Wabunge wakemee kwa nguvu zote kigezo cha kujiunga na majeshi kwa sharti la kupitia JKT

Wabunge wakemee kwa nguvu zote kigezo cha kujiunga na majeshi kwa sharti la kupitia JKT

BANDOKITITA

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2022
Posts
1,484
Reaction score
2,852
Kuna kitu hakiko sawa katika ajira za Tanzania hasa kwenye upande wa ajira za majeshi.

Hivi walioweka kigezo cha mtu ili apate nafasi ya Uhamiaji, JWTZ, Police, Magereza, na Fire eti lazima awe amepitia JKT waliwaza nini na kwa manufaa ya nani?

Kama tujuavyo siyo kila mtu au mhitimu yeyote anaweza kupata nafasi ya kujiunga na JKT. Mfano, siyo wahitimu wote wanao hitimu kidato cha VI huchaguliwa kujiunga na JKT kwa mjibu wa sheria. Hata wale wahitimu wa darasa la VII na kidato cha IV siyo wote wanaojiunga na JKT kwa hiari.

Sasa inakuwaje kigezo hiki kinatumika kama namba 2 baada ya umri kama kigezo muhimu kuliko vyote. Je, hii Iko sawa? Ni nani aliepitisha huu utaratibu.

Kigezo hiki kimekuwa chanzo cha vijana wengi kushindwa kutimiza ndoto zao katika kulitumikia Taifa lao upande wa majeshi kwani kimekuwa kigezo cha moto kwelikweli. Walileta kigezo cha maumbile (urefu wa kimo flani) pasipo kuzingatia mazingira na asili ya Watanzania lakini wananchi wakazoea. Ila sasa hiki kigezo cha JKT kimekuwa msumari mwingine wa moto kwa vijana.

Ni kweli inawezekana niia na shabaha ya vijana kujiunga na JKT km sehemu ya kudumisha uzalendo vilikuwa na mashiko. Tatizo limeonekana pale ambapo jambo hili kuwa kigezo cha msingi katika kujiunga na Majeshi ya Ulinzi na Usalama. Kwa kweli suala hili linatakiwa kupigiwa kelele na wazazi wote pamoja na Wabunge ambao ndiyo wawakislishi na watunga sheria kwa niaba ya wananchi.

Kama kigezo hiki hakitaondolewa au kufanyiwa marekebisho, basi tutegemee kuona upendeleo wa waziwazi na kukithiri kwa rushwa katika ajira hizi za majeshi. Hakuna sababu zozote za kisayansi zinazooonesha kuwa mtu akipita JKT ndiyo anakuwa mzalendo.

Swali ni je, hawa wote wanaokwarapua pesa za walipa Kodi na kuripotiwa na CAG kila mwaka wao wote hawakupitia JKT? Kama kupitia JKT ndiyo kigezo cha uzalendo na uungwana kwa mtumishi kwa nini hawa wanaokwarapuwa pesa za umma wasipelekwe huko JKT?

Tusijifiche katika kigezo Cha JKT kwani uzalendo wa mtu kwa Taifa lake umo moyoni kwake na ni kitu ambacho mtu haitaji kufundishwa darasani bali uzalendo ni km imani ambayo mtu anazaliwa nayo, anakuwa nayo, anakufa nayo na kuzikwa nayo. Haitaji kumaliza vidato au madaftari na kalamu madukani ili kufundishwa.

Nimshukuru mbuge mmoja leo akiwa bungeni kakemea vikali hiki kinachoitwa kigezo namba 2 Cha JKT kujiunga katika majeshi ya ulinzi na usalama. It's not fair, it's not fair, it's not fair at all. Let's share the available national cake equally without segregation of any kind.

Nawatakia usikuvu na utekelezaji mwema wahusika wote.
 
Jamaa nenda jkt wakakutoe unanga acha woga
Hili ndiyo tatizo lenyewe, na eti mnaitwa wazalendo. Badala ya kujadili hoja nyie mnaleta vihoja. Kwani kila anaeandika hapa ni mtoto km nyie. Sisi wengine ni watu wazima na hatuna shida na ajira za kusotea. Wengine tulishasoma na kumalizana na suala la ajira. Hapa mimi nazungumzia vizazi vilivyopo na vijavyo. Kabla mtu hujachangia jiulize hivi mleta mada anaweza kuwa na umri gani na lengo la uzi wake ni nini. Siyo kukuruka tu eti wewe mzalendo. Hivi unajua huko nyuma karibu wafanyakazi wote wa serikali walipitia JKT? Kwa hiyo usidhani JKT is something so special. Or something new.
 
Hakuna kutoa hicho kigezo.tena waweke jkt miaka mitatu ili uwe na uzalendo na uchungu zaidi.mkiambiwa kwenda jkt mnajifanya mabishoo hamtaki kwenda.
Sasa chagua moja uende jkt au usahau kazi za majeshi.
Ha ha ha mimi niliingia kwenye payroll kabla hujazaliwa na ninakula maisha kwa Raha zangu. Wengine tulisota ktk kusoma siyo kusotea ajira km sasa. Kuwa na adabu mimi baba/babu Yako.
 
Wabunge wao pia 2025 kigezo kugombea hadi wawe na Degree
 
Ha ha ha mimi niliingia kwenye payroll kabla hujazaliwa na ninakula maisha kwa Raha zangu. Wengine tulisota ktk kusoma siyo kusotea ajira km sasa. Kuwa na adabu mimi baba/babu Yako.
Samahani mzee wangu nilijua dot com ndio analalamika.
😀😀😀 Hata mimi kwenye payroll kitambo.
Au nikutajie check number?😃😃
 
Kuna kitu hakiko sawa katika ajira za Tanzania hasa kwenye upande wa ajira za majeshi.

Hivi walioweka kigezo cha mtu ili apate nafasi ya Uhamiaji, JWTZ, Police, Magereza, na Fire eti lazima awe amepitia JKT waliwaza nini na kwa manufaa ya nani.

Km tujuavyo siyo kila mtu au mhitimu yeyote anaweza kupata nafasi ya kujiunga na JKT. Mfano, siyo wahitimu wote wanao hitimu kidato cha VI huchaguliwa kujiunga na JKT kwa mjibu wa sheria. Hata wale wahitimu wa darasa la VII na kidato cha IV siyo wote wanaojiunga na JKT kwa hiari. Sasa inakuwaje kigezo hiki kinatumika km namba 2 baada ya umri km kigezo muhimu kuliko vyote. Je hii Iko sawa? Ni nani aliepitisha huu utaratibu.

Kigezo hiki kimekuwa chanzo Cha vijana wengi kushindwa kutimiza ndoto zao ktk kulitumikia Taifa lao upande wa majeshi kwani kimekuwa kigezo cha moto kwelikweli. Walileta kigezo Cha maumbile (urefu wa kimo flani) pasipo kuzingatia mazingira na asili ya Watanzania lakini wananchi wakazoea. Ila sasa hiki kigezo cha JKT kimekuwa msumari mwingine wa moto kwa vijana.

Ni kweli inawezekana niia na shabaha ya vijana kujiunga na JKT km sehemu ya kudumisha uzalendo vilikuwa na mashiko. Tatizo limeonekana pale ambapo jambo hili kuwa kigezo Cha msingi ktk kujiunga na majeshi ya ulinzi na usalama. Kwa kweli suala hili linatakiwa kupigiwa kelele na wazazi wote pamoja na Wabunge ambao ndiyo wawakislishi na watunga sheria kwa niaba ya wananchi.

Km kigezo hiki hakitaondolewa au kufanyiwa marekebisho, basi tutegemee kuona upendeleo wa waziwazi na kukithiri kwa rushwa ktk ajira hizi za majeshi. Hakuna sababu zozote za kisayansi zinazooonesha kuwa mtu akipita JKT ndiyo anakuwa mzalendo. Swali je hawa wote wanaokwarapua pesa za walipa Kodi na kuripotiwa na CAG kila mwaka wao wote hawakupitia JKT? Km kupitia JKT ndiyo kigezo Cha uzalendo na uungwana kwa mtumishi kwa nini hawa wanaokwarapuwa pesa za umma wasipelekwe huko JKT?

Tusijifiche ktk kigezo Cha JKT kwani uzalendo wa mtu kwa Taifa lake umo moyoni kwake na ni kitu ambacho mtu haitaji kufundishwa darasani bali uzalendo ni km imani ambayo mtu anazaliwa nayo, anakuwa nayo, anakufa nayo na kuzikwa nayo. Haitaji kumaliza vidato au madaftari na kalamu madukani ili kufundishwa.

Nimshukuru mbuge mmoja leo akiwa bungeni kakemea vikali hiki kinachoitwa kigezo namba 2 Cha JKT kujiunga ktk majeshi ya ulinzi na usalama. It's not fair, it's not fair, it's not fair at all. Let's share the available national cake equally without segregation of any kind.

Nawatakia usikuvu na utekelezaji mwema wahusika wote.
Kama hukupata mafunzo ya JKT sasa kwanni uajiriwe majeshini?

JKT huko tayari wamesha cope na maisha ya jeshi na tayari ni wanajeshi bado tu kuorodheshwa.

Napinga serikali kuajiri wazembe wa vijiweni kwenye majeshi, hii ni matumizi mabaya ya fedha.

Kuajiri kutok JKT kuna faida kubwa sana maana kunaondoa uwezekano wa kuajiri wahuni na watu legelege kwenye vyombo vya ukinzi.

Kijana akiwa jkt ndio muda muafaka wa kumsoma,kumchunguza na kabla ya kuorodheshwa kwenye ulinzi wa taifa.

Bunge lilitakiwa liweke sheria ajira za vyombo vya dola zipitie JKT ili kuondoa ubabaishaji. Mtu akitaka jeshi, akaanzie jkt.
 
Jkt ndio kipimo cha uzalendo ili kuajiriwa kwenye majeshi yetu sasa wewe unasema uzalendo upo kwenye moyo wa mtu sasa sisi tutaupimaje huo uzalendo wako huko kwenye moyo wako??
 
Jkt ndio kipimo cha uzalendo ili kuajiriwa kwenye majeshi yetu sasa wewe unasema uzalendo upo kwenye moyo wa mtu sasa sisi tutaupimaje huo uzalendo wako huko kwenye moyo wako??
Nimeuliza, km uzalendo ni kupitia JKT hao wanaokwarapuwa mali za umma wao hawakupita JKT? Kwa nini wasiende km huko ndiyo suluhu. Kinachonishangaza humu kuna watoto wameenda JKT miezi 6 tu kwa ajili ya kujifunza stadi za kazi sasa wanajiona makomandoo. Kizazi hiki cha ushoga ni hatari kwa Taifa.
 
Nimeuliza, km uzalendo ni kupitia JKT hao wanaokwarapuwa mali za umma wao hawakupita JKT? Kwa nini wasiende km huko ndiyo suluhu. Kinachonishangaza humu kuna watoto wameenda JKT miezi 6 tu kwa ajili ya kujifunza stadi za kazi sasa wanajiona makomandoo. Kizazi hiki cha ushoga ni hatari kwa Taifa.
Kukwapua Mali za umma Ni wizi na wizi Ni tabia binafsi ya mtu hii haiondoi ukweli kua jkt watu wanafundishwa uzalendo mkuu ki ufupi hakuna shortcut unataka kazi ya majeshi lazima upite jkt fullstop
 
Kuna kitu hakiko sawa katika ajira za Tanzania hasa kwenye upande wa ajira za majeshi.

Hivi walioweka kigezo cha mtu ili apate nafasi ya Uhamiaji, JWTZ, Police, Magereza, na Fire eti lazima awe amepitia JKT waliwaza nini na kwa manufaa ya nani.

Km tujuavyo siyo kila mtu au mhitimu yeyote anaweza kupata nafasi ya kujiunga na JKT. Mfano, siyo wahitimu wote wanao hitimu kidato cha VI huchaguliwa kujiunga na JKT kwa mjibu wa sheria. Hata wale wahitimu wa darasa la VII na kidato cha IV siyo wote wanaojiunga na JKT kwa hiari. Sasa inakuwaje kigezo hiki kinatumika km namba 2 baada ya umri km kigezo muhimu kuliko vyote. Je hii Iko sawa? Ni nani aliepitisha huu utaratibu.

Kigezo hiki kimekuwa chanzo Cha vijana wengi kushindwa kutimiza ndoto zao ktk kulitumikia Taifa lao upande wa majeshi kwani kimekuwa kigezo cha moto kwelikweli. Walileta kigezo Cha maumbile (urefu wa kimo flani) pasipo kuzingatia mazingira na asili ya Watanzania lakini wananchi wakazoea. Ila sasa hiki kigezo cha JKT kimekuwa msumari mwingine wa moto kwa vijana.

Ni kweli inawezekana niia na shabaha ya vijana kujiunga na JKT km sehemu ya kudumisha uzalendo vilikuwa na mashiko. Tatizo limeonekana pale ambapo jambo hili kuwa kigezo Cha msingi ktk kujiunga na majeshi ya ulinzi na usalama. Kwa kweli suala hili linatakiwa kupigiwa kelele na wazazi wote pamoja na Wabunge ambao ndiyo wawakislishi na watunga sheria kwa niaba ya wananchi.

Km kigezo hiki hakitaondolewa au kufanyiwa marekebisho, basi tutegemee kuona upendeleo wa waziwazi na kukithiri kwa rushwa ktk ajira hizi za majeshi. Hakuna sababu zozote za kisayansi zinazooonesha kuwa mtu akipita JKT ndiyo anakuwa mzalendo. Swali je hawa wote wanaokwarapua pesa za walipa Kodi na kuripotiwa na CAG kila mwaka wao wote hawakupitia JKT? Km kupitia JKT ndiyo kigezo Cha uzalendo na uungwana kwa mtumishi kwa nini hawa wanaokwarapuwa pesa za umma wasipelekwe huko JKT?

Tusijifiche ktk kigezo Cha JKT kwani uzalendo wa mtu kwa Taifa lake umo moyoni kwake na ni kitu ambacho mtu haitaji kufundishwa darasani bali uzalendo ni km imani ambayo mtu anazaliwa nayo, anakuwa nayo, anakufa nayo na kuzikwa nayo. Haitaji kumaliza vidato au madaftari na kalamu madukani ili kufundishwa.

Nimshukuru mbuge mmoja leo akiwa bungeni kakemea vikali hiki kinachoitwa kigezo namba 2 Cha JKT kujiunga ktk majeshi ya ulinzi na usalama. It's not fair, it's not fair, it's not fair at all. Let's share the available national cake equally without segregation of any kind.

Nawatakia usikuvu na utekelezaji mwema wahusika wote.
mchujo muhimu bro.
 
Kuna kitu hakiko sawa katika ajira za Tanzania hasa kwenye upande wa ajira za majeshi.

Hivi walioweka kigezo cha mtu ili apate nafasi ya Uhamiaji, JWTZ, Police, Magereza, na Fire eti lazima awe amepitia JKT waliwaza nini na kwa manufaa ya nani.

Km tujuavyo siyo kila mtu au mhitimu yeyote anaweza kupata nafasi ya kujiunga na JKT. Mfano, siyo wahitimu wote wanao hitimu kidato cha VI huchaguliwa kujiunga na JKT kwa mjibu wa sheria. Hata wale wahitimu wa darasa la VII na kidato cha IV siyo wote wanaojiunga na JKT kwa hiari. Sasa inakuwaje kigezo hiki kinatumika km namba 2 baada ya umri km kigezo muhimu kuliko vyote. Je hii Iko sawa? Ni nani aliepitisha huu utaratibu.

Kigezo hiki kimekuwa chanzo Cha vijana wengi kushindwa kutimiza ndoto zao ktk kulitumikia Taifa lao upande wa majeshi kwani kimekuwa kigezo cha moto kwelikweli. Walileta kigezo Cha maumbile (urefu wa kimo flani) pasipo kuzingatia mazingira na asili ya Watanzania lakini wananchi wakazoea. Ila sasa hiki kigezo cha JKT kimekuwa msumari mwingine wa moto kwa vijana.

Ni kweli inawezekana niia na shabaha ya vijana kujiunga na JKT km sehemu ya kudumisha uzalendo vilikuwa na mashiko. Tatizo limeonekana pale ambapo jambo hili kuwa kigezo Cha msingi ktk kujiunga na majeshi ya ulinzi na usalama. Kwa kweli suala hili linatakiwa kupigiwa kelele na wazazi wote pamoja na Wabunge ambao ndiyo wawakislishi na watunga sheria kwa niaba ya wananchi.

Km kigezo hiki hakitaondolewa au kufanyiwa marekebisho, basi tutegemee kuona upendeleo wa waziwazi na kukithiri kwa rushwa ktk ajira hizi za majeshi. Hakuna sababu zozote za kisayansi zinazooonesha kuwa mtu akipita JKT ndiyo anakuwa mzalendo. Swali je hawa wote wanaokwarapua pesa za walipa Kodi na kuripotiwa na CAG kila mwaka wao wote hawakupitia JKT? Km kupitia JKT ndiyo kigezo Cha uzalendo na uungwana kwa mtumishi kwa nini hawa wanaokwarapuwa pesa za umma wasipelekwe huko JKT?

Tusijifiche ktk kigezo Cha JKT kwani uzalendo wa mtu kwa Taifa lake umo moyoni kwake na ni kitu ambacho mtu haitaji kufundishwa darasani bali uzalendo ni km imani ambayo mtu anazaliwa nayo, anakuwa nayo, anakufa nayo na kuzikwa nayo. Haitaji kumaliza vidato au madaftari na kalamu madukani ili kufundishwa.

Nimshukuru mbuge mmoja leo akiwa bungeni kakemea vikali hiki kinachoitwa kigezo namba 2 Cha JKT kujiunga ktk majeshi ya ulinzi na usalama. It's not fair, it's not fair, it's not fair at all. Let's share the available national cake equally without segregation of any kind.

Nawatakia usikuvu na utekelezaji mwema wahusika wote.
Maelezo marefu jibu fupi nenda kajitolee JKT miaka miwili upate fusra Nchi imeweka kipaumbele cha Ajira kwa vijana wazalendo sio Wezi kama nyie ambao hamkawii kukimbia na SMG.
 
Wanaohitaji kutumikia majeshi ni wapitie jkt tu kwanza mambo ya kuajiri nje ya jkt ndio ilisababisha wazembe wazembe kuingia sana majeshini na hiko kigezo cha jkt kinafaa ili kupeleka wakakamavu na watu walioiva vizuri kijeshi ndio maana Polisi wengi hata saluti hawajui kupiga sababu ya kupeleka raia huko majeshini
 
Wanaohitaji kutumikia majeshi ni wapitie jkt tu kwanza mambo ya kuajiri nje ya jkt ndio ilisababisha wazembe wazembe kuingia sana majeshini na hiko kigezo cha jkt kinafaa ili kupeleka wakakamavu na watu walioiva vizuri kijeshi ndio maana Polisi wengi hata saluti hawajui kupiga sababu ya kupeleka raia huko majeshini
Ukiruhusu watu waingie bila kupita jkt mwisho wa siku utapata Askari ma shoga kama Yule wa zenji
 
Sasa unamnyooshea Nani kidole kuwa ni mtoto au Hana ajira?
Hili ndiyo tatizo lenyewe, na eti mnaitwa wazalendo. Badala ya kujadili hoja nyie mnaleta vihoja. Kwani kila anaeandika hapa ni mtoto km nyie. Sisi wengine ni watu wazima na hatuna shida na ajira za kusotea. Wengine tulishasoma na kumalizana na suala la ajira. Hapa mimi nazungumzia vizazi vilivyopo na vijavyo. Kabla mtu hujachangia jiulize hivi mleta mada anaweza kuwa na umri gani na lengo la uzi wake ni nini. Siyo kukuruka tu eti wewe mzalendo. Hivi unajua huko nyuma karibu wafanyakazi wote wa serikali walipitia JKT? Kwa hiyo usidhani JKT is something so special. Or something new
 
Back
Top Bottom