johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kwa Kawaida Mtu aliyeelimika na anayejua Katiba ni nini hawezi kususia Mjadala wa Kibunge wa kutengeneza Katiba.
Mtu aliyeelimika ataelewa wazi Ukishapokea posho unaposusia Vikao ni lazima uwarejeshee Walipa kodi Fedha zao vinginevyo wewe ni mwizi unayepaswa kushtakiwa.
Mtu aliyeelimika ataelewa wazi kabisa kwamba Katiba ni maisha hivyo ataipigania kwa Jasho na Damu badala ya Kususa au Kuzira na kumpa Faida adui "Ukisusa siye twala"
Wananchi waelimishwe kwa hiyo miaka 3 ila Wabunge kama akina Babu Tale wakae darasani miaka 7 dadeki 😂
Mungu wa mbinguni awabariki!
Mtu aliyeelimika ataelewa wazi Ukishapokea posho unaposusia Vikao ni lazima uwarejeshee Walipa kodi Fedha zao vinginevyo wewe ni mwizi unayepaswa kushtakiwa.
Mtu aliyeelimika ataelewa wazi kabisa kwamba Katiba ni maisha hivyo ataipigania kwa Jasho na Damu badala ya Kususa au Kuzira na kumpa Faida adui "Ukisusa siye twala"
Wananchi waelimishwe kwa hiyo miaka 3 ila Wabunge kama akina Babu Tale wakae darasani miaka 7 dadeki 😂
Mungu wa mbinguni awabariki!