Wabunge wacharuka! - Uwekezaji siyo kuuza nchi

Wabunge wacharuka! - Uwekezaji siyo kuuza nchi

Nadhani watu hapa inabidi warudi wajifunze nguvu ya Bunge. Bunge la Marekani si sawa na Bunge la Uingereza. Ni mifumo miwili tofauti na utendaji kazi wa Seneti si sawa na wa Bunge wetu. Naomba mpitie sheria ya Haki na Madaraka ya Bunge ili kuondoa ubishi hapa na ili mjue nani yuko sawa au kama wote kwa namna zenu mko sawa au mmepotoka.
 
Nadhani watu hapa inabidi warudi wajifunze nguvu ya Bunge. Bunge la Marekani si sawa na Bunge la Uingereza. Ni mifumo miwili tofauti na utendaji kazi wa Seneti si sawa na wa Bunge wetu. Naomba mpitie sheria ya Haki na Madaraka ya Bunge ili kuondoa ubishi hapa na ili mjue nani yuko sawa au kama wote kwa namna zenu mko sawa au mmepotoka.

Mkuu! Kwa nini usiturahisishie na kutueleza tu kuwa hiyo sheria inasema nini kwa kifupi? Kama hiyo sheria inawaruhusu hao waheshimiwa kuingia popote watakapo kwa kisingizio kuwa wanafuatilia mambo, itakuwa kazi! Kwa nini hatukuwasikia Mikumi Wildlife Lodge, Savoy Hotel Morogoro, KNCU Hotel, Tabora Railway Hotel, Kigoma Railway Hotel, Musoma Railway Hotel, Mafia Wildlife Lodge, Kilimanjaro Hotel wakati zikiwa katika matatizo? Leo imekuwa nongwa kwa sababu ni mgeni anayehusika? Kwenye hoteli aliyojenga kwa pesa zake na si mkopo wa serikali yetu? Halafu tunaandaa tamasha kubwa kuwakaribisha hao hao waje kuwekeza nchini mwetu wakati wale waliokuweko hatuwapi heshima wanayostahili! Maji tumeyavulia nguo, inabidi tuyaoge. Huu ni mfumo tuliouchagua na haki ya mtu binafsi ni mwiko mkubwa! Kama hiyo sheria unayoizungumzia, Mkuu, inawapa haki hawa jamaa kuwa demi-gods, basi hii nchi inaelekea kubaya!
 

Kokolo, Kokolo! Unafananisha rendition ya C.I.A na mradi binafsi? Hilo ni shirika la umma na bunge lina kila haki ya kutaka kujua kulikoni! Na hata hapo huwasikii wakienda Langley, Virginia kuulizia. Watawaambia walete makabrasha yote yanayohusika na rendition programme na pale panapohitajika wataitwa wahusika SENATE kuhojiwa!

Makanisa kama Non-profit organisations zingine wanapewa upendeleo katika kodi na serikali kwa vile yapo kwa ajili ya jamii. Wanapokiuka hili lengo la kutumikia jamii nao wanaitwa kuulizwa kulikoni. Yale mashirika uliyoyataja na yenyewe ni Publi Companies ambamo wananchi wengi wanahusika kama shareholders. Wabunge kuyahoji ni katika kulinda maslahi ya shareholders hawa. Mashirika haya yanawajibika kisheria kuweka hesabu zao katika public domain. Mashirika binafsi hayalazimiki. Na kwa vile wenye mali ni wachache, bunge ni adimu kuwaingilia unless itakapoonekana kuwa matendo yao yanaathiri maslahi ya wananchi na vyombo husika vimefungia macho. Hapo tena watawaita wao na vyombo vinavyopaswa kuwasimamia kuuliza kulikoni? Si kwenda kwao kula per diem! Uelewe kwa wenzetu hata kiasi cha lunch ya bure kinaangaliwa kwa makini! Wangapi wako matatizoni kwa kupewa lifti ya ndege, tiketi za mechi ya baseball n.k? Hawa wabunge walikosea. Hawastahili sympathy.
 
Mkuu! Kwa nini usiturahisishie na kutueleza tu kuwa hiyo sheria inasema nini kwa kifupi? Kama hiyo sheria inawaruhusu hao waheshimiwa kuingia popote watakapo kwa kisingizio kuwa wanafuatilia mambo, itakuwa kazi! Kwa nini hatukuwasikia Mikumi Wildlife Lodge, Savoy Hotel Morogoro, KNCU Hotel, Tabora Railway Hotel, Kigoma Railway Hotel, Musoma Railway Hotel, Mafia Wildlife Lodge, Kilimanjaro Hotel wakati zikiwa katika matatizo? Leo imekuwa nongwa kwa sababu ni mgeni anayehusika? Kwenye hoteli aliyojenga kwa pesa zake na si mkopo wa serikali yetu? Halafu tunaandaa tamasha kubwa kuwakaribisha hao hao waje kuwekeza nchini mwetu wakati wale waliokuweko hatuwapi heshima wanayostahili! Maji tumeyavulia nguo, inabidi tuyaoge. Huu ni mfumo tuliouchagua na haki ya mtu binafsi ni mwiko mkubwa! Kama hiyo sheria unayoizungumzia, Mkuu, inawapa haki hawa jamaa kuwa demi-gods, basi hii nchi inaelekea kubaya!



Ilinibidi nitafute kuwajua wajumbe wa kamati hii ya bunge ili niweze kujiridhisha na kilichotokea; na nimeridhika kabisa kwamba tuna safari ndefu bado.
 
Mkuu! Kwa nini usiturahisishie na kutueleza tu kuwa hiyo sheria inasema nini kwa kifupi? Kama hiyo sheria inawaruhusu hao waheshimiwa kuingia popote watakapo kwa kisingizio kuwa wanafuatilia mambo, itakuwa kazi! Kwa nini hatukuwasikia Mikumi Wildlife Lodge, Savoy Hotel Morogoro, KNCU Hotel, Tabora Railway Hotel, Kigoma Railway Hotel, Musoma Railway Hotel, Mafia Wildlife Lodge, Kilimanjaro Hotel wakati zikiwa katika matatizo? Leo imekuwa nongwa kwa sababu ni mgeni anayehusika? Kwenye hoteli aliyojenga kwa pesa zake na si mkopo wa serikali yetu? Halafu tunaandaa tamasha kubwa kuwakaribisha hao hao waje kuwekeza nchini mwetu wakati wale waliokuweko hatuwapi heshima wanayostahili! Maji tumeyavulia nguo, inabidi tuyaoge. Huu ni mfumo tuliouchagua na haki ya mtu binafsi ni mwiko mkubwa! Kama hiyo sheria unayoizungumzia, Mkuu, inawapa haki hawa jamaa kuwa demi-gods, basi hii nchi inaelekea kubaya!


fundi nimewatajia hata jina la sheria yenyewe.. sasa mtu mwingine afanye hiyo homework...
 
Back
Top Bottom