Wabunge wa Tanzania wajue sio kila jambo linalohusu usalama wa nchi ni la kutolewa ufafanuzi kwa wanasiasa

Wabunge wa Tanzania wajue sio kila jambo linalohusu usalama wa nchi ni la kutolewa ufafanuzi kwa wanasiasa

View attachment 1595058

Sio kila jambo linalohusu usalama wa nchi ni la kutolewa ufafanuzi kwa wanasiasa. Not every aspect of state security should be clarified to politicians.

UTANGULIZI

==========
Baada ya tukio la kigaidi la September 11 mwaka 2001, aliyekuwa director wa Central Intelligence Agency (CIA) kwa wakati huo aliitwa mbele ya bunge la marekani na kuhojiwa kuhusiana na masuala yahusuyo ulinzi na usalama wa taifa hilo.

Moja kati ya maswali mengi aliyoulizwa ni kuwa kuna uhusiano gani wa kiutendaji wa kazi kati ya idara ya ujasusi ya jeshi (Military Intelligence Wing), FBI pamoja na CIA katika kuzuia matukio ya uhalifu na kigaidi kutokea ndani ya ardhi ya marekani.

View attachment 1595059

Director wa CIA hakutoa ufafanuzi wowote ule zaidi ya kutoa jibu moja tu kwa kusema "that information is classified" baaaas hakuendelea tena, which means not every aspect of state security should be clarified to politicians

MAONI YANGU BINAFSI KUHUSIANA NA SUALA ZIMA LA KUWACHUKUA MATEKA WATU WABAYA (WITH REFERENCE TO CHINA)

Si kila mwenye uraia wa China ni mtu salama kwa maslahi mema na ustawi wa nchi hiyo.

Nchi ya China ina maadui wa ndani pamoja na nje wanaopanga mipango ya kuidhoofisha kila saa na kila dakika. Hivyo ni kazi ya vyombo vya dola kuwatambua na kuwadhoofisha kama sio kuwamaliza kabisa kabla hawajaleta madhara makubwa kwa wananchi na taifa kwa ujumla.

Huyo mtu adui anaweza kuwa hata ni ndugu yangu mimi au ndugu yako wewe wa karibu lakini mimi na wewe tusiwajue ila wataalam wa mambo ya usalama wa nchi husika wakawajua mpaka njama zao.

Hivyo suala la watu kuchukuliwa mateka na kuhojiwa kwa nchi kama China ni kitu kisichoepukia kwa nchi kutaka kujilinda na kusonga mbele.

Hizo nchi mnazoziona zimeendelea na mnahisi zina viwango vya juu sana vya haki za binadamu na demokrasia kama Marekani, German, Uingereza na hata Japan zipo katika kiwango hicho cha maendeleo si kwa bahati mbaya. Hapana. Idara zao za usalama ni wakali sana.

Unafikiri hawafanyiwi hujuma hao jamaa? Unafikiri serikali zao hazina vikosi za kuchukua mateka (abduction squads)??? Wanavyo. Tena wapo very sophisticated, equipped with modern weaponry and techniques.

Nchi ya China ina maadui wanaofanya kazi muda wote kutaka kuihujumu politically, economically hata socially pia (kueneza mienendo itakayoweza kupelekea mmomonyoko wa maadili hata kuua uzalendo miongoni mwa wachina kama nyimbo za kuua uzalendo kwa vijana zinawezekana ni brainwashing song kwa vijana ili kuhujumu akili zao kwa manufaa ya baadae) na maadui hao wanaweza kuwa ni watu wenye uraia wa China (walio ndani na nje) ama wasio wa China (walio ndani na nje ya nchi) wanaotaka kuwatumia raia wa China kudhoofisha nchi yao pasipo wao raia kujua ama kwa kujua na kuwapa rushwa na wapo ndani pia nje ya nchi ya China.

Kwa hiyo issue ya abduction squads ipo hata marekani na uingereza na ni muhimu sana kwa nchi kujilinda, sembuse China.

Alafu kuhusiana na Police ni kwamba, hawa jamaa hawapaswi kuwa wapole. Tofautisheni kati ya vituo vya police na nyumba za ibada.

Police kuwa wakali sana inasaidia hata mtu akitaka kutenda kosa kama vile ulawiti lazima awaze mara mbili mbili itakuwaje kama akipelekwa police akakutana na wale jamaa wa stakishari au Oysterbay, hivyo ana ahirisha mara moja kutenda uhalifu.

ANGALIZO: Sipo JF kufurahisha. Nipo hapa kufafanua ninayoyajua akilini mwangu.

I STAND TO BE CORRECTED. NINAKARIBISHA WAKOSOAJI.

OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO
Sawa Infantry Soldier ❗Tunapotafakari nchi kama Tanzania tunapaswa kufanya kazi kubwa kuliko China kuhakikisha usalama na ulinzi ili kupata mafanikio makubwa kwa nchi yetu katika mambo yote dhidi ya maadui zetu wasiotutakia mema walio ndani na nje ya Tanzanai.
 
Sawa Infantry Soldier ❗Tunapotafakari nchi kama Tanzania tunapaswa kufanya kazi kubwa kuliko China kuhakikisha usalama na ulinzi ili kupata mafanikio makubwa kwa nchi yetu katika mambo yote dhidi ya maadui zetu wasiotutakia mema walio ndani na nje ya Tanzanai.
Hakika mkuu. Tena maadui walio ndani na wenye uraia wa Tanzania wanaweza kuwa ni wengi mnoo kuzidi hata wenye uraia wa nchi za kigeni.
 
View attachment 1595058

Sio kila jambo linalohusu usalama wa nchi ni la kutolewa ufafanuzi kwa wanasiasa. Not every aspect of state security should be clarified to politicians.

UTANGULIZI

==========
Baada ya tukio la kigaidi la September 11 mwaka 2001, aliyekuwa director wa Central Intelligence Agency (CIA) kwa wakati huo aliitwa mbele ya bunge la marekani na kuhojiwa kuhusiana na masuala yahusuyo ulinzi na usalama wa taifa hilo.

Moja kati ya maswali mengi aliyoulizwa ni kuwa kuna uhusiano gani wa kiutendaji wa kazi kati ya idara ya ujasusi ya jeshi (Military Intelligence Wing), FBI pamoja na CIA katika kuzuia matukio ya uhalifu na kigaidi kutokea ndani ya ardhi ya marekani.

View attachment 1595059

Director wa CIA hakutoa ufafanuzi wowote ule zaidi ya kutoa jibu moja tu kwa kusema "that information is classified" baaaas hakuendelea tena, which means not every aspect of state security should be clarified to politicians

MAONI YANGU BINAFSI KUHUSIANA NA SUALA ZIMA LA KUWACHUKUA MATEKA WATU WABAYA (WITH REFERENCE TO CHINA)

Si kila mwenye uraia wa China ni mtu salama kwa maslahi mema na ustawi wa nchi hiyo.

Nchi ya China ina maadui wa ndani pamoja na nje wanaopanga mipango ya kuidhoofisha kila saa na kila dakika. Hivyo ni kazi ya vyombo vya dola kuwatambua na kuwadhoofisha kama sio kuwamaliza kabisa kabla hawajaleta madhara makubwa kwa wananchi na taifa kwa ujumla.

Huyo mtu adui anaweza kuwa hata ni ndugu yangu mimi au ndugu yako wewe wa karibu lakini mimi na wewe tusiwajue ila wataalam wa mambo ya usalama wa nchi husika wakawajua mpaka njama zao.

Hivyo suala la watu kuchukuliwa mateka na kuhojiwa kwa nchi kama China ni kitu kisichoepukia kwa nchi kutaka kujilinda na kusonga mbele.

Hizo nchi mnazoziona zimeendelea na mnahisi zina viwango vya juu sana vya haki za binadamu na demokrasia kama Marekani, German, Uingereza na hata Japan zipo katika kiwango hicho cha maendeleo si kwa bahati mbaya. Hapana. Idara zao za usalama ni wakali sana.

Unafikiri hawafanyiwi hujuma hao jamaa? Unafikiri serikali zao hazina vikosi za kuchukua mateka (abduction squads)??? Wanavyo. Tena wapo very sophisticated, equipped with modern weaponry and techniques.

Nchi ya China ina maadui wanaofanya kazi muda wote kutaka kuihujumu politically, economically hata socially pia (kueneza mienendo itakayoweza kupelekea mmomonyoko wa maadili hata kuua uzalendo miongoni mwa wachina kama nyimbo za kuua uzalendo kwa vijana zinawezekana ni brainwashing song kwa vijana ili kuhujumu akili zao kwa manufaa ya baadae) na maadui hao wanaweza kuwa ni watu wenye uraia wa China (walio ndani na nje) ama wasio wa China (walio ndani na nje ya nchi) wanaotaka kuwatumia raia wa China kudhoofisha nchi yao pasipo wao raia kujua ama kwa kujua na kuwapa rushwa na wapo ndani pia nje ya nchi ya China.

Kwa hiyo issue ya abduction squads ipo hata marekani na uingereza na ni muhimu sana kwa nchi kujilinda, sembuse China.

Alafu kuhusiana na Police ni kwamba, hawa jamaa hawapaswi kuwa wapole. Tofautisheni kati ya vituo vya police na nyumba za ibada.

Police kuwa wakali sana inasaidia hata mtu akitaka kutenda kosa kama vile ulawiti lazima awaze mara mbili mbili itakuwaje kama akipelekwa police akakutana na wale jamaa wa stakishari au Oysterbay, hivyo ana ahirisha mara moja kutenda uhalifu.

ANGALIZO: Sipo JF kufurahisha. Nipo hapa kufafanua ninayoyajua akilini mwangu.

I STAND TO BE CORRECTED. NINAKARIBISHA WAKOSOAJI.

OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO
Pamoja na yote LAZIMA actions zote kiusalama ziwe accountable to the people au wawakilishi wao.
Otherwise tutatengeneza a monster linalokula watu wake.
Suala in mind ni wasiojulikana.
 
Pamoja na yote LAZIMA actions zote kiusalama ziwe accountable to the people au wawakilishi wao.
Otherwise tutatengeneza a monster linalokula watu wake.
Suala in mind ni wasiojulikana.
Tatizo lenu CHADEMA mnataka kujua hata yasiyowahusu. Mwambie Lissu kwanza arejee kutoka Ubelgiji kwa maana yale ni matumizi mabaya ya ruzuku za chama.
 
Tatizo lenu CHADEMA mnataka kujua hata yasiyowahusu. Mwambie Lissu kwanza arejee kutoka Ubelgiji kwa maana yale ni matumizi mabaya ya ruzuku za chama.
Mkuu mimi si chadema kama unavyofikiri.
Nimelelewa vizuri na chama kutumia akili ya uzalendo na kuwa nchi ni ya wakulima na wafanyakazi.
Tatizo lenu vijana mnafikiri you are an end into itself, ndio maana kama mko kama Sabaya , mambo yanapobadilika msivyotazamia mnalia hadi kamasi hadharani kwa kutoamini kuwa chochote chini ya nchi ni dhamana tu.
Na dhamana hiyo ni kuaminiwa na wananchi.
 
Ni kweli mkuu huwezi tangaza mambo yako hadharani, but to only a select few technocrats wenye dmamana hiyo.
Mkuu, kwa mfano wabunge wa jiji la Dar wanaweza kuomba kujua "Police Informers" wa jiji zima kwa maana wanalipwa kupitia kodi za watanzania. Je, hii ni sahihi kwa waziri wa mambo ya ndani kutoa majina yao?
 
Mkuu, kwa mfano wabunge wa jiji la Dar wanaweza kuomba kujua "Police Informers" wa jiji zima kwa maana wanalipwa kupitia kodi za watanzania. Je, hii ni sahihi kwa waziri wa mambo ya ndani kutoa majina yao?
Ha ha ha!
Hiyo ni kama kumwaga senene kati ya kundi la kunguru.
Kwa mfano hai, Operation kama za MKIRU, people care on the end result.
Amani ya nchi kudumishwa na hakuna bla bla hapo.

Hilo halijadiliwi kama maongezi kwenye vikao vya kahawa.
Na najua wazi kuwa wanasiasa wenye dhamana ya usalama wa nchi wali okay operations dhidi ya vikundi vinavyotaka kuangamiza taifa.
 
Ha ha ha!
Hiyo ni kama kumwaga senene kati ya kundi la kunguru.
Kwa mfano hai, Operation kama za MKIRU, people care on the end result.
Amani ya nchi kudumishwa na hakuna bla bla hapo.

Hilo halijadiliwi kama maongezi kwenye vikao vya kahawa.
Na najua wazi kuwa wanasiasa wenye dhamana ya usalama wa nchi wali okay operations dhidi ya vikundi vinavyotaka kuangamiza taifa.
Safi sana mkuu. Bila shaka sasa umeelewa logic yangu.
 
Mkuu, kwa mfano wabunge wa jiji la Dar wanaweza kuomba kujua "Police Informers" wa jiji zima kwa maana wanalipwa kupitia kodi za watanzania. Je, hii ni sahihi kwa waziri wa mambo ya ndani kutoa majina yao?
Kutoa majina ya informers? Hii ni ngumu sana mkuu
 
Back
Top Bottom