johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Binafsi sikushangaa kabisa kumuona Jerry Silaa akiingia na lundo la vitabu na manual zinazoelezea sheria za kodi.
Kinachonishangaza ni baadhi ya wadau kumtaka Jerry Slaa kuiweka hadharani salary slip yake ili tuone namna asivyolipa kodi kana kwamba Jerry alisema wabunge hawakatwi PAYE.
Swali muhimu ni Je wabunge hawana misamaha ya kodi?
Magari wanayokopeshwa wanalipia kodi?
Hotel wanazojenga hamna namna wanapata unafuu kwenye manunuzi ya vifaa vya ujenzi?
Kodi ni suala mtambuka na upigaji uko kwenye " exemptions "
Jumaa kareem!
Kinachonishangaza ni baadhi ya wadau kumtaka Jerry Slaa kuiweka hadharani salary slip yake ili tuone namna asivyolipa kodi kana kwamba Jerry alisema wabunge hawakatwi PAYE.
Swali muhimu ni Je wabunge hawana misamaha ya kodi?
Magari wanayokopeshwa wanalipia kodi?
Hotel wanazojenga hamna namna wanapata unafuu kwenye manunuzi ya vifaa vya ujenzi?
Kodi ni suala mtambuka na upigaji uko kwenye " exemptions "
Jumaa kareem!