Siri ya sifuri
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,335
- 1,967
Nguvu za kiumeee!!Nguvu za akili au nguvu za mwili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nguvu za kiumeee!!Nguvu za akili au nguvu za mwili?
KabisaaHata wakitolewa nje wote. Hawana faida.
Hata kwake watakuwa na shida naona wanatamani vikao vya Job visiishe akaage tu Dodoma. Maana km angekua na nindham na mkewe asinge mvalia njuga Mdada wa watu kwn aliona unju au wezele ndo lilomchanganya.........!!!!???Kakaa kikudakuda sana alafu
Ova
HahahaHata kwake watakuwa na shida naona wanatamani vikao vya Job visiishe akaage tu Dodoma. Maana km angekua na nindham na mkewe asinge mvalia njuga Mdada wa watu kwn aliona unju au wezele ndo lilomchanganya.........!!!!???
👍Asante sana..
Mimi nimetoa maoni yangu tu kwa namna nionavyo...
Narudia kusema tena, hayo ni maoni yangu. Naweza kuwa sahihi au wrong...
Nawe unaweza kusema kwa namna uonavyo/unavyoliona jambo...
Huoni tatiizo kwa sababu hujui kanuni za BungeInawezekana...
Lakini all in all, binafsi sioni tatizo la mavazi aliyovaa mama huyo...