Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Huyo ni mzee wa chabo!Huyu mbunge wangu naona sasa kazi imemshinda, watu wake wa jimbo tuna changamoto nyingi mfano maji vijiji vingi havina maji mradi wa maji kutoka ziwa victoria pale nyamtukuza haujakamilia sasa kageukia kuangalia akinadada wamevaa nini bungeni badala ya kusimamia hoja za msingi juu ya wananchi wake
Kama wabunge wa chama cha EFF cha Julius Malema wa SA wana uniforms zao, "overall" na kofia.Sisi tulishauri wabunge washonewe uniform kama student wavae sare Ili kuepusha haya awakusikia
Mi sijamaanisha aongelee maji tu ila kikubwa hata kama ni wizara tofauti na wiazara ya maji achangie mjadala achane na mambo hayo ya mavazi tofauti na hapo atayapata majibu kwa wananchi 2025.Kwa hiyo kila apatapo nafasi ya kuongea AONGELEE MRADI WENU WA MAJI hata kama hoja mezani ni MADINI ama WIZARA YA MICHEZO ?!!!
Miaka 5 ni mingi Kwani toka aingie amekuwa akiongelea hayo Mambo ya "mavazi"?!!!Mi sijamaanisha aongelee maji tu ila kikubwa hata kama ni wizara tofauti na wiazara ya maji achangie mjadala achane na mambo hayo ya mavazi tofauti na hapo atayapata majibu kwa wananchi 2025.
Kwa Aina hii ya wabunge ndo tutarajie nchi ishindane kiuchumi na jirani zetu? Badala ya kujadili issue nyeti za kiuchumi ni huu upuuzi?Hata wakitolewa nje wote. Hawana faida.
Alimtoa kwa kanuni za bungeKwani spika alimtoa nje kwa utashi wake au kwa mujibu wa kanuni za bunge.....?? Na hata aliyeomba muongozo aliomba kwa mujibu wa kanuni za bunge.....
Alisoma kitabu cha ANIMAL FARMJob ndugai ni mwanasiasa aliyebarikiwa nguvu nyingi kuliko akili.
Asante sana..Kwa nini mbunge huyo atake huyo dada tu ndio avae vazi la Kiislam ?!!!
Na kwanini iwe jana tu ikiwa siku zote huwa anamuona ?!!
Ama siku nyinginezo huyo mh.Condester huwa anavaa hilo vazi la Kiislam alitakalo mbunge wa Nyang'wahale kiasi kwamba huridhika nafsi yake ?!!!
Je alipoomba mwongozo wa kikanuni na ikiwa SPIKA hajaukubali ,mbunge Condester angetolewa nje?!!
Je mbunge Condester ametolewa nje na mbunge wa Nyang'wahale ama na KITI cha mh.Spika?!!!
Inawezekana...Kwa mtazamo wangu nimeona pana aidha:-
1. Ushabiki wa vilabu vya Simba na Yanga. Kumbuka Spika ni kama si mwanachama basi ni shabiki kindakindaki wa klabu ya Simba.
2. Mfumo dume. Hapa na maana mtoa hoja kwa sababu zake tu ni mwanaume na Spika ni mwanaume nae hakumwangusha, angelikuwa Spika ni jinsia ya kike angejiridhisha kwanza kabla ya kutoa maamuzi.
Basi hao wabunge hawapaswi kulalamika bali kubadilisha hizo kanuni ambazo zimepitwa na wakatiAlimtoa kwa kanuni za bunge
Lakini ukiangalia syo yeye pekee
Mule aliyevaa vile
Ova