Wabunge wataka Condester Sichwale aliyetolewa nje kisa mavazi aombwe radhi

Kakaa kikudakuda sana alafu

Ova
Hata kwake watakuwa na shida naona wanatamani vikao vya Job visiishe akaage tu Dodoma. Maana km angekua na nindham na mkewe asinge mvalia njuga Mdada wa watu kwn aliona unju au wezele ndo lilomchanganya.........!!!!???
 
Hata kwake watakuwa na shida naona wanatamani vikao vya Job visiishe akaage tu Dodoma. Maana km angekua na nindham na mkewe asinge mvalia njuga Mdada wa watu kwn aliona unju au wezele ndo lilomchanganya.........!!!!???
Hahaha

Ova
 
Au ni lile guo mbele likining'inia mh Amar akafikiri ni dushe?
 
Asante sana..

Mimi nimetoa maoni yangu tu kwa namna nionavyo...

Narudia kusema tena, hayo ni maoni yangu. Naweza kuwa sahihi au wrong...

Nawe unaweza kusema kwa namna uonavyo/unavyoliona jambo...
👍
 
Wabunge wavae majoho au uniform Ili kuondoa mikanganyiko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…