Wabunge wameufyata kuhusu bosi wao? Wako upande wa nani?

Wabunge wameufyata kuhusu bosi wao? Wako upande wa nani?

Fundi Madirisha

Senior Member
Joined
Jun 30, 2020
Posts
184
Reaction score
988
Hii ni kali ya mwaka.Yaani wabunge tunaowajua kina Msukuma, Kibajaji, Kingu, Kigwangala na wengine kimyaaa.
Huwezi kuniambia kauli ya Spika juzi alivyounanga utendaji wa Mama kuhusu mikopo na serikali yake ungetegemea wabunge hawa waufuate kiasi hiki?

Wanaogopa wakimgusa bosi wao wakirudi kitaumana? Wameamua kuufyata ili kulinda msosi wao wa kila siku siyo?
Maana yake Mama anasimama na viongozi wenzake wa chama na Job anabakia na wanawe kama ndio hivi.


Hii hali inataka kunifanya niote vibaya hali itakavyokuwa mjengo siku za usoni.
 
... mihimili inaparurana kwa sababu ya vijisenti vya TZS 70 tr deni la taifa wakati taifa lina akiba ya USD 6,253 billon! Si walipe hilo deni maisha yaendelee? Ajabu sana!
 
Watanzania wengi wakiwemo wabunge hawamuelewi huyu mama. Ni jambo la muda tu.
 
BiM lipa hilo deni ni dogo sana kulinganisha na akiba yetu ili kuepusha nchi kupigwa mnada japo mzee wa Ubelgiji anasema tulishapigwa mnada kitambo.
 
BiM lipa hilo deni ni dogo sana kulinganisha na akia yetu ili kuepusha nchi kupigwa mnada japo mzee wa Ubelgiji anasema tulishapigwa mnada kitambo.
Pesa iliyopo ni ndogo sana kulingana na mkop huo hivyo hata akilipa haisaidii kitu.
Bill 6 =14 tirioni
Deni tirion 80
Sawa na dolla billion 35-38
 
... mihimili inaparurana kwa sababu ya vijisenti vya TZS 70 tr deni la taifa wakati taifa lina akiba ya USD 6,253 billon! Si walipe hilo deni maisha yaendelee? Ajabu sana!
Hii figure inatafakarisha kidogo 6,253 x 1,000,000,000 x 2,290 = in tanzania shillings, tupo vizuri kwa kweli nashauri tulipe deni maisha yaendelee
 
Hii ni kali ya mwaka.Yaani wabunge tunaowajua kina Msukuma, Kibajaji, Kingu, Kigwangala na wengine kimyaaa.
Huwezi kuniambia kauli ya Spika juzi alivyounanga utendaji wa Mama kuhusu mikopo na serikali yake ungetegemea wabunge hawa waufuate kiasi hiki?

Wanaogopa wakimgusa bosi wao wakirudi kitaumana? Wameamua kuufyata ili kulinda msosi wao wa kila siku siyo?
Maana yake Mama anasimama na viongozi wenzake wa chama na Job anabakia na wanawe kama ndio hivi.


Hii hali inataka kunifanya niote vibaya hali itakavyokuwa mjengo siku za usoni.
Wanaanza kugawana fito, wewe subiri waangushe kamba uambulie hizo hizo.
 
Mie hata sitaki kuumiza kichwa changu.Time will tell
 
Hii ni kali ya mwaka.Yaani wabunge tunaowajua kina Msukuma, Kibajaji, Kingu, Kigwangala na wengine kimyaaa.
Huwezi kuniambia kauli ya Spika juzi alivyounanga utendaji wa Mama kuhusu mikopo na serikali yake ungetegemea wabunge hawa waufuate kiasi hiki?

Wanaogopa wakimgusa bosi wao wakirudi kitaumana? Wameamua kuufyata ili kulinda msosi wao wa kila siku siyo?
Maana yake Mama anasimama na viongozi wenzake wa chama na Job anabakia na wanawe kama ndio hivi.


Hii hali inataka kunifanya niote vibaya hali itakavyokuwa mjengo siku za usoni.
Bungegani tena?
Au niile 'patikokas fyucharingi kovidi naintini anda nduguyai'
 
Hii ni kali ya mwaka.Yaani wabunge tunaowajua kina Msukuma, Kibajaji, Kingu, Kigwangala na wengine kimyaaa.
Huwezi kuniambia kauli ya Spika juzi alivyounanga utendaji wa Mama kuhusu mikopo na serikali yake ungetegemea wabunge hawa waufuate kiasi hiki?

Wanaogopa wakimgusa bosi wao wakirudi kitaumana? Wameamua kuufyata ili kulinda msosi wao wa kila siku siyo?
Maana yake Mama anasimama na viongozi wenzake wa chama na Job anabakia na wanawe kama ndio hivi.


Hii hali inataka kunifanya niote vibaya hali itakavyokuwa mjengo siku za usoni.
Wamegawanyika na wanasoma upepo
 
Hata kama ni kweli we nikupinga tu? Nyambavu
 
Pesa iliyopo ni ndogo sana kulingana na mkop huo hivyo hata akilipa haisaidii kitu.
Bill 6 =14 tirioni
Deni tirion 80
Sawa na dolla billion 35-38
Dollar 6 thousands, taarifa rasmi
 
Siku za mbele, mtamwona ndugai anaakili, mzalendo, anaujasiri, mie nampenda kwa kuwa anauwezo wa kutoa hisia zake bila hofu, hivyo inatakiwa ili hata wakopaji watakuwa wanajiuliza kama waendelee kukopa au la. Hayo yalipaswa yasemwe bungeni na upinzani, sasa si hamna upinzani, mwendazake amewaenguwa na hao maalumu ndio amewa annex kama Russia alivyofanya crimmia!
 
Back
Top Bottom