Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 8,323
- 18,051
Nadhani hizo kazi ambazo umelist hapo ni kazi ambazo zinahitaji vijana na mabinti wakakamavu. Namna rahisi ya kuwabaini ni kwa kupata vyeti vya mafunzo ya jkt ili kuwarahisishia kazi ya usaili wasimamizi wa hizi taasisi ulizotaja.
Kuna kazi kubwa sana kwenye kutrain watu wanakuja watu legelege zoezi kidogo wanalialia, wanaanguka, wanapata matatizo ya kiafya, fujo zinakuwa nyingi na hii inawapa usumbufu sana hawa wanaofanya usaili. Unakuta wamejipanga kuchukua labda candidate 2000 wanakuja kuomba watu 5000 wakianza kuwafanyia mchujo unakuta wanabakia na wenye vigezo 400,wengine wote ni rejected hawafai kwa sababu mbali mbali kama madhaifu ya kimwili yaani afya, tabia mbovu, kukosa nidhamu, kimo kisichosahihi na physical defects, kuna hata wengine miaka hii katika ukaguzi wanawabaini kuwa wameingiliwa kinyume na maumbile au wanaingiliwa. Sababu zipo nyingi sana.
Namna rahisi ni kwa wao kurahisishiwa mchujo kwa kuchukua vijana na mabinti ambao wamefuzu na kuhitimu mafunzo ya JKT na hivyo wakiwapokea kazi ya kuwatrain na kuwarecruit inakuwa rahisi sana bila kupoteza muda na rasilimali nyingi zaidi.
Kuna kazi kubwa sana kwenye kutrain watu wanakuja watu legelege zoezi kidogo wanalialia, wanaanguka, wanapata matatizo ya kiafya, fujo zinakuwa nyingi na hii inawapa usumbufu sana hawa wanaofanya usaili. Unakuta wamejipanga kuchukua labda candidate 2000 wanakuja kuomba watu 5000 wakianza kuwafanyia mchujo unakuta wanabakia na wenye vigezo 400,wengine wote ni rejected hawafai kwa sababu mbali mbali kama madhaifu ya kimwili yaani afya, tabia mbovu, kukosa nidhamu, kimo kisichosahihi na physical defects, kuna hata wengine miaka hii katika ukaguzi wanawabaini kuwa wameingiliwa kinyume na maumbile au wanaingiliwa. Sababu zipo nyingi sana.
Namna rahisi ni kwa wao kurahisishiwa mchujo kwa kuchukua vijana na mabinti ambao wamefuzu na kuhitimu mafunzo ya JKT na hivyo wakiwapokea kazi ya kuwatrain na kuwarecruit inakuwa rahisi sana bila kupoteza muda na rasilimali nyingi zaidi.