Ninakubaliana na huo mstari wako wa mwisho tu basi; ingawa umeuweka huku ukisahau mengine yote ambayo siku zote huyaimba humu JFNa wewe Kwa akili zako za kuku unaona hizo Katiba ni Bora? Ubora wake ni upi ikiwa kwenye hizo Nchi usalama ni mdogo,njaa,Madeni, mfumuko wa bei,maisha magumu na upuuzi kama huo? Vyote hivyo havipo Tanzania.
Msipende kuwa wajinga Kwa Kufuata standards za Ulaya,hazifanyi kazi Afrika
Mtu mzima badala ya kuleta maudhui yenye hoja unamtukana mwenzio, Tena tusi baya ambalo linaonyesha unavaa chupi moja na baba yako.Ila mwanangu kuna muda unakuwa kama vile umepakatwa unauugulia.
Ni Tanzania ya wapi wangeikataa, mfumo wa CCM mbunge ukisha mchagua anatakiwa akitetee chama na miswada yake bungeni na si mpiga kura, kwa kifupi hatakiwi kukutetea wewe ndiyo sababu hakuna mswaada unaoweza kukataliwa na wabunge wa CCM labda waziri atuonee huruma.Huo ndio ukweli mchungu
Hata yaliyotokea Kenya Finance Bill kukataliwa ingekuwa ni Tanzania Rais angevunja Bunge
Lakini Kenya Gachagua anataka Mkurugenzi wa Intelligence Nurdin Haji ndio ajiuzulu
Kila Katiba ina Uzuri na Ubaya wake
Mlale Unono ππ
Nimeipenda hii πunavaa chupi moja na baba yako
Msimamo wangu uko wazi,kinachoitwa Katiba Mpya ni upuuzi na hakina maana Kwa mwananchi wa kawaida zaidi ya kuwasaidia Wanasiasa kwenda kula Rushwa,ufisadi ,vyeo vya Kisiasa ,kusaliti watu nk.Ninakubaliana na huo mstari wako wa mwisho tu basi; ingawa umeuweka huku ukisahau mengine yote ambayo siku zote huyaimba humu JF
Hayo mengine ya juu, siyo ujinga ni upumbavu tu uliokujaa kichwani. Leo 'Chura Kiziwi' akinyang'anywa mfupa, hutasikika tena, huo ndio upumbavu wenyewe.
Bunge "tukufu"?Hivi neno utukufu limekuwa kama kustua kijoti?Linatumika tu hobelahobela?Hapana, Bunge lisingevunjwa isipokuwa mswada ungerudishwa Tena Bungeni kwa ajili ya maboresho, ilitokea ukapingwa Tena ndipo sasa RAIS atakuwa na mamlaka ya kulivunja Bunge Tukufu.
Hii ya sasa hivi imekuletea nini hadi unaandika kwa hasira na kukaza kiuno?Msimamo wangu uko wazi,kinachoitwa Katiba Mpya ni upuuzi na hakina maana Kwa mwananchi wa kawaida zaidi ya kuwasaidia Wanasiasa kwenda kula Rushwa,ufisadi ,vyeo vya Kisiasa ,kusaliti watu nk.
Hakuna mahala Katiba Mpya imewahi msaidia common mwananchi ila Sasa Kwa kuwa ni wajinga wanalishwa maneno ya kijinga na watu kama nyie wanajaa upepo.
Katiba Mpya haileti uchumi Wala ustawi wa Maisha ya mtu,Kwa nini kupoteza mda kuleta kitu kitakachokuwa kinaleta migogoro ya Kisiasa? Ujinga mtupu.
Sitegemei Katiba kuendesha maisha,Katiba ni makaratasi tuu kama Samia alivyosema.Hii ya sasa hivi imekuletea nini hadi unaandika kwa hasira na kukaza kiuno?
Kama ni hivyo,utulie na uache wanaoitaka waipambanie.Wewe uwe unaanzisha tu nyuzi za masifu kwa CCM.Sitegemei Katiba kuendesha maisha,Katiba ni makaratasi tuu kama Samia alivyosema.
Nawaelimisha Wananchi wenzangunkwa.kuwapa mifano real.Wasipopambana na Wanasiasa walafi kama nyie wataumizwa zaidi huko mbele.Kama ni hivyo,utulie na uache wanaoitaka waipambanie.Wewe uwe unaanzisha tu nyuzi za masifu kwa CCM.
Wewe siyo wa kuelimishwa tena.Ni wa kukamatwa,kufungwa kamba za katani na kutandikwa viboko vingi vya hovyohovyo hadi ujikojolee.Nawaelimisha Wananchi wenzangunkwa.kuwapa mifano real.Wasipopambana na Wanasiasa walafi kama nyie wataumizwa zaidi huko mbele.
Hakuna haja ya Katiba Mpya ya kuleta wezi wengine,Hawa Hawa wanatutosha
Kwa nini? Kwa sababu nawatoa Wananchi tongotongo?Wewe siyo wa kuelimishwa tena.Ni wa kukamatwa,kufungwa kamba za katani na kutandikwa viboko vingi vya hovyohovyo hadi ujikojolee.
Unawatoa tongotongo au unawanyofoa nyusi kwa nguvu wabaki na vidonda?Kwa nini? Kwa sababu nawatoa Wananchi tongotongo?
Nawatoa tongotongo wasijase kwenye mtego wa Wanasiasa mafisadi,just imagine Wanaodai watawatetea wanatumia Rushwa kuchaguana ππππππUnawatoa tongotongo au unawanyofoa nyusi kwa nguvu wabaki na vidonda?
Wewe niwakuhurumia.ujinga ulionao ni pro max.Na wewe Kwa akili zako za kuku unaona hizo Katiba ni Bora? Ubora wake ni upi ikiwa kwenye hizo Nchi usalama ni mdogo,njaa,Madeni, mfumuko wa bei,maisha magumu na upuuzi kama huo? Vyote hivyo havipo Tanzania.
Msipende kuwa wajinga Kwa Kufuata standards za Ulaya,hazifanyi kazi Afrika
Hiyo rushwa uliipokea na wewe hadi uitolee ushahidi?Kama haujaona faida za katiba mpya basi ni rahisi kusema ..."tunashukuru SSH katujengea mortuary/mochwari ili tukifa tulale unono"...!Nawatoa tongotongo wasijase kwenye mtego wa Wanasiasa mafisadi,just imagine Wanaodai watawatetea wanatumia Rushwa kuchaguana ππππππ
Pili Wameshindwa kuelezea Katiba Mpya imeleta faida zipi kwenye Nchi Zenye Katiba Mpya
Faida ya Katiba ni ipi?Hiyo rushwa uliipokea na wewe hadi uitolee ushahidi?Kama haujaona faida za katiba mpya basi ni rahisi kusema ..."tunashukuru SSH katujengea mortuary/mochwari ili tukifa tulale unono"...!
Faida ya Katiba Mpya ni ipi?Wewe niwakuhurumia.ujinga ulionao ni pro max.
Ulipoandika..."wagombea wenu"...unamaanisha nini?Yaleyale ya kuendeshwa kwa hisia.Uliwahi kuiona kadi yangu ya uanachama wa kisiasa?Kama haujui na wala hujihangaishi kujua umuhimu wa katiba mpya,unataka ushikwe kwa nguvu uanzishiwe tuisheni ujue faida zake?Unakwama sana kama mtu mzima.Haushtuki kwa nini unashambuliwa?Faida ya Katiba ni ipi?
Wagombea wenu ndio wameongea kuanzia na Lisu,wewe humuamini Lisu au unataka ushahidi upi mwingine?
Kuanzia Kwa kina Msigwa,Lema Hadi Wenje kote ni pesa inaamua ππ
Mwisho mnaposemaga Kuna Ufisadi Serikalini Huwa mnatoa ushahidi?
Cjackia vizuri unasema kwa katiba ya nchi gani bunge lingevunjwa?π π πHuo ndio ukweli mchungu
Hata yaliyotokea Kenya Finance Bill kukataliwa ingekuwa ni Tanzania Rais angevunja Bunge
Lakini Kenya Gachagua anataka Mkurugenzi wa Intelligence Nurdin Haji ndio ajiuzulu
Kila Katiba ina Uzuri na Ubaya wake
Mlale Unono ππ