Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sio umbea, muda utasema pale njaa itakapokuwa imeshika hao wabunge kisawa sawaTumekalia umbea kama wanawake,tufanye kazi hali ni ngumu.
stroke tangu nianze kukufahamu humu JF leo umeongea kitu cha maana sana, unaanza kuwa na akili sasa, umekua eewale wanaohama wakusanyane woote, tuwe na press moja, halafu tunapokezana tu, wa upande huu wanakwenda upende mwingine wanapokelewa, and viseversa, hizi mambo zinakula muda wa wavuja jasho jamani kuwajadili wanasiasa tuu.
ila kweli aisee, nina uhakika angekuwa upinzani kaingia na kofia zake hizo piga ua sasa hivi angekuwa central akichukuliwa maelezoTume ya utumishi wa umma na ile ya utawala bora watuambie kama alichokifanya Kitila Mkumbo ni sahihi kwa mtumishi wa umma kuvaa sare za chama na kujitangaza hadharani kujihusisha na siasa za chama hicho huku bado ni Katibu Mkuu wa wizara. Hii nchi tuliikuta ikiwa na kanuni na taratibu na miiko ya utumishi wa umma, tusiharibu.
Hali ni ngumu kweli mkuu na kaz inategemea umeme saa hiz wamekata nikiwasha jenereta inakomba faida yote nlikuwa nategemea kuipata, hebu nishaur nifanyejeTumekalia umbea kama wanawake,tufanye kazi hali ni ngumu.
wakirudishwa mimi nitajinyonga live mubashara.. wamesahai kilichowatokea wale madiwani???Nyalandu ameweka sytle ya kuhama vyama.
Tetesi kutoka ndani ya chama fulani ni kwamba kuna wabunge wanne ambao watahama chama chao. Wengine walionekana jijini Dar es Salaam walipokuwa wakitoka katika kikao chao cha siri.
Pamoja na kwamba maamuzi ya mwisho yatatolewa hivi karibuni kuhusu namna ya kujitangaza kuhama chama chao, bado kuna shinikizo kuwa wajitangaze kwa wakati mmoja ila wapo wanaotamani kila mtu akajitangazie jimboni kwake.
Wakihama, watarejea tena kugombea kupitia chama watakachokwenda. Watu wanaamka, na wanafanya msimu wa kampeni kuanza. Kila wanapojiengua tume ya uchaguzi inabidi kutangaza utaratibu wa uchaguzi.
Tuendelee kusubiri.
Mungu ibariki Tanzania
Ndio gharama za demokrasiaTume itafakari wanaohama wasigombee wanaitia hasara nchi na wananchi waliowaamini
Tuliambiwa Huyu alichaguliwa kwa maelekezo ya Minywele ili kuzuia Membe asiwe RaisCcm roho inaume.sijui kwanini mkwele alimpitisha hili bulldozer.
Swissme
Sijawahi kumkubali Ngosha tangu ni waziri maana nilishaona dalili za kukurupuka na kuchangia hasara za taifa badala ya pato la taifaMkuu swissme naamini hata wewe kipindi pombe ni waziri ulitamani siku moja aje kuwa rais! Tusimlaumu JK maana Pombe ni kinyonga first grade.
Mkuu, hivi unatafuta nini humu? Unajua kuwa haujijui kuwa wewe ni mpenda umbea??Tumekalia umbea kama wanawake,tufanye kazi hali ni ngumu.
Unajua kuwa mmoja wapo ni Nassari??Wakihama utaamini. Usikalie ubishi kila siku
Utakuwa umbeaNa wasipohama?
Magufuli atakiua chadema kiishe chote time will tellCcm roho inaume.sijui kwanini mkwele alimpitisha hili bulldozer.
Swissme
Wewe kama unajadili watu kucha kutwa hufanyi shughuli utakua na matatizo fanya kazi kwani kumeitishwa mapumziko ya taifa?wale wanaohama wakusanyane woote, tuwe na press moja, halafu tunapokezana tu, wa upande huu wanakwenda upende mwingine wanapokelewa, and viseversa, hizi mambo zinakula muda wa wavuja jasho jamani kuwajadili wanasiasa tuu.
Mkuu unashangaa nn hapo wakati ktk chaguzi ndogo zinazotarajiwa kufanyika hivi karibu kampeni zinapigwa na mawaziri wakuu wa wilaya/mkoa.Tume ya utumishi wa umma na ile ya utawala bora watuambie kama alichokifanya Kitila Mkumbo ni sahihi kwa mtumishi wa umma kuvaa sare za chama na kujitangaza hadharani kujihusisha na siasa za chama hicho huku bado ni Katibu Mkuu wa wizara. Hii nchi tuliikuta ikiwa na kanuni na taratibu na miiko ya utumishi wa umma, tusiharibu.
Ndio kazi aliyoomba?baada ya hapo tutapata viwanda na umeme wa uhakika?Magufuli atakiua chadema kiishe chote time will tell
Wanachezea pesa za umma,wala hawana chembe ya kuwatumikia wananchi waliowachagua,ni vimeo wa kisiasa,Mwl Nyerere aliwaita malaya wa kisiasa.Tume itafakari wanaohama wasigombee wanaitia hasara nchi na wananchi waliowaamini
Bei ya mkt ni 30m-45m. Siasa tami jamani asikuambie mtuBei ya kumuiba diwani ni 2ml.
Bei ya kiongozi wa jumuia ya chama ni 5ml-10ml.
Bei mbunge ni 15ml-25ml.
[HASHTAG]#inapendeza[/HASHTAG] sana.