Wabunge wameacha kujadili mambo ya msingi wanajadili ‘legacy’, itatusaidia nini?

Rais Samia: Nimeshangazwa watu wanapiga ngoma mtandaoni, inachezwa bungeni, tena mnademka vizuri sana!

Mnalinganisha watu, mnalinganisha Magufuli na Samia, watu hawa ni kitu kimoja. Nimefuatilia mijadala yenu bungeni, haina afya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…