Wabunge wataka Condester Sichwale aliyetolewa nje kisa mavazi aombwe radhi

Huyo ni mzee wa chabo!
 
wabunge wote wapuuzi tu wanashindwa kujadili vitu vya msingi kwa Taifa lakini wanabaki kijadili upumbavu tu wa mtu mmoja

Sent from my Infinix X682B using JamiiForums mobile app
 
Sisi tulishauri wabunge washonewe uniform kama student wavae sare Ili kuepusha haya awakusikia
Kama wabunge wa chama cha EFF cha Julius Malema wa SA wana uniforms zao, "overall" na kofia.
 
Kwa hiyo kila apatapo nafasi ya kuongea AONGELEE MRADI WENU WA MAJI hata kama hoja mezani ni MADINI ama WIZARA YA MICHEZO ?!!!
Mi sijamaanisha aongelee maji tu ila kikubwa hata kama ni wizara tofauti na wiazara ya maji achangie mjadala achane na mambo hayo ya mavazi tofauti na hapo atayapata majibu kwa wananchi 2025.
 
Mi sijamaanisha aongelee maji tu ila kikubwa hata kama ni wizara tofauti na wiazara ya maji achangie mjadala achane na mambo hayo ya mavazi tofauti na hapo atayapata majibu kwa wananchi 2025.
Miaka 5 ni mingi Kwani toka aingie amekuwa akiongelea hayo Mambo ya "mavazi"?!!!

Mkuu mmoja wa wapiga kura ni wewe haya msubiri ukamhukumu 2025 kwa hilo kosa la kuongelea mavazi 🤣🤣
👍
 
Hata wakitolewa nje wote. Hawana faida.
Kwa Aina hii ya wabunge ndo tutarajie nchi ishindane kiuchumi na jirani zetu? Badala ya kujadili issue nyeti za kiuchumi ni huu upuuzi?
 
Wakuu wanaJF, mimi nadhani yule Mbunge aliyeomba mwongozo angetumia busara na hekima za kiutu uzima kwa kumueleza Spika juu ya jambo lile baada ya kikao cha bunge. Hivyo Spika angelitatua bila aibu hii ambayo tayari imo ndani ya HANSARD.
 
Kwani spika alimtoa nje kwa utashi wake au kwa mujibu wa kanuni za bunge.....?? Na hata aliyeomba muongozo aliomba kwa mujibu wa kanuni za bunge.....
Alimtoa kwa kanuni za bunge
Lakini ukiangalia syo yeye pekee
Mule aliyevaa vile

Ova
 
Watangazaze mgomo wakulala nae kimapenzi pale akiwahitaji kingono ,very easy
 
Asante sana..

Mimi nimetoa maoni yangu tu kwa namna nionavyo...

Narudia kusema tena, hayo ni maoni yangu. Naweza kuwa sahihi au wrong...

Nawe unaweza kusema kwa namna uonavyo/unavyoliona jambo...
 
Inawezekana...

Lakini all in all, binafsi sioni tatizo la mavazi aliyovaa mama huyo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…