Wabunge wa Tanzania wajue sio kila jambo linalohusu usalama wa nchi ni la kutolewa ufafanuzi kwa wanasiasa

Wabunge wa Tanzania wajue sio kila jambo linalohusu usalama wa nchi ni la kutolewa ufafanuzi kwa wanasiasa

kwamfano wanasiasa waliopigwa risasi/kupotezwa walikua na madhara gani kwa taifampaka watekwe au kushambuliwa?
mtu kusema tutashitakiwa kufuatia uvunjifu wa mikataba hovyo na mwingine kusema ana 'phd feki' ni makosa yanayo hatarisha amani ya taifa?
Ungejiuliza kwanza why hao wanasiasa watekwe na wewe upo tu huru humu unapiga soga tu.

Kwa kusema ukweli, Kila siku huwa naiombea serikali iendelee kuwapiga pin wale wahuni/ msheikh wa umsho huko lupango.
 
Back
Top Bottom