumia raia wa China kudhoofisha nchi yao pasipo wao raia kujua ama kwa kujua na kuwapa rushwa na wapo ndani pia nje ya nchi ya China.

Kwa hiyo issue ya abduction squads ipo hata marekani na uingereza na ni muhimu sana kwa nchi kujilinda, sembuse China.

Police hawapaswi kuwa wapole. Tofautisheni vituo vya police na nyumba za ibada. Police kuwa wakali inasaidia hata mtu akitaka kutenda kosa lazima awaze mara mbili mbili itakuwaje kama akipelekwa police hivyo ana ahirisha kutenda uhalifu.

Sipo JF kufurahisha. Nipo hapa kufafanua ninayoyajua akilini mwangu.

I STAND TO BE CORRECTED.

KIJANA KUWA MZALENDO, PENDA TANZANIA.
Huu ujinga huu, kwa hiyo mtu akipotea tusihoji? Au akiuawa tusihoji? Yan polisi wamemuua Akwilina, au wamemchoma ndugu wa mbunge wa upinzani kisu hadi wakamwua, au wamemshambulia mbunge wa upinzani kwa kutumia silaha za kivita tukae kimya tu tusihoji? Tutakuwa taifa la wajinga sana ambalo ni wazi Magufuli ndo analitaka!
 
Back
Top Bottom