- Thread starter
- #21
Au mwenyewe alikuwa na tatizo.Ukiona legacy inachungwa kwa nguvu ya midomo na mipayuko... TUNA TATIZO..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au mwenyewe alikuwa na tatizo.Ukiona legacy inachungwa kwa nguvu ya midomo na mipayuko... TUNA TATIZO..
kumbe ukisema ukweli ni kumchafua hahaha kweli nimeamia nchi inasafari ndefu sanatulieni tuweke base apa ya magufuli legacy apa kila mtu aijue maaana kuna watu washaanza kumchafua
Watu badala ya kupambana na maisha ili wapate ridhiki kutwa kuchwa wanapambania legacy ya marehemu itakusaidia kitu gani, Magufuli ameshakufa hawezi kurudi wala hawezi kusikia mnayosema, aliyotenda mabaya au mazuri hayawezi kuongezwa wala kupunguzwa na walio hai, matendo yake au legacy yake itajitetea yenyewe.
Wabunge nao wameingia kwenye upuuzi huo badala ya kujadili bajeti wanajadili mtu aliyekufa mbona hatujawahi kusikia mnajadili legacy ya Mkapa au yeye hakuwa rais.
Mnapoteza muda bure.
Walishasema kama sio yeye wasingekua bungeni.
Yule jamaa ni Profesa wa kichwa sio wa makaratasi kama akina Kabudi na Ndalichako.Ndiyo maana Prof.Assad alisema kuwa asilimia 60 ni incompetent!
Hili kundi naona kama walipewa dawa inaitwa limbwataUkiona legacy inachungwa kwa nguvu ya midomo na mipayuko... TUNA TATIZO..
Profesa Asad aliona maana amezunguka sana humu humukuna uhusiano wa karibu ukiwa sisiemu na ukilaza sasa nimeanza ona kutwa watu wanapiga kelele ya legacy legacy mmxiiiiuuu shenze kabisa Pro Assad aliona mbali sana
Kumsafisha marehemu ni sawa na kupaka rangi kaburi.
kumbe ukisema ukweli ni kumchafua hahaha kweli nimeamia nchi inasafari ndefu sana
Kwani hayajulikani?hakuna anaemsafisha ila alioyafanya yajulikane izi story zingine mbaki nazo nyie
Kwani hayajulikani?
Watu badala ya kupambana na maisha ili wapate ridhiki kutwa kuchwa wanapambania legacy ya marehemu itakusaidia kitu gani, Magufuli ameshakufa hawezi kurudi wala hawezi kusikia mnayosema, aliyotenda mabaya au mazuri hayawezi kuongezwa wala kupunguzwa na walio hai, matendo yake au legacy yake itajitetea yenyewe.
Wabunge nao wameingia kwenye upuuzi huo badala ya kujadili bajeti wanajadili mtu aliyekufa mbona hatujawahi kusikia mnajadili legacy ya Mkapa au yeye hakuwa rais, hatujawatuma kwenda bungeni kujadili legacy ya mtu.
Mnapoteza mu
Ni kweli mkuu. Tunataka watuambie ni mikakati gani wataifanya kututoa hapa kuelekea kesho yetu siyo kujadili habari za mwendazake. Inaonekana hawaamini kama kesha enda na harudi tena, Chapter closed tuangalie chapter za current Tanzania. Vijembe havitusaidii kabisa!!!Watu badala ya kupambana na maisha ili wapate ridhiki kutwa kuchwa wanapambania legacy ya marehemu itakusaidia kitu gani, Magufuli ameshakufa hawezi kurudi wala hawezi kusikia mnayosema, aliyotenda mabaya au mazuri hayawezi kuongezwa wala kupunguzwa na walio hai, matendo yake au legacy yake itajitetea yenyewe.
Wabunge nao wameingia kwenye upuuzi huo badala ya kujadili bajeti wanajadili mtu aliyekufa mbona hatujawahi kusikia mnajadili legacy ya Mkapa au yeye hakuwa rais, hatujawatuma kwenda bungeni kujadili legacy ya mtu.
Mnapoteza muda bure.
Uko sahihi sanaWalipewa ubunge na Magufuli, bado wanadhani wanawajibika kwa Magufuli.
KILA mmoja ujitengezea mwisho wake autakao.Kila mmoja ujiandikia kitabu chake mwenyewe.tulieni tuweke base apa ya magufuli legacy apa kila mtu aijue maaana kuna watu washaanza kumchafua
Sifa ya kuwa mbunge yatosha kujua kusoma na kuandika, mengine ni ziada! Ni wachache wanaojiongeza na kuonekana tofauti na wenzao, na hao ndo wanaoonekana mazoba!Kweli wabunge wanapotea sana sijui wanajielewa hawa ? Hatukuwatuma hayo !